Umoja wa Mataifa ni taasisi imara katika utatuzi wa migogoro
Kutoka kushoto ni Reginald Munisi, Mwenyekiti, United Nations Association of Tazania, Mr. Alvaro Rodriguez, Mratibu Mkazi, Umoja wa Mataifa Tanzania, Balozi Dk. Augustine Mahiga, Balozi Mstaafu wa Tazania Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wakiwa katika Maadhimisho ya Miaka 50 Taasisi ya Umoja wa Matifa (UNA) pamoja na maadhimisho ya miaka 70 ya umoja wa Mataifa (UN) yaliyofanyika jana jijini Dar es Salaam.
![](http://3.bp.blogspot.com/-cwSY_Y5xT94/VSkjN7mjwgI/AAAAAAABedM/Ck141ARwlpk/s1600/20150411_102056.jpg)
Reginald Munisi, Mwenyekiti wa UNA Tanzania akitoa maneno ya ufunguzi katika mkutano...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-rHK_y6IKWE8/VSkjN4szMvI/AAAAAAABec8/eyvqLHihhbs/s72-c/20150411_102023.jpg)
UN. TAASISI IMARA KATIKA UTATUZI WA MIGOGORO
![](http://4.bp.blogspot.com/-rHK_y6IKWE8/VSkjN4szMvI/AAAAAAABec8/eyvqLHihhbs/s1600/20150411_102023.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-cwSY_Y5xT94/VSkjN7mjwgI/AAAAAAABedM/Ck141ARwlpk/s1600/20150411_102056.jpg)
10 years ago
Michuzi22 Sep
UMOJA WA MATAIFA WATAKA CHANZO CHA SIASA KALI ZINAZOLETEA MIGOGORO KICHUNGUZWE
![DSC_0593](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/09/DSC_05931.jpg)
![DSC_0415](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/09/DSC_0415.jpg)
10 years ago
Dewji Blog22 Sep
Umoja wa Mataifa wataka chanzo cha siasa kali zinazoletea migogoro zichunguzwe
Mgeni rasmi kwenye maadhimisho ya siku ya kimataifa ya Amani, Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Mh. Seif Rashid akiwasili kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja kuhudhuria maadhimisho hayo na kupokelewa na Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Albino Tanzania (TAS), Joseph Masasi (wa pili kulia), Kamishna wa Ustawi wa Jamii, Bw. Dunford Makala (katikati) na Kamishna wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Tanzania , Bw. Ali Rajab (kulia) pamoja na viongozi wengine taasisi ya watu wenye ulemavu wa...
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/09/DSC_0007.jpg)
UMOJA WA MATAIFA WATAKA CHANZO CHA SIASA KALI ZINAZOLETEA MIGOGORO ZICHUNGUZWE
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-hSs4j1oXgwc/VN4I3MkRQPI/AAAAAAAHDiw/9c1AmpVGxy0/s72-c/IMG_5614.jpg)
UJUMBE WA TAASISI ZA UMOJA WA MATAIFA NCHINI WAKUTANA NA DKT. SHEIN,IKULU ZANZIBAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-hSs4j1oXgwc/VN4I3MkRQPI/AAAAAAAHDiw/9c1AmpVGxy0/s1600/IMG_5614.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-2jiP5_XACnI/VN4I3bH2Z6I/AAAAAAAHDi4/Qh_ztm9itVI/s1600/IMG_5626.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-6WAt19OePqw/U9A1PgFWD3I/AAAAAAAF5UQ/KiwdJNW6ltg/s72-c/unnamed.jpg)
MWAKILISHI WA TANZANIA KATIKA UMOJA WA MATAIFA AOMBOLEZA VIFO VYA ABIRIA KATIKA AJALI YA NDEGE YA MALAYSIA
11 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-6WAt19OePqw/U9A1PgFWD3I/AAAAAAAF5UQ/KiwdJNW6ltg/s1600/unnamed.jpg?width=650)
MWAKILISHI WA TANZANIA KATIKA UMOJA WA MATAIFA AOMBOLEZA VIFO VYA ABIRIA KATIKA AJALI YA NDEGE YA MALAYSIA
5 years ago
MichuziTUMESHERIA YAKABIDHI TAARIFA YA UTAFITI KUHUSU UTATUZI WA MIGOGORO YA ARDHI
TUME YA KUREKEBISHA SHERIA YAKABIDHI TAARIFA KUHUSU MAPITIO YA SHERIA ZINAZOSIMAMIA UTATUZI WA MIGOGORO YA ARDHI
Na Munir Shemweta, WANMM DODOMA
Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania imekabidhi Taarifa ya Mapitio ya Sheria Zinazosimammia Utatuzi wa Migogoro ya Ardhi nchini kwa Waziri wa Katiba ba Sheria Dkt Balozi Augustine Mahiga.
Taarifa hiyo imekabidhiwa kufuatia Tume ya Kurekebisha Sheria kufanya utafiti baada ya kupokea maelekezo ya Wizara ya Katiba na Sheria yakitaka kupitia Mfumo wa...
10 years ago
Raia Tanzania27 Jul
Umoja wa Mataifa katika utendaji wa elimu
MATAIFA yanayoendelea yanategemea kwa kiasi kikubwa kupata misaada kutoka taasisi za kimataifa ikiwemo Umoja wa Mataifa(UN), wamejikita kutoa misaada katika nyanja za afya, elimu na lishe.
Katika elimu UN inatoa msaada mkubwa kwa Serikali ya Tanzania kutoa elimu bora iliyo sawa kwa wote katika kila ngazi.
Utendaji kazi huu unalenga kukuza ubora wa elimu na katika jitihada zitakazomsaidia mwanafunzi nchini na kukuza ubora wa ufundishaji, kutoa fursa kwa makundi ya watu walio pembeni...