Ni gari la polisi au Rais lililoibiwa Kenya?
Taarifa za kutatanisha za kuibiwa kwa gari la ulinzi wa Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta zimeibuka nchini humo, ingawa zimekanushwa.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili08 Sep
Wezi wa gari la Rais Kenya mahakamani
Watu 5 akiwemo raia 1 Uganda pamoja na fundi wa magari mkenya wamekamatwa kwa wizi wa gari la msafara wa ulinzi wa Rais Kenyatta
10 years ago
BBCSwahili03 Sep
Gari la Rais lililoibwa Kenya lapatikana Uganda
Maafisa wakuu wa Interpol wamethibitisha kuwa gari la ulinzi wa Rais wa Kenya lililoibwa mjini Nairobi wiki jana limepatikana nchini Uganda
10 years ago
Vijimambo19 Jun
Askari Polisi Wagongwa Na Gari Baada Ya Gari Hiyo Kukataa
Ajali Arusha: Askari Polisi wagongwa na gari Ni baada ya dereva kusimamishwa akakataa, Trafiki wakapiga simu mbele, alipofika akakutwa askari wameweka kizuizi njiani akapita nao.
10 years ago
BBCSwahili31 Dec
Rais wa Kenya amteua mkuu mpya wa Polisi
Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta amemteua Joseph Chirchir Boinet kama inspekta jenerali mpya wa polisi.
10 years ago
BBCSwahili23 Oct
Aomba kuoana ndani ya gari la polisi
Caine Hutchings alipendekeza kwa Emily Dukeson nia ya kutaka kuoana naye muda mfupi baada ya gari lake kugonga mti.
9 years ago
Mwananchi31 Aug
Gari la polisi lagonga, kuua mwanafunzi Pwani
Wanafunzi wawili wa shule ya Msingi Misugusugu mkoani Pwani wamegongwa na gari la polisi wakivuka barabara leo asubuhi, mmoja afariki na mwingine ajeruhiwa.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rf021BwezXHd3jkuJyILN-6lhzH-MrUq3WjzN6BKpDfQUQFTgmRo9RSxoaYACLEuMF7EXym0lbRca1HXB54J*S1yKnbxkiK3/unnamed100.jpg?width=650)
GARI LAPINDUKA WAKATI DEREVA AKIWAKIMBIA ASKARI POLISI
Baadhi ya wakazi wa mji wa Moshi wakiangalia kwa mshangao gari aina ya Toyota Spacio lenye namba za usajili T111 BHW likiwa limepinduka chini juu mbele ya ofisi za TFA barabara ya Boma, Moshi jirani kabisa na mnara wa saa.Dereva wa gari hilo anadaiwa alikuwa akijaribu kuwakimbia askari wa kikosi cha barabarani kwa mwendo wa kasi kabla ya kugonga gari jingine na hatimaye kupinduka hakuna aliepoteza maisha kwenye tukio hilo la...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vYFBfoh8eSqizsLqRXoehxRNGQbWCzWQYUY4D*eg5gGhepSFFgiv7f0FBZUZOi1W9jUZq3r3cjFynE8OKnjXfdZc3kgP7iwH/POLISI.jpg)
POLISI AMGONGA MTOTO, ATOKA NDUKI, ATELEKEZA GARI
Na DUSTAN SHEKIDELE, MOROGORO POLISI mmoja ambaye hakufahamika jina lake mara moja, aliyekuwa akiendesha gari kwa mwendo wa kasi, Jumapili iliyopita alimgonga mtoto wa kike, Zahara Almeda katika barabara ya Mji Mpya. Mtoto Zahara Almeda aliyegongwa na polisi huyo. Katika tukio ambalo mwandishi wa habari hizi alilishuhudia, mara tu baada ya kumgonga mtoto aliyekuwa akitoka sokoni kununua magimbi na mihogo, askari huyo aliteremka...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-TgnCdE_cSWk/VFn6y_5zcII/AAAAAAAGvl8/dy8tpFwQDzg/s72-c/unnamed%2B(99).jpg)
YALE YALEEEE.......:Gari lapinduka wakati dereva akiwakimbia askari Polisi
![](http://4.bp.blogspot.com/-TgnCdE_cSWk/VFn6y_5zcII/AAAAAAAGvl8/dy8tpFwQDzg/s1600/unnamed%2B(99).jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania