Mwanafunzi jela kwa kumtusi rais Kenya
Mwanafunzi mmoja nchini Kenya amepewa kifungo cha mwaka mmoja jela kwa kumtukana rais wa Kenya Uhuru Kenyatta
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili01 May
Mahakamani kwa kumtusi Rais Kenya
10 years ago
Vijimambo05 Jan
MWANAFUNZI AFUNGWA JELA KWA KUMTUKANA RAIS KWENYE MTANDAONI
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/01/02/150102220926_kenya_president_uhuru_kenyatta_640x360_ap.jpg)
Mwanablogu mashuhuri nchini humo pia alishtakiwa baada ya kumwita rais Uhuru Kenyatta 'rais ambaye...
9 years ago
Michuzi23 Oct
JELA KWA KUMTUSI KIKWETE NA RIDHIWANI
![](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/6G9LThnHd29Q2c2CW78CTyUZ5fK87mBjJBw5z3nIo5iZzAmUGE4ERU1RvUzVStUWh-ZHGz4twiIyjU9Yjts1ziRNYA9RB-1fgR3fuuG_GVtTOwCOAn5De4i8EBHRXw_Tna2Jx75n4ducSIGyzr_PKsvCNqfvuMsdCRPYHsocHeW44UgCvzWH=s0-d-e1-ft#http://mobile.mwananchi.co.tz/image/view/-/2925940/medRes/1155400/-/13gsam9z/-/JK+%2526+Ridhiwan.jpg?format=xhtml)
MKAZI wa mjini Moshi, Kyefa Joachim Makundi (33), amepandishwa kizimbani akikabiliwa na mashitaka ya kumtukana Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete.
Mbali na shitaka hilo, mshitakiwa huyo amesomewa shitaka lingine la kumtukana Ridhiwan Kikwete ambaye ni mtoto wa Rais Kikwete ambaye pia ni Mbunge wa Chalinze anayemaliza muda wake.
Mshitakiwa huyo amefikishwa mbele ya Hakimu Mkazi Mfawidhi wa mahakama ya mkoa Kilimanjaro,...
9 years ago
Mwananchi22 Oct
Kortini kwa kumtusi Rais Kikwete,Ridhiwan
10 years ago
Tanzania Daima23 Nov
Mwanafunzi jela miaka 30 kwa ubakaji
MWANAFUNZI mmoja wa sekondari ya Hunyari, Wilaya hapa, Mkoa wa Mara, amehukumiwa kwenda jela miaka 30 na kuchapwa viboko 12 na Mahakama ya Wilaya hiyo kwa kosa la kumbaka mwanafunzi...
11 years ago
Habarileo12 Mar
Jela miaka 10 kwa kumpa mimba mwanafunzi
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dodoma imemhukumu mfanyabiashara wa mbuzi, Adam Shaban Hole (46) kwenda jela miaka 10 baada ya kumtia hatiani kwa kosa la kumpa mimba mwanafunzi, kushiriki kumtoa mimba na kusababisha kifo chake.
10 years ago
Habarileo17 Apr
Kijana jela miaka 30 kwa kumlawiti mwanafunzi
MAHAKAMA ya Wilaya ya Tabora imehukumu Masudi Nassor (20) kifungo cha miaka 30 jela baada ya kupatikana na hatia ya kumlawiti mwanafunzi wa kike wa shule ya msingi mwenye umri wa miaka tisa.
11 years ago
Mwananchi11 Jan
Mwalimu jela kwa kumpa mimba mwanafunzi
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-SE2ydJigMcM/XlU1RfNNQtI/AAAAAAALfSg/tVxJ4JYeEm0XphPSUEJYzl10_2J5fEcYwCLcBGAsYHQ/s72-c/vlcsnap-2020-02-25-04h55m51s247.png)
Mwalimu ahukumiwa miaka 3 jela na kulipa fidia Mil.10 kwa kumsababishia ulemavu mwanafunzi wake
Mahakama ya wilaya ya Njombe imemhukumu mwalimu Focus Mbilinyi aliyekuwa akifundisha shule ya msingi Madeke hapo awali kifungo cha miaka mitatu jela pamoja na kulipa fidia ya shilingi milioni kumi baada ya kumkuta na hatia ya kumpiga mwanafunzi wake na kumsababishia ulemavu wa kudumu.
Hukumu hiyo imetolewa na mahakama ya wilaya ya Njombe kupitia hakimu Ivran Msaki ambae amesema mahakama imesikiliza ushahidi wa pande zote mbili wa shauri namba 141 la mwaka 2019 na...