Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwalimu amuua mwanafunzi Kenya

Polisi nchini Kenya wamamkamata mwalimu aliyemchapa mwanafunzi wa darasa la saba hadi akafariki

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Chui Buka amuua mwanafunzi India

Chui Buka au 'Tiger', amemshambulia na kumuua mwanafunzi nchini India katika hifadhi ya wanyamapori ya Delhi.

 

9 years ago

Michuzi

MWANAHABARI AMUUA POLISI KWA KISU WAKIGOMBEA MWANAFUNZI

 ASKALI Polisi wa mjini Babati, Mkoa wa Manyara ameuawa kwa kuchomwa kisu na mtangazaji mmoja wa redio kwa kile kinachodaiwa kuwa ni wivu wa kimapenzi.
Baadhi ya wakazi wa Babati walisema jana kuwa wanaume hao walikuwa wakimgombea mwanafunzi wa kidato cha pili walipokuwa baa.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Manyara, Christopher Fuime alimtaja aliyeuawa kuwa ni Rashid Haruna (30) mwenyeji wa Mkoa wa Njombe.Kamanda Fuime alisema tukio hilo lilitokea juzi saa 5.30 usiku eneo la Kitalu X.
Alisema Polisi...

 

10 years ago

Mwananchi

Ni vita ya mwalimu vs mwanafunzi

Ni vita baina ya wataalamu wawili wenye sifa na rekodi tofauti katika ulimwengu wa soka Louis Van Gaal na Jose Mourinho.

 

10 years ago

GPL

MWALIMU AMZALISHA MWANAFUNZI WAKE

Wanafuzi wakiwa ziwa Nyasa (Picha na Maktaba). Mwanafunzi wa kidato cha pili (17) Shule ya Nkisi, iliyopo mwambao wa ziwa Tanganyika, Rukwa amezalishwa na mwalimu wake (25).

 

10 years ago

Habarileo

Mwalimu mwanamke azaa na mwanafunzi

WAKATI ikiwa imezoeleka kuwa baadhi ya walimu wa kiume huwarubuni wanafunzi wao wa kike na hata kuwaharibia kabisa ndoto zao za kielimu kutokana na kuwapa ujauzito, hali imekuwa tofauti mkoani Rukwa ambako mwanafunzi wa Kidato cha Pili anadaiwa kumzalisha mwalimu wake.

 

10 years ago

Mwananchi

Mwalimu atuhumiwa kumbaka mwanafunzi

Jeshi la Polisi mkoani Kilimanjaro linamshikilia mwalimu mmoja wa shule ya sekondari kwa tuhuma za kumbaka mwanafunzi wa kidato cha tatu na kumuumiza sehemu za siri.

 

10 years ago

Habarileo

Mwalimu afumwa gesti na mwanafunzi wake

MWALIMU wa Shule ya Sekondari ya Muungano iliyopo mji mdogo wa Himo wilayani Moshi, Richard Ndoile (30), anashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Kilimanjaro, kwa tuhuma za kukutwa gesti na mwanafunzi wake wakifanya mapenzi.

 

10 years ago

CloudsFM

MWANAFUNZI AMPA UJAUZITO MWALIMU WAKE

WAKATI ikiwa imezoeleka kuwa baadhi ya walimu wa kiume huwarubuni wanafunzi wao wa kike na hata kuwaharibia kabisa ndoto zao za kielimu kutokana na kuwapa ujauzito, hali imekuwa tofauti mkoani Rukwa ambako mwanafunzi wa Kidato cha Pili anadaiwa kumzalisha mwalimu wake.
Mwanafunzi huyo aliyemzalisha mwalimu wake ana umri wa miaka 17, wakati mwalimu huyo anayefundisha katika Shule ya Sekondari ya Umma ya Nkasi, iliyopo mwambao mwa Ziwa Tanganyika wilayani Nkasi, Rukwa, ana umri wa miaka 25.

...

 

11 years ago

Mwananchi

Mwalimu jela kwa kumpa mimba mwanafunzi

Mahakama wilayani Mbozi mkoani Mbeya, imemhukumu Mwalimu wa Shule ya Sekondari Mbozi, Hilary Mwampangala miaka minne jela baada ya kumpa mimba mwanafunzi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani