Mwalimu atuhumiwa kumbaka mwanafunzi
Jeshi la Polisi mkoani Kilimanjaro linamshikilia mwalimu mmoja wa shule ya sekondari kwa tuhuma za kumbaka mwanafunzi wa kidato cha tatu na kumuumiza sehemu za siri.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima27 Sep
Dereva bodaboda atuhumiwa kumtorosha mwanafunzi
DEREVA wa pikipiki (bodaboda) Emanuel Kahemela aliyehukumiwa kifungo cha uangalizi kwa mwaka mmoja nje katika kesi ya kubaka kwa kuishi na binti (jina linahifadhiwa) mwanafunzi wa kidato cha pili katika...
9 years ago
Habarileo15 Dec
Mwalimu Igunga atuhumiwa kutoroka na fedha za shule
MWALIMU Paulo Masabila wa shule ya sekondari Igunga wilayani hapa mkoani Tabora, anatafutwa na baadhi ya wazazi kwa tuhuma za kuondoka na fedha alizowachangisha akidai ni kwa ajili ya safari ya wanafunzi kwenye mbuga za wanyama.
10 years ago
Mwananchi26 Oct
Ni vita ya mwalimu vs mwanafunzi
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/U8LSueg-IYrYDJCboE04DLYrMxHEpsvS7gKe4j1eVCLxbv4vH61r89WpM94Rv-bbAfASLJwokLzNQQN4ghKcxYxOs*yPZAOJ/WATOTOWAKIVUADAGAAA.jpg)
MWALIMU AMZALISHA MWANAFUNZI WAKE
11 years ago
BBCSwahili03 Apr
Mwalimu amuua mwanafunzi Kenya
10 years ago
Habarileo06 Oct
Mwalimu mwanamke azaa na mwanafunzi
WAKATI ikiwa imezoeleka kuwa baadhi ya walimu wa kiume huwarubuni wanafunzi wao wa kike na hata kuwaharibia kabisa ndoto zao za kielimu kutokana na kuwapa ujauzito, hali imekuwa tofauti mkoani Rukwa ambako mwanafunzi wa Kidato cha Pili anadaiwa kumzalisha mwalimu wake.
10 years ago
CloudsFM06 Oct
MWANAFUNZI AMPA UJAUZITO MWALIMU WAKE
WAKATI ikiwa imezoeleka kuwa baadhi ya walimu wa kiume huwarubuni wanafunzi wao wa kike na hata kuwaharibia kabisa ndoto zao za kielimu kutokana na kuwapa ujauzito, hali imekuwa tofauti mkoani Rukwa ambako mwanafunzi wa Kidato cha Pili anadaiwa kumzalisha mwalimu wake.
Mwanafunzi huyo aliyemzalisha mwalimu wake ana umri wa miaka 17, wakati mwalimu huyo anayefundisha katika Shule ya Sekondari ya Umma ya Nkasi, iliyopo mwambao mwa Ziwa Tanganyika wilayani Nkasi, Rukwa, ana umri wa miaka 25.
...
10 years ago
Habarileo07 Oct
Mwalimu afumwa gesti na mwanafunzi wake
MWALIMU wa Shule ya Sekondari ya Muungano iliyopo mji mdogo wa Himo wilayani Moshi, Richard Ndoile (30), anashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Kilimanjaro, kwa tuhuma za kukutwa gesti na mwanafunzi wake wakifanya mapenzi.
11 years ago
Mwananchi11 Jan
Mwalimu jela kwa kumpa mimba mwanafunzi