Mume auawa kwa kisu na hawara wa mkewe
Mkazi wa Tarafa ya Mang’ula wilayani Kilombero, Amon Nyenja amefariki dunia baada ya kuchomwa kwa kisu na anayedhaniwa kuwa ni hawara wa mke wake mdogo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mMRmJLLEzVGnhM71mrtL3LvPfgUr7yI1x44j3JDeetp3bjhohzMMk1ibWTtuPbzYsIEwN07Q0t-SdnhE4f0E9OhSX8yaQZX0/5.jpg?width=650)
MUME ALIVYOMCHOMA KISU HAWARA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Z-JJSpQIZ69yOhBnCt6I-aAkk2iVjXv*NRm*nOGv7ZBu60OpGM7vEVtFtMuoWC464IpCmQcJeIJjSuSTvbxN*2f*4hpyCApF/Mume.jpg?width=650)
MUME AMCHOMA KISU MKEWE, NAYE ANYWA SUMU
11 years ago
Habarileo17 Jul
Mume aua mke kwa kisu
WATU watano wamekufa mkoani Rukwa katika matukio tofauti, akiwemo Silvia Patrick aliyeuawa na mumewe kwa kuchomwa kisu kifuani kutokana na wivu wa mapenzi. Joseph Dominick (33) baada ya kumuua mkewe huyo mwenye miaka 26, alijaribu kujiua kwa kujichoma kisu tumboni, lakini hakufa na amelazwa katika Kituo cha Afya cha Kamasamba wilayani Momba mkoani Mbeya akiwa chini ya ulinzi.
11 years ago
Habarileo29 Apr
Mkuu wa Upelelezi auawa kwa kisu
MKUU wa Upelelezi, Kituo cha Polisi Isebania Wilaya ya Kurya West, Kenya kilicho mpakani na Tanzania, John Kaduri ameuawa kwa kuchomwa kisu shingoni na mtuhumiwa wa vitendo vya uhalifu.
11 years ago
Mwananchi13 Jun
Auawa kwa kuchomwa kisu na mumewe
10 years ago
Habarileo18 Dec
Dereva wa bodaboda auawa kwa kisu
MWENDESHA pikipiki maarufu bodaboda, Zacharia Lungwa (24) mkazi wa Kitongoji cha Kawajense mjini Mpanda katika mkoa wa Katavi ameuawa kwa kuchomwa na kisu na abiria wake aliyekuwa amembeba.
9 years ago
Mwananchi13 Oct
Askari auawa kwa kisu na mtangazaji wa redio
11 years ago
Habarileo08 Aug
Auawa kwa kisu deni la Tsh.2,000/-
DENI la Sh 2,000 limesababisha mpiga debe katika stendi ya mabasi yaendayo mikoani ya mjini Iringa, Samwel Yengayenga kupoteza uhai wake baada ya kuchomwa kisu na mdeni wake.
9 years ago
Mwananchi28 Nov
Mke aua mume kwa kumchoma kisu shingoni