Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MWANAHABARI AMUUA POLISI KWA KISU WAKIGOMBEA MWANAFUNZI

 ASKALI Polisi wa mjini Babati, Mkoa wa Manyara ameuawa kwa kuchomwa kisu na mtangazaji mmoja wa redio kwa kile kinachodaiwa kuwa ni wivu wa kimapenzi.
Baadhi ya wakazi wa Babati walisema jana kuwa wanaume hao walikuwa wakimgombea mwanafunzi wa kidato cha pili walipokuwa baa.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Manyara, Christopher Fuime alimtaja aliyeuawa kuwa ni Rashid Haruna (30) mwenyeji wa Mkoa wa Njombe.Kamanda Fuime alisema tukio hilo lilitokea juzi saa 5.30 usiku eneo la Kitalu X.
Alisema Polisi...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Amuua mwenzake wakigombea sigara

Uvutaji wa sigara umeleta maafa, baada ya mtu mmoja kukatwa mkono na kuuawa na mwenzake wakati wakigombea sigara.

 

11 years ago

Habarileo

Amuua mwenzake wakigombea 10,000/-

MKAZI wa Kijiji cha Nyangoto Nyamongo Tarafa ya Ingwe Tarime mkoani Mara, Mwita Samson (23) ameuawa kwa kuchomwa na kitu chenye ncha kali na Munyaru Waigama katika ugomvi wa kugombea Sh 10,000.

 

10 years ago

GPL

DADA AMUUA KAKA YAKE KWA KISU KISA

Stori: Chande Abdallah na Haruni Sanchawa/Uwazi
DUNIA  imekwisha! Binti mmoja mwenye umri wa miaka 19, Rukia Ally anadaiwa kumuua kwa kumchoma kisu kaka yake wa kuzaliwa, Said Ally wote wakati whga Tegeta Mivumoni, Kata ya Wazo jijini Dar es Salaam, kwa kile kinachodaiwa kuwa ni kutokana na kijana huyo kutaka kudhibiti tabia zisizofaa za dada yake huyo, tukio lililotokea usiku wa Januari 24 mwaka huu. Rukia Ally anayedaiwa...

 

10 years ago

Mtanzania

Mwanafunzi aua mwenzake darasani wakigombea daftari

Na Kadama Malunde, Shinyanga

MWANAFUNZI wa darasa la tano katika Shule ya Msingi Ilola, Wilaya ya Shinyanga Vijijini, Mkoa wa Shinyanga, Veronica Venance (12), amefariki dunia baada ya kupigwa na mwanafunzi mwenzake wakati wakigombea daftari darasani.
Tukio hilo limetokea juzi mchana wakati wanafunzi hao wakiwa darasani wakiendelea na masomo.
Akizungumza na MTANZANIA jana kuhusu tukio hilo, Ofisa Mtendaji wa Kata ya Ilola, Mahona Joseph, alidai lilitokea wakati Veronoca alipong’ang’ania...

 

10 years ago

GPL

MWANAFUNZI AMCHOMA KISU DEREVA DALADALA!

Na Makongoro Oging’
MAISHA haya siku hizi balaa tupu! Mwanafunzi wa kidato cha kwanza katika Shule ya Sekondari Kwembe, Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam (jina limefichwa), anashikiliwa na Jeshi la Polisi Kituo cha Magomeni kwa madai ya kumchoma kisu dereva wa daladala. Dereva akiwa miguuni mwa mwanafunzi. Uwazi limenasa mkasa huo uliotokea Juni Mosi, mwaka huu eneo la Manzese na kubaini kuwa aliyechomwa kisu...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mwalimu amuua mwanafunzi Kenya

Polisi nchini Kenya wamamkamata mwalimu aliyemchapa mwanafunzi wa darasa la saba hadi akafariki

 

10 years ago

BBCSwahili

Chui Buka amuua mwanafunzi India

Chui Buka au 'Tiger', amemshambulia na kumuua mwanafunzi nchini India katika hifadhi ya wanyamapori ya Delhi.

 

9 years ago

BBCSwahili

Auawa kwa kujaribu kumdunga polisi kisu Israeli

Mtu mmoja amepigwa risasi na kuuawa kwa kujaribu kumdunga kisu afisa mmoja wa usalama kutoka Israeli

 

11 years ago

Mwananchi

Mtuhumiwa amuua askari polisi kwa jiwe

Askari polisi F. 5264 PC Sabato (37) wa Kituo cha Polisi cha Longido, wilayani Monduli, ameuawa kwa kupigwa jiwe na mtuhumiwa aliyekuwa akimpeleka mahabusu katika Gereza la Kisongo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani