Kijana aliyewadunga kisu Waisraeli auawa
Polisi wa Israeli wanasema kuwa kijana Mpalestina amewadunga kisu Waisraeli wawili mjini Jerusalem.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili09 Nov
Mwanamke mpalestina auawa na Waisraeli
10 years ago
Mtanzania03 Jan
Kijana apigwa kisu baada ya kufumaniwa,
Asifiwe George na Mwajabu Kusupa (TEC), Dar es Salaam
HEKAHEKA za sikukuu ya mwaka mpya wa 2015 jijini Dar es Salaam zimeacha alama ya matukio kadhaa mbali na taarifa za watu 87 kujeruhiwa kwa ajali wakati wa mkesha, pia yapo matukio mengine mawili likiwemo la kijana wa miaka 18 kuuawa baada ya kufumaniwa.
Kabla ya taarifa hizi mpya juzi gazeti la MTANZANIA liliripoti juu ya kutokea kwa ajali katika maeneo tofauti tofauti zilizosababisha watu 87 kujeruhiwa wakiwa katika harakati za...
11 years ago
Habarileo29 Apr
Mkuu wa Upelelezi auawa kwa kisu
MKUU wa Upelelezi, Kituo cha Polisi Isebania Wilaya ya Kurya West, Kenya kilicho mpakani na Tanzania, John Kaduri ameuawa kwa kuchomwa kisu shingoni na mtuhumiwa wa vitendo vya uhalifu.
10 years ago
Habarileo18 Dec
Dereva wa bodaboda auawa kwa kisu
MWENDESHA pikipiki maarufu bodaboda, Zacharia Lungwa (24) mkazi wa Kitongoji cha Kawajense mjini Mpanda katika mkoa wa Katavi ameuawa kwa kuchomwa na kisu na abiria wake aliyekuwa amembeba.
11 years ago
Mwananchi13 Jun
Auawa kwa kuchomwa kisu na mumewe
10 years ago
Mwananchi30 Dec
Mume auawa kwa kisu na hawara wa mkewe
9 years ago
Mwananchi13 Oct
Askari auawa kwa kisu na mtangazaji wa redio
11 years ago
Habarileo08 Aug
Auawa kwa kisu deni la Tsh.2,000/-
DENI la Sh 2,000 limesababisha mpiga debe katika stendi ya mabasi yaendayo mikoani ya mjini Iringa, Samwel Yengayenga kupoteza uhai wake baada ya kuchomwa kisu na mdeni wake.
9 years ago
BBCSwahili12 Oct
Auawa kwa kujaribu kumdunga polisi kisu Israeli