Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MUME ALIVYOMCHOMA KISU HAWARA

Richard Bukos na Makongoro Oging’/Uwazi
Habari zilizolitikisa Jiji la Dar es Salaam mwishoni mwa wiki iliyopita ni pamoja na ile ya mkazi wa Chamazi, Hussein Mfaume, kumchoma visu hawara yake,  Ester Thomas Ungele (30), naye kujichoma mpaka kujitoa utumbo, Uwazi limeichimba kwa kina. Hawara akipelekwa hospitali baada ya kuchomwa kisi. Habari zilidai kuwa, kisa hasa cha mwanaume huyo kujichukulia uamuzi huo wa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Mume auawa kwa kisu na hawara wa mkewe

Mkazi wa Tarafa ya Mang’ula wilayani Kilombero, Amon Nyenja amefariki dunia baada ya kuchomwa kwa kisu na anayedhaniwa kuwa ni hawara wa mke wake mdogo.

 

11 years ago

Habarileo

Mume aua mke kwa kisu

WATU watano wamekufa mkoani Rukwa katika matukio tofauti, akiwemo Silvia Patrick aliyeuawa na mumewe kwa kuchomwa kisu kifuani kutokana na wivu wa mapenzi. Joseph Dominick (33) baada ya kumuua mkewe huyo mwenye miaka 26, alijaribu kujiua kwa kujichoma kisu tumboni, lakini hakufa na amelazwa katika Kituo cha Afya cha Kamasamba wilayani Momba mkoani Mbeya akiwa chini ya ulinzi.

 

11 years ago

GPL

ACHOMWA KISU KISA MUME WA MTU!

JESHIla polisi mkoani hapa linamshikilia mwanamke aliyejulikana kwa jina la Pima Mabubu kwa tuhuma za kumchoma kisu mpaka kumjeruhi vibaya mwanamke mwenzake, Amina Hussein akidai ana uhusiano wa kimapenzi na mumewe, Adam Ndekeja, Risasi Jumamosi lina mkasa wote. Amina Hussein akipata matibabu katika hospital ya taifa Muhimbili. Tukio hilo lililowaacha watu vinywa wazi, lilijiri Aprili 22, mwaka huu shambani katika Kijiji cha...

 

10 years ago

GPL

MUME AMCHOMA KISU MKEWE, NAYE ANYWA SUMU

Mayasa Mariwata na Makongoro Oging’
MWANAMKE mmoja mwenye asili ya Kiarabu, Salma Amuri (39) (pichani) mkazi wa Mji Mpya, Kawe jijini Dar, amenusurika kifo baada ya kuchomwa visu sehemu mbalimbali za mwili wake ikiwemo tumboni na mumewe aliyetambulika kwa jina moja la Selemani.Mwanaume huyo naye baada ya tukio hilo alijaribu kujiua kwa kunywa sumu, chanzo kikidaiwa kuwa ni wivu wa mapenzi. Salma Amuri anayedaiwa...

 

9 years ago

Mwananchi

Mke aua mume kwa kumchoma kisu shingoni

Mwanamke wa Kijiji cha Nyamatoke wilayani Serengeti, anashikiliwa na polisi kwa tuhuma ya kumuua mume wake kutokana na wivu wa mapenzi.

 

11 years ago

GPL

MKE, HAWARA...

Stori: Waandishi Wetu KUNA matukio ambayo kama binadamu yasikie kwa wengine tu lakini yasikutokee wewe! Kama hili la mkazi wa Ukonga –Mzambarauni, Dar, Paulo Ndulu ambapo mkesha wa kuamkia Sikukuu ya Sabasaba, alijikuta katika wakati mgumu pale alipoingia kibaruani kuamua ngumi kati ya mkewe, Anitha Mapunda na Elizabeth Chacha aliyedaiwa kuwa ni hawara yake, OFM walishuhudia. Bw. Paulo Ndulu  akijaribu kuamua ugomvi...

 

11 years ago

GPL

KISA HAWARA!

Stori: Deogratius Mongela na Chande Abdallah MY God! Mke wa mtu aliyejitambulisha kwa jina la Pamela Said (30) amedai kupigwa mchi kichwani na mumewe wa ndoa aliyemtaja kwa jina moja la Alex kisa kikiwa ni simu aliyopigiwa mumewe na hawara’ke. Mke wa mtu anayefahamika kwa jina la Pamela Said (30) anayedai kupigwa mchi kichwani na mumewe wa ndoa aliyemtaja kwa jina moja la Alex. Tukio hilo la kusikitisha lilijiri Mei 23,...

 

11 years ago

GPL

DENTI AFIA KWA HAWARA

Stori: DENIS MTIMA NA MAYASA MARIWATA MSICHANA Atu Gabriel mwenye umri wa miaka 20,  mwanafunzi wa Chuo cha Eden Hill kilichopo Kwamfipa wilayani Kibaha mkoani Pwani, amekutwa amekufa chumbani kwa mtu anayetajwa kuwa ni hawara yake, Hafidh Mohammed. Mwili wa Atu ukiwa chumbani kwa mtu anayesadikika kuwa ni mpenzi wake, Hafidh Mohammed. Tukio hilo lilitokea April 26, mwaka huu na kukusanya umati huku mwanaume aliyelala na...

 

11 years ago

GPL

MKE AMBONDA HAWARA GESTI!

Stori: Hamida Hassan na Imelda Mtema
Kila kukicha kunaibuka vituko vingi duniani, wamo wanaosema huenda ni mwisho wa dunia! Mama mmoja almaarufu kwa jina la Mama la Mama anadaiwa kumbonda hawara wa mumewe baada ya kumwekea mtego wa fumanizi kwenye nyumba ya kulala wageni (gesti). Hawara akihaha ndani ya gesti ya White Paris (kimara) mara baada ya fumanizi. SEKESEKE
Sekeseke hilo kubwa… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani