Mahakamani kwa kumtusi Rais Kenya
Mwanasiasa mmoja nchini Kenya ameshitakiwa kwa kosa la kumtusi Rais Uhuru Kenyatta katika mkutano wa kisiasa uliofanyika 2013
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili03 Jan
Mwanafunzi jela kwa kumtusi rais Kenya
Mwanafunzi mmoja nchini Kenya amepewa kifungo cha mwaka mmoja jela kwa kumtukana rais wa Kenya Uhuru Kenyatta
9 years ago
Mwananchi22 Oct
Kortini kwa kumtusi Rais Kikwete,Ridhiwan
Mkazi wa mjini Moshi, Kyefa Joachim Makundi (33), leo amepandishwa kizimbani akikabiliwa na mashitaka ya kumtukana Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya  Kikwete.
10 years ago
BBCSwahili08 Sep
Wezi wa gari la Rais Kenya mahakamani
Watu 5 akiwemo raia 1 Uganda pamoja na fundi wa magari mkenya wamekamatwa kwa wizi wa gari la msafara wa ulinzi wa Rais Kenyatta
11 years ago
BBCSwahili18 Mar
Aliyekuwa waziri mahakamani kwa ufisadi Kenya
Amos Kimunya ameshitakiwa kwa kosa la kutumia vibaya mamlaka pamoja na kujipatia ardhi ya umma kinyume na sheria.
9 years ago
Michuzi23 Oct
JELA KWA KUMTUSI KIKWETE NA RIDHIWANI
![](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/6G9LThnHd29Q2c2CW78CTyUZ5fK87mBjJBw5z3nIo5iZzAmUGE4ERU1RvUzVStUWh-ZHGz4twiIyjU9Yjts1ziRNYA9RB-1fgR3fuuG_GVtTOwCOAn5De4i8EBHRXw_Tna2Jx75n4ducSIGyzr_PKsvCNqfvuMsdCRPYHsocHeW44UgCvzWH=s0-d-e1-ft#http://mobile.mwananchi.co.tz/image/view/-/2925940/medRes/1155400/-/13gsam9z/-/JK+%2526+Ridhiwan.jpg?format=xhtml)
MKAZI wa mjini Moshi, Kyefa Joachim Makundi (33), amepandishwa kizimbani akikabiliwa na mashitaka ya kumtukana Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete.
Mbali na shitaka hilo, mshitakiwa huyo amesomewa shitaka lingine la kumtukana Ridhiwan Kikwete ambaye ni mtoto wa Rais Kikwete ambaye pia ni Mbunge wa Chalinze anayemaliza muda wake.
Mshitakiwa huyo amefikishwa mbele ya Hakimu Mkazi Mfawidhi wa mahakama ya mkoa Kilimanjaro,...
11 years ago
BBCSwahili18 Mar
Watuhumiwa kufikishwa mahakamani Kenya
Watu wawili waliopatikana na mabomu mjini Mombasa Pwani ya Kenya, wanatarajiwa kufikishwa mahakamani baadaye leo.
10 years ago
BBCSwahili16 Oct
Kiongozi wa MRC mahakamani Kenya
Kiongozi wa kundi lilalotaka kujitenga Pwani yaKenya, ameshtakiwa kwa kosa la kuandaa mkutano wa hadhara bila kibali na pia kwa kutatiza amani.
11 years ago
BBCSwahili06 Feb
Waliowateka ONLF mahakamani Kenya
Polisi 2 nchini Kenya waliofikishwa mahakamani kwa kosa la kuwateka nyara maafisa wawili wakuu wa vuguvugu la ONLF la Ethiopia, wameachiliwa kwa dhamana ya dola elfu 23.
10 years ago
Vijimambo24 Jul
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania