Video ya Matukio ya mwaka 2015 katika Umoja wa Mataifa
![](http://img.youtube.com/vi/3SaSFgHsLNA/default.jpg)
2015 – mwaka uliosheheni matukio ya aina yake na picha za kutisha: Maiti ya mtoto mdogo wa kiume akisombwa hadi ufukweni, kiashiria cha janga la wakimbizi Milioni 60: wananchi wa Paris, Beirut na Nairobi wakikmbia mashambulizi ya kigaidi, na nchi zilizosalia magofu kutokana na mapigano yasiyoisha.
Matukio ya mwaka 2015, yanakumbusha changamoto ambazo Umoja wa Mataifa umekumbana nazo katika miaka 70 ya tangu kuanzishwa kwake- lakini yanatupatia muhtasari wa mafanikio yatokanayo na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo31 Dec
Kabla ya kuuanza mwaka mpya, kutana na video ya matukio ya soka ya kuchekesha kwa mwaka 2015 …
Mtu wangu wa nguvu najua tunaelekea kuuaga mwaka 2015 na kuingia mwaka mpya 2016. Kaabla ya kumalizika mwaka 2015 naomba nikusogezee video ya matukio ya kuchekesha katika soka yaliyotokea kwa mwaka 2015. Katika hii video kuna matukio ya Pep Guardiola na Frank Ribery. Jamaa kumbiss Zlatan Ibrahimovic. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka […]
The post Kabla ya kuuanza mwaka mpya, kutana na video ya matukio ya soka ya kuchekesha kwa mwaka 2015 … appeared first on...
9 years ago
MichuziMATUKIO MBALIMBALI YAENDELEA KUELEKEA MAADHIMISHO YA MIAKA 70 YA UMOJA WA MATAIFA
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-6WAt19OePqw/U9A1PgFWD3I/AAAAAAAF5UQ/KiwdJNW6ltg/s72-c/unnamed.jpg)
MWAKILISHI WA TANZANIA KATIKA UMOJA WA MATAIFA AOMBOLEZA VIFO VYA ABIRIA KATIKA AJALI YA NDEGE YA MALAYSIA
11 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-6WAt19OePqw/U9A1PgFWD3I/AAAAAAAF5UQ/KiwdJNW6ltg/s1600/unnamed.jpg?width=650)
MWAKILISHI WA TANZANIA KATIKA UMOJA WA MATAIFA AOMBOLEZA VIFO VYA ABIRIA KATIKA AJALI YA NDEGE YA MALAYSIA
10 years ago
Raia Tanzania27 Jul
Umoja wa Mataifa katika utendaji wa elimu
MATAIFA yanayoendelea yanategemea kwa kiasi kikubwa kupata misaada kutoka taasisi za kimataifa ikiwemo Umoja wa Mataifa(UN), wamejikita kutoa misaada katika nyanja za afya, elimu na lishe.
Katika elimu UN inatoa msaada mkubwa kwa Serikali ya Tanzania kutoa elimu bora iliyo sawa kwa wote katika kila ngazi.
Utendaji kazi huu unalenga kukuza ubora wa elimu na katika jitihada zitakazomsaidia mwanafunzi nchini na kukuza ubora wa ufundishaji, kutoa fursa kwa makundi ya watu walio pembeni...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Krniecer6Fo/VWEld00azrI/AAAAAAAHZb8/8ZO37qCYmRc/s72-c/un5.jpg)
TANZANIA KATIKA UMOJA WA MATAIFA WIKI HII
![](http://4.bp.blogspot.com/-Krniecer6Fo/VWEld00azrI/AAAAAAAHZb8/8ZO37qCYmRc/s640/un5.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://img.youtube.com/vi/kK2UgKq1Pm8/default.jpg)
10 years ago
Dewji Blog12 Apr
Umoja wa Mataifa ni taasisi imara katika utatuzi wa migogoro
![](http://4.bp.blogspot.com/-rHK_y6IKWE8/VSkjN4szMvI/AAAAAAABec8/eyvqLHihhbs/s1600/20150411_102023.jpg)
Kutoka kushoto ni Reginald Munisi, Mwenyekiti, United Nations Association of Tazania, Mr. Alvaro Rodriguez, Mratibu Mkazi, Umoja wa Mataifa Tanzania, Balozi Dk. Augustine Mahiga, Balozi Mstaafu wa Tazania Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wakiwa katika Maadhimisho ya Miaka 50 Taasisi ya Umoja wa Matifa (UNA) pamoja na maadhimisho ya miaka 70 ya umoja wa Mataifa (UN) yaliyofanyika jana jijini Dar es Salaam.
![](http://3.bp.blogspot.com/-cwSY_Y5xT94/VSkjN7mjwgI/AAAAAAABedM/Ck141ARwlpk/s1600/20150411_102056.jpg)
Reginald Munisi, Mwenyekiti wa UNA Tanzania akitoa maneno ya ufunguzi katika mkutano...
9 years ago
MichuziMATUKIO MBALIMBALI KATIKA WA MKESHA WA MWAKA 2016 KATIKA PICHA