Mwalimu amuua mwanafunzi Kenya
Polisi nchini Kenya wamamkamata mwalimu aliyemchapa mwanafunzi wa darasa la saba hadi akafariki
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili23 Sep
Chui Buka amuua mwanafunzi India
9 years ago
Michuzi13 Oct
MWANAHABARI AMUUA POLISI KWA KISU WAKIGOMBEA MWANAFUNZI
Baadhi ya wakazi wa Babati walisema jana kuwa wanaume hao walikuwa wakimgombea mwanafunzi wa kidato cha pili walipokuwa baa.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Manyara, Christopher Fuime alimtaja aliyeuawa kuwa ni Rashid Haruna (30) mwenyeji wa Mkoa wa Njombe.Kamanda Fuime alisema tukio hilo lilitokea juzi saa 5.30 usiku eneo la Kitalu X.
Alisema Polisi...
10 years ago
Mwananchi26 Oct
Ni vita ya mwalimu vs mwanafunzi
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/U8LSueg-IYrYDJCboE04DLYrMxHEpsvS7gKe4j1eVCLxbv4vH61r89WpM94Rv-bbAfASLJwokLzNQQN4ghKcxYxOs*yPZAOJ/WATOTOWAKIVUADAGAAA.jpg)
MWALIMU AMZALISHA MWANAFUNZI WAKE
10 years ago
Habarileo06 Oct
Mwalimu mwanamke azaa na mwanafunzi
WAKATI ikiwa imezoeleka kuwa baadhi ya walimu wa kiume huwarubuni wanafunzi wao wa kike na hata kuwaharibia kabisa ndoto zao za kielimu kutokana na kuwapa ujauzito, hali imekuwa tofauti mkoani Rukwa ambako mwanafunzi wa Kidato cha Pili anadaiwa kumzalisha mwalimu wake.
10 years ago
Mwananchi30 Jan
Mwalimu atuhumiwa kumbaka mwanafunzi
10 years ago
Habarileo07 Oct
Mwalimu afumwa gesti na mwanafunzi wake
MWALIMU wa Shule ya Sekondari ya Muungano iliyopo mji mdogo wa Himo wilayani Moshi, Richard Ndoile (30), anashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Kilimanjaro, kwa tuhuma za kukutwa gesti na mwanafunzi wake wakifanya mapenzi.
10 years ago
CloudsFM06 Oct
MWANAFUNZI AMPA UJAUZITO MWALIMU WAKE
WAKATI ikiwa imezoeleka kuwa baadhi ya walimu wa kiume huwarubuni wanafunzi wao wa kike na hata kuwaharibia kabisa ndoto zao za kielimu kutokana na kuwapa ujauzito, hali imekuwa tofauti mkoani Rukwa ambako mwanafunzi wa Kidato cha Pili anadaiwa kumzalisha mwalimu wake.
Mwanafunzi huyo aliyemzalisha mwalimu wake ana umri wa miaka 17, wakati mwalimu huyo anayefundisha katika Shule ya Sekondari ya Umma ya Nkasi, iliyopo mwambao mwa Ziwa Tanganyika wilayani Nkasi, Rukwa, ana umri wa miaka 25.
...
11 years ago
Mwananchi11 Jan
Mwalimu jela kwa kumpa mimba mwanafunzi