Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wezi wa gari la Rais Kenya mahakamani

Watu 5 akiwemo raia 1 Uganda pamoja na fundi wa magari mkenya wamekamatwa kwa wizi wa gari la msafara wa ulinzi wa Rais Kenyatta

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Mahakamani kwa kumtusi Rais Kenya

Mwanasiasa mmoja nchini Kenya ameshitakiwa kwa kosa la kumtusi Rais Uhuru Kenyatta katika mkutano wa kisiasa uliofanyika 2013

 

10 years ago

BBCSwahili

Ni gari la polisi au Rais lililoibiwa Kenya?

Taarifa za kutatanisha za kuibiwa kwa gari la ulinzi wa Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta zimeibuka nchini humo, ingawa zimekanushwa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Gari la Rais lililoibwa Kenya lapatikana Uganda

Maafisa wakuu wa Interpol wamethibitisha kuwa gari la ulinzi wa Rais wa Kenya lililoibwa mjini Nairobi wiki jana limepatikana nchini Uganda

 

11 years ago

GPL

AJALI TANDALE; WEZI WAIBA MILANGO, TAA ZA GARI NA KUWAPORA WAPITA NJIA

Nissan Patrol namba T479 BPJ baada ya kuigonga Bodaboda eneo la Tandale kwa Bonge, Dar jana usiku. Gari hilo mali ya Alex Mutabazi (59) likiwa limevunjwa kioo cha mbele na vibaka wa Tandale kwa Bonge.…

 

10 years ago

Mwananchi

Unyanyasaji wa kijinsia “Tuwatume wezi wawakamate wezi wenzao”

Kuna usemi wa wahenga usemao “mchawi mpe mwana alee”. Usemi huu una maana kwamba ili umbane na mtu unayehisi ni adui yako, kuwa naye karibu.

 

11 years ago

Dewji Blog

WAZIRI Muhongo amesema wananchi wanaotoa taarifa za uongo kulipwa fidia ni wezi sawa na wezi wa maofisini wa mali za Umma

DSC07688

Mbunge wa jimbo la Iramba Magharibi na Naibu Waziri wa Fedha, Mh. Mwingulu Nchemba, akizungumza kwenye mkutano wa hadhara katika kijiji cha Kaselya wilaya ya Iramba.Wa kwanza kulia ni Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo na wa pili kushoto ni Mkuu wa wilaya ya Iramba Yahaya Nawanda.

Na.Nathaniel Limu-Singida

WAZIRI  wa NIishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo (MB), amesema wananchi wanaotoa taarifa za uongo ili waweze kulipwa fidia wakati hawastahili, ni wezi sawa na...

 

11 years ago

BBCSwahili

Watuhumiwa kufikishwa mahakamani Kenya

Watu wawili waliopatikana na mabomu mjini Mombasa Pwani ya Kenya, wanatarajiwa kufikishwa mahakamani baadaye leo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Waliowateka ONLF mahakamani Kenya

Polisi 2 nchini Kenya waliofikishwa mahakamani kwa kosa la kuwateka nyara maafisa wawili wakuu wa vuguvugu la ONLF la Ethiopia, wameachiliwa kwa dhamana ya dola elfu 23.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kiongozi wa MRC mahakamani Kenya

Kiongozi wa kundi lilalotaka kujitenga Pwani yaKenya, ameshtakiwa kwa kosa la kuandaa mkutano wa hadhara bila kibali na pia kwa kutatiza amani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani