Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Netanyahu atahadharisha Waisraeli Waarabu

Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amesema usalama utaimarishwa zaidi katika maeneo ya Wairsaeli Waarabu baada ya mshambuliaji kuua watu wawili mjini Tel Aviv.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Wapalestina 2 wauawa na Waisraeli

Maafisa wa afya wa Palestina wanasema wapalestina wawili wameuawa baada ya vikosi vya Israeli kufyatua risasi katika ukingo wa Magharibi.

 

9 years ago

BBCSwahili

Waisraeli washtakiwa kuua Wapalestina

Maafisa wa mashtaka nchini Israel wamewashtaki washukiwa wawili kuhusiana na shambulio katika nyumba moja ya Wapalestina eneo la Ukingo Magharibi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Dereva Mpalestina awagonga Waisraeli

Polisi nchini Israeli wanasema kuwa dereva ambaye anaaminiwa kuwa Mpalestina amevurumisha gari katikati ya kundi la watu.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mwanamke mpalestina auawa na Waisraeli

Polisi wa Israili wanasema kuwa Mpalestina amepigwa risasi na kuuawa,kwa kumdunga kisu askari wa Israeli

 

10 years ago

BBCSwahili

Kijana aliyewadunga kisu Waisraeli auawa

Polisi wa Israeli wanasema kuwa kijana Mpalestina amewadunga kisu Waisraeli wawili mjini Jerusalem.

 

9 years ago

BBCSwahili

Waisraeli waliochoma moto Mpalestina kuhukumiwa

Mahakama moja nchini Israel imewapata waisraeli wawili na hatia ya kumuua kijana wa kipalestina mwaka wa 2014.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mfanyabiashara atahadharisha Polisi

JESHI la Polisi nchini limetakiwa kuacha kuvifananisha vikundi vya uhalifu na makundi ya kigaidi kama vile Al Sbabab, El Quaeda na Boko Haram, kwani kwa kufanya hivyo kunaweza kuvuruga uchumi...

 

5 years ago

BBCSwahili

'Bangi ilikuwa ikichomwa wakati wa ibada' na Waisraeli wa zamani - utafiti unasema

Mabaki ya bangi yamepatikana katika madhabahu yaliopo katika hekalu lililopo jangwani nchini Israel.

 

10 years ago

GPL

Yanga SC yawaotea Waarabu

Wachezaji wa Yanga wakishangilia goli. KOCHA wa Yanga, Hans van Der Pluijm, jeuri sana, kwani amefanya mazoezi mara mbili na kikosi chake kisha akawasisitizia wachezaji wake kwamba, wote lazima wakabe kisawasawa kuanzia mwanzo hadi mwisho katika mchezo wao dhidi ya Etoile du Sahel leo Jumamosi usiku. Yanga ipo jijini hapa tangu juzi kujiandaa na mchezo wake wa marudiano wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Etoile du Sahel...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani