Aomba kuoana ndani ya gari la polisi
Caine Hutchings alipendekeza kwa Emily Dukeson nia ya kutaka kuoana naye muda mfupi baada ya gari lake kugonga mti.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo19 Jun
Askari Polisi Wagongwa Na Gari Baada Ya Gari Hiyo Kukataa
Ajali Arusha: Askari Polisi wagongwa na gari Ni baada ya dereva kusimamishwa akakataa, Trafiki wakapiga simu mbele, alipofika akakutwa askari wameweka kizuizi njiani akapita nao.
9 years ago
Bongo Movies10 Sep
Wastara Azimia Ndani ya Gari Lake
MASKINI! Staa wa sinema za Kibongo, Wastara Juma amezimia ndani ya gari, kisa kikiwa ni sakata la dada zake kuibiana mume, Amani linaweza kuandika.
Mkasa huo wa kusikitisha ulijiri mapema wiki hii, Kinondoni, Dar ambapo staa huyo alikuwa ameegesha gari lake pembeni mwa barabara.
Kabla ya kuzimia, Wastara aliliambia Amani kuwa, kitendo cha mdogo wao (mtoto wa mama yao mdogo), Janat kupora mume wa dada yake, Naima Juma (dada wa damu wa Wastara) aitwaye Masoud na kufunga naye ndoa kimyakimya,...
10 years ago
BBCSwahili04 Dec
Mtu azikwa ndani ya gari lake Nigeria
10 years ago
Dewji Blog29 Jul
Mgombea jimbo la Singida magharibi, Wilson Nkhambaku ndani ya CCM aomba kura asema yeye ni jembe
Mgombea nafasi ubunge kura za maoni jimbo la Singida magharibi, Wilson Elisha Nkhambaku.(Picha na Maktaba).
Na Nathaniel Limu, Puma
MGOMBEA nafasi ubunge kura za maoni jimbo la Singida magharibi, Wilson Elisha Nkhambaku, amesema kuihama CCM mwaka 2010 na kujiunga na upinzani,kitendo hicho kilikuwa ni ajali ya kawaida ya kisiasa.
Amedai kuhama huko na kukaa upinzani kwa muda mfupi,haikuwa tamaa ya kusaka uongozi kama ambavyo baadhi ya watu wanavyofikiria.
Nkhambaku aliyasema hayo wakati...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/RnVdzGQ*fcKUZZwVW0VxSfGVDoeAHGi9PN2vOUKJZS1FmHsjU8tkUehNhIQ63IlzLbgZaKbs5v89At8alThBE1ed5l2zkLcC/zamwizi.jpg?width=650)
SHAROBARO AFUMWA NA MKE WA MTU NDANI YA GARI BOVU
10 years ago
BBCSwahili29 Aug
Ni gari la polisi au Rais lililoibiwa Kenya?
5 years ago
MichuziMBUNGE RITA KABATI AOMBA USHURU WA MAZIWA KUTOKA NJE YA NCHI UONGEZWE ILI KULINDA VIWANDA VYA NDANI
Aidha, Kabati ameipongeza Kampuni ya Kuzalisha Maziwa ya ASAS ya mjini Iringa kwa kutumia fursa ya kuongeza ushuru wa bidhaa kwa kuzalisha maziwa mengi.
Kabati ametoa ombi na pongezi hizo Bungeni jiini Dodoma wakati akichangia Bajeti ya Wizara ya Mifugo na Uvuvi iliyowasilishwa na Waziri wa Luhaga Mpina.
Mbunge huyo wa Viti Maalum alisema...
9 years ago
Mwananchi31 Aug
Gari la polisi lagonga, kuua mwanafunzi Pwani
5 years ago
BBCSwahili27 Jun
Maafisa wa Umoja wa Mataifa washtushwa na video ya ngono ndani ya gari la UN Israel