MWANAFUNZI AMCHOMA KISU DEREVA DALADALA!
![](http://api.ning.com:80/files/tei6Zvghx20JZq7BMJs2EW2Po7hlRbkWt-zDNwQBVmGSk0v-KmZ96FRUCMJwqUd-rim-7EKvOYbw5UgkJ3KdK4d*Zl15M-nd/FRONT.jpg)
Na Makongoro Oging’ MAISHA haya siku hizi balaa tupu! Mwanafunzi wa kidato cha kwanza katika Shule ya Sekondari Kwembe, Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam (jina limefichwa), anashikiliwa na Jeshi la Polisi Kituo cha Magomeni kwa madai ya kumchoma kisu dereva wa daladala. Dereva akiwa miguuni mwa mwanafunzi. Uwazi limenasa mkasa huo uliotokea Juni Mosi, mwaka huu eneo la Manzese na kubaini kuwa aliyechomwa kisu...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OcxvxG4wHxYbR3i4yXNyj6XasLqVbYu-CpDS-HmNva7u3Ln7CFIX-LM3oB-UEf5*fGVENqdN058kGNKmKCSDNl*GKqGFkM72/14.jpg?width=650)
MADAI:KIGOGO AMCHOMA KISU MKEWE
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Z-JJSpQIZ69yOhBnCt6I-aAkk2iVjXv*NRm*nOGv7ZBu60OpGM7vEVtFtMuoWC464IpCmQcJeIJjSuSTvbxN*2f*4hpyCApF/Mume.jpg?width=650)
MUME AMCHOMA KISU MKEWE, NAYE ANYWA SUMU
11 years ago
Dewji Blog01 Jul
Msichana wa ndani aua tajiri yake, amchoma kisu kwenye Titi, afa papo hapo
Kamanda wa polisi Mkoani Singida (SACP), Geofrey Kamwela.
Na Hillary Shoo, SINGIDA.
SAKATA la wafanyakazi wa ndani kunyanyaswa na mabosi wao limeingia katika sura ya kipekee safari hii mabosi wamegeukwa na kuuwawa na wafanyakazi hao.
Hatua hiyo imekuja siku chache baada ya mfanyakazi mmoja wa ndani Mkoani Singida, kumwua tajiri yake kwa kumchoma kwa kisu sehemu ya juu ya titi la kulia kwa madai ya kunyanyashwa na tajiri yake.
Kamanda wa polisi Mkoani Singida (SACP) Geofrey Kamwela alisema...
10 years ago
Habarileo18 Dec
Dereva wa bodaboda auawa kwa kisu
MWENDESHA pikipiki maarufu bodaboda, Zacharia Lungwa (24) mkazi wa Kitongoji cha Kawajense mjini Mpanda katika mkoa wa Katavi ameuawa kwa kuchomwa na kisu na abiria wake aliyekuwa amembeba.
10 years ago
Habarileo03 Jan
Dereva teksi afumaniwa, auawa kwa kuchomwa kisu kifuani
DEREVA teksi Hamis Seleman (18), mkazi wa Vingunguti jijini Dar es Salaam, amekufa baada ya kuchomwa kisu kifuani na Ali Kimodo, aliyemfumania akiwa na mpenzi wake.
9 years ago
Michuzi13 Oct
MWANAHABARI AMUUA POLISI KWA KISU WAKIGOMBEA MWANAFUNZI
Baadhi ya wakazi wa Babati walisema jana kuwa wanaume hao walikuwa wakimgombea mwanafunzi wa kidato cha pili walipokuwa baa.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Manyara, Christopher Fuime alimtaja aliyeuawa kuwa ni Rashid Haruna (30) mwenyeji wa Mkoa wa Njombe.Kamanda Fuime alisema tukio hilo lilitokea juzi saa 5.30 usiku eneo la Kitalu X.
Alisema Polisi...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/oszb1oYwZCm70oaRu4-qpDQVCO7MizZwy5jKzB44bG23IZo3tGYBfXJn1jA7EX-Z2-XGCeTCO53mOr0Axr0zXdyGebvsRRj3/wastara.jpg)
WASTARA AZICHAPA NA DEREVA DALADALA
10 years ago
Michuzi23 Jul
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/A8I8pebmYzr2eYP7hP5ut4Ux34fTSjiTEbUqdnAnphGP3N9CV6BX9mZVVmSJzAHGrShUfc0t3-F7mX7R7F3JzMTyL5D5uzfH/polisi.jpg?width=650)
ASKARI WAMPA KIPONDO DEREVA DALADALA