Maafisa wa Umoja wa Mataifa washtushwa na video ya ngono ndani ya gari la UN Israel
Umoja wa Mataifa unasema kwamba 'umeshtuka na kukerwa' na kanda ya video ya tendo la ngono lililofanyika ndani ya gari moja la Umoja huo nchini Israel.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-3GnsQAvS8Fc/VVyJ0rvk1SI/AAAAAAAHYiA/u3Eo6_MrYQI/s72-c/unnamed%2B%252826%2529.jpg)
Mahakama ya Umoja wa Mataifa ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda (UN-ICTR) yatoa gari kwa jeshi la magereza arusha
![](http://2.bp.blogspot.com/-3GnsQAvS8Fc/VVyJ0rvk1SI/AAAAAAAHYiA/u3Eo6_MrYQI/s640/unnamed%2B%252826%2529.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/3SaSFgHsLNA/default.jpg)
Video ya Matukio ya mwaka 2015 katika Umoja wa Mataifa
Matukio ya mwaka 2015, yanakumbusha changamoto ambazo Umoja wa Mataifa umekumbana nazo katika miaka 70 ya tangu kuanzishwa kwake- lakini yanatupatia muhtasari wa mafanikio yatokanayo na...
9 years ago
MichuziNAIBU KAMISHNA MKUU WA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) NA UJUMBE WAKE WATEMBELEA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI
10 years ago
Dewji Blog27 Apr
Mnuso wa uzinduzi wa shamra shamra za miaka 70 ya Umoja wa Mataifa wafana ndani ya hoteli ya White Sands
Cake maalum iliyoandaliwa kwenye sherehe za uzinduzi wa shamra shamra za miaka 70 ya Umoja wa Mataifa uliofanyika mwishoni mwa juma kwenye hoteli ya White Sands jijini Dar es Salaam.
Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Maendeleo (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez (katikati) akiteta jambo na Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la UN Women nchini Tanzania, Anna Collins kabla ya zoezi la kuwasha mishuma 70 kwenye cake hiyo...
10 years ago
Dewji Blog14 Apr
9 years ago
MillardAyo15 Dec
Mteja kakasirishwa na bili hotelini, akaamua kuingiza gari mpaka meza ya mapokezi ndani (+Video)
Hasira hasara… hasira ya huyu jamaa ilianzia kwenye mzigo wa bili ya huduma aliyosogezewa baada ya kuhudumiwa katika hoteli moja Marekani, akaona poa hamna namna, maamuzi yake ikawa ni kutoka nje ya mgahawa na kuingia ndani gari yake kwa hasira. Ishu nzima ilinaswa na camera ya CCTV, Oklahoma Marekani, mzee aliyefanya tukio hilo ni John Parsley ambaye […]
The post Mteja kakasirishwa na bili hotelini, akaamua kuingiza gari mpaka meza ya mapokezi ndani (+Video) appeared first on...
10 years ago
BBCSwahili07 May
Netanyahu aunda serikali ya umoja Israel
10 years ago
Habarileo27 Sep
Kikwete anguruma Umoja wa Mataifa
RAIS Jakaya Kikwete amesema kwamba Tanzania iko tayari kushirikiana na wanachama wote wa Umoja wa Mataifa (UN) kufikia makubaliano ya malengo mapya ya maendeleo baada ya malengo ya awali (Malengo ya Milenia- MDG) kufikia hatima yake mwaka wa kesho.
10 years ago
BBCSwahili04 Oct
Wanajeshi 9 wa Umoja wa Mataifa wauawa