Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kijana aliyewadunga kisu Waisraeli auawa

Polisi wa Israeli wanasema kuwa kijana Mpalestina amewadunga kisu Waisraeli wawili mjini Jerusalem.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Mwanamke mpalestina auawa na Waisraeli

Polisi wa Israili wanasema kuwa Mpalestina amepigwa risasi na kuuawa,kwa kumdunga kisu askari wa Israeli

 

10 years ago

Mtanzania

Kijana apigwa kisu baada ya kufumaniwa,

Asifiwe George na Mwajabu Kusupa (TEC), Dar es Salaam
HEKAHEKA za sikukuu ya mwaka mpya wa 2015 jijini Dar es Salaam zimeacha alama ya matukio kadhaa mbali na taarifa za watu 87 kujeruhiwa kwa ajali wakati wa mkesha, pia yapo matukio mengine mawili likiwemo la kijana wa miaka 18 kuuawa baada ya kufumaniwa.
Kabla ya taarifa hizi mpya juzi gazeti la MTANZANIA liliripoti juu ya kutokea kwa ajali katika maeneo tofauti tofauti zilizosababisha watu 87 kujeruhiwa wakiwa katika harakati za...

 

11 years ago

Habarileo

Mkuu wa Upelelezi auawa kwa kisu

MKUU wa Upelelezi, Kituo cha Polisi Isebania Wilaya ya Kurya West, Kenya kilicho mpakani na Tanzania, John Kaduri ameuawa kwa kuchomwa kisu shingoni na mtuhumiwa wa vitendo vya uhalifu.

 

10 years ago

Habarileo

Dereva wa bodaboda auawa kwa kisu

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Katavi, Dhahri Kidavashari MWENDESHA pikipiki maarufu bodaboda, Zacharia Lungwa (24) mkazi wa Kitongoji cha Kawajense mjini Mpanda katika mkoa wa Katavi ameuawa kwa kuchomwa na kisu na abiria wake aliyekuwa amembeba.

 

11 years ago

Mwananchi

Auawa kwa kuchomwa kisu na mumewe

>Watu wanne wamefariki dunia katika matukio tofauti mkoani hapa, akiwamo mwanamke mmoja mkazi wa Kijiji cha Isangati Mbeya Vijijini aliyechomwa kisu na mume wake wakati akiwa amelala.

 

10 years ago

Mwananchi

Mume auawa kwa kisu na hawara wa mkewe

Mkazi wa Tarafa ya Mang’ula wilayani Kilombero, Amon Nyenja amefariki dunia baada ya kuchomwa kwa kisu na anayedhaniwa kuwa ni hawara wa mke wake mdogo.

 

9 years ago

Mwananchi

Askari auawa kwa kisu na mtangazaji wa redio

Askari polisi wa mjini Babati, Mkoa wa Manyara ameuawa kwa kuchomwa kisu na mtangazaji mmoja wa redio kwa kile kinachodaiwa kuwa ni wivu wa kimapenzi.

 

11 years ago

Habarileo

Auawa kwa kisu deni la Tsh.2,000/-

DENI la Sh 2,000 limesababisha mpiga debe katika stendi ya mabasi yaendayo mikoani ya mjini Iringa, Samwel Yengayenga kupoteza uhai wake baada ya kuchomwa kisu na mdeni wake.

 

9 years ago

BBCSwahili

Auawa kwa kujaribu kumdunga polisi kisu Israeli

Mtu mmoja amepigwa risasi na kuuawa kwa kujaribu kumdunga kisu afisa mmoja wa usalama kutoka Israeli

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani