Mwalimu jela kwa kumpa mimba mwanafunzi
Mahakama wilayani Mbozi mkoani Mbeya, imemhukumu Mwalimu wa Shule ya Sekondari Mbozi, Hilary Mwampangala miaka minne jela baada ya kumpa mimba mwanafunzi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo12 Mar
Jela miaka 10 kwa kumpa mimba mwanafunzi
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dodoma imemhukumu mfanyabiashara wa mbuzi, Adam Shaban Hole (46) kwenda jela miaka 10 baada ya kumtia hatiani kwa kosa la kumpa mimba mwanafunzi, kushiriki kumtoa mimba na kusababisha kifo chake.
11 years ago
Habarileo01 Apr
Atupwa jela miaka 65 kwa kumpa mimba mwanawe
MKAZI wa Mtaa wa Uhamila katika mji mdogo wa Rujewa, mkoani Mbeya, amehukumiwa miaka 65 jela kutokana na makosa matatu tofauti, yaliyotokana na kumpa ujauzito mwanawe wa kumzaa.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-SE2ydJigMcM/XlU1RfNNQtI/AAAAAAALfSg/tVxJ4JYeEm0XphPSUEJYzl10_2J5fEcYwCLcBGAsYHQ/s72-c/vlcsnap-2020-02-25-04h55m51s247.png)
Mwalimu ahukumiwa miaka 3 jela na kulipa fidia Mil.10 kwa kumsababishia ulemavu mwanafunzi wake
Mahakama ya wilaya ya Njombe imemhukumu mwalimu Focus Mbilinyi aliyekuwa akifundisha shule ya msingi Madeke hapo awali kifungo cha miaka mitatu jela pamoja na kulipa fidia ya shilingi milioni kumi baada ya kumkuta na hatia ya kumpiga mwanafunzi wake na kumsababishia ulemavu wa kudumu.
Hukumu hiyo imetolewa na mahakama ya wilaya ya Njombe kupitia hakimu Ivran Msaki ambae amesema mahakama imesikiliza ushahidi wa pande zote mbili wa shauri namba 141 la mwaka 2019 na...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xMCtlOLhuRcycGhFQwAUH56oxMlO5ZV1ElK9eQKOMQqOvrcDg8phra8vAW*dtdGtQS4u*nrz2y2EYF2eWLfv6ty7di2U*0tX/OfisaElimuMsingiWilayayaNkasiBw.MisanaKwanguraakizungumzanaThehabari.com2.jpg)
MWALIMU SHULE YA MSINGI AMTIA MIMBA MWANAFUNZI WAKE
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-cPynU6bLG6U/U-5P4rRkFOI/AAAAAAAAFEw/5OTCgUXp7E4/s72-c/MJAMZITO.jpg)
MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI AMTUNDIKA MIMBA MWALIMU WAKE
![](http://2.bp.blogspot.com/-cPynU6bLG6U/U-5P4rRkFOI/AAAAAAAAFEw/5OTCgUXp7E4/s640/MJAMZITO.jpg)
Hii ni moja ya picha mbalimbali za wajawazito kama inavyonekani siyo ya mwalimu muhusika kwa tukio hilo.
Na Mohab MatukioWAKATI ikiwa imezoeleka kuwa baadhi ya walimu wa kiume huwarubuni wanafunzi wao wa kike na hata kuwaharibia kabisa ndoto zao za kielimu kutokana na kuwapa ujauzito, hali imekuwa tofauti mkoani Rukwa ambako mwanafunzi wa Kidato cha Pili anadaiwa kumzalisha mwalimu wake.
Mwanafunzi huyo aliyemzalisha mwalimu wake ana umri wa miaka 17, wakati mwalimu huyo anayefundisha katika...
10 years ago
Tanzania Daima23 Nov
Mwanafunzi jela miaka 30 kwa ubakaji
MWANAFUNZI mmoja wa sekondari ya Hunyari, Wilaya hapa, Mkoa wa Mara, amehukumiwa kwenda jela miaka 30 na kuchapwa viboko 12 na Mahakama ya Wilaya hiyo kwa kosa la kumbaka mwanafunzi...
10 years ago
BBCSwahili03 Jan
Mwanafunzi jela kwa kumtusi rais Kenya
10 years ago
Habarileo17 Apr
Kijana jela miaka 30 kwa kumlawiti mwanafunzi
MAHAKAMA ya Wilaya ya Tabora imehukumu Masudi Nassor (20) kifungo cha miaka 30 jela baada ya kupatikana na hatia ya kumlawiti mwanafunzi wa kike wa shule ya msingi mwenye umri wa miaka tisa.
10 years ago
Vijimambo05 Jan
MWANAFUNZI AFUNGWA JELA KWA KUMTUKANA RAIS KWENYE MTANDAONI
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/01/02/150102220926_kenya_president_uhuru_kenyatta_640x360_ap.jpg)
Mwanablogu mashuhuri nchini humo pia alishtakiwa baada ya kumwita rais Uhuru Kenyatta 'rais ambaye...