MUME AMCHOMA KISU MKEWE, NAYE ANYWA SUMU
![](http://api.ning.com:80/files/Z-JJSpQIZ69yOhBnCt6I-aAkk2iVjXv*NRm*nOGv7ZBu60OpGM7vEVtFtMuoWC464IpCmQcJeIJjSuSTvbxN*2f*4hpyCApF/Mume.jpg?width=650)
Mayasa Mariwata na Makongoro Oging’ MWANAMKE mmoja mwenye asili ya Kiarabu, Salma Amuri (39) (pichani) mkazi wa Mji Mpya, Kawe jijini Dar, amenusurika kifo baada ya kuchomwa visu sehemu mbalimbali za mwili wake ikiwemo tumboni na mumewe aliyetambulika kwa jina moja la Selemani.Mwanaume huyo naye baada ya tukio hilo alijaribu kujiua kwa kunywa sumu, chanzo kikidaiwa kuwa ni wivu wa mapenzi. Salma Amuri anayedaiwa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OcxvxG4wHxYbR3i4yXNyj6XasLqVbYu-CpDS-HmNva7u3Ln7CFIX-LM3oB-UEf5*fGVENqdN058kGNKmKCSDNl*GKqGFkM72/14.jpg?width=650)
MADAI:KIGOGO AMCHOMA KISU MKEWE
10 years ago
Mwananchi30 Dec
Mume auawa kwa kisu na hawara wa mkewe
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tei6Zvghx20JZq7BMJs2EW2Po7hlRbkWt-zDNwQBVmGSk0v-KmZ96FRUCMJwqUd-rim-7EKvOYbw5UgkJ3KdK4d*Zl15M-nd/FRONT.jpg)
MWANAFUNZI AMCHOMA KISU DEREVA DALADALA!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/n7ZUxQJY0YuuN4BF6SHxVfiquB5XervTRZYS2MFPPAv-k5wGIhVE0TZfq*WE2BgYi49AwAQWcKpxYQRw1xfDS21b3AwR2ypO/wastaraA.jpg?width=650)
WASTARA ANYWA SUMU!
11 years ago
Dewji Blog01 Jul
Msichana wa ndani aua tajiri yake, amchoma kisu kwenye Titi, afa papo hapo
Kamanda wa polisi Mkoani Singida (SACP), Geofrey Kamwela.
Na Hillary Shoo, SINGIDA.
SAKATA la wafanyakazi wa ndani kunyanyaswa na mabosi wao limeingia katika sura ya kipekee safari hii mabosi wamegeukwa na kuuwawa na wafanyakazi hao.
Hatua hiyo imekuja siku chache baada ya mfanyakazi mmoja wa ndani Mkoani Singida, kumwua tajiri yake kwa kumchoma kwa kisu sehemu ya juu ya titi la kulia kwa madai ya kunyanyashwa na tajiri yake.
Kamanda wa polisi Mkoani Singida (SACP) Geofrey Kamwela alisema...
10 years ago
BBCSwahili07 May
Mzee amchoma mkewe wa miaka 16 Kenya
10 years ago
Habarileo20 Oct
Anywa sumu baada ya kunusurika kubakwa
JESHI la Polisi mkoani Tanga linamshikilia mtoto mmoja (16) ambaye ni mkazi wa barabara ya 20 jiijini humo, kwa kosa la kunywa sumu kwa lengo la kutaka kujiua, baada ya kunusurika kubakwa na baba yake wa kambo.
11 years ago
Mwananchi22 Jul
Mume amchoma mke sehemu za siri
10 years ago
Habarileo20 Oct
Mtoto anywa sumu baada ya kunusurika kubakwa
JESHI la Polisi mkoani Tanga linamshikilia mtoto mmoja (16) ambaye ni mkazi wa barabara ya 20 jiijini humo, kwa kosa la kunywa sumu kwa lengo la kutaka kujiua, baada ya kunusurika kubakwa na baba yake wa kambo.