Kikwete anguruma Umoja wa Mataifa
RAIS Jakaya Kikwete amesema kwamba Tanzania iko tayari kushirikiana na wanachama wote wa Umoja wa Mataifa (UN) kufikia makubaliano ya malengo mapya ya maendeleo baada ya malengo ya awali (Malengo ya Milenia- MDG) kufikia hatima yake mwaka wa kesho.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo17 Oct
Kikwete apongezwa Umoja wa Mataifa
UMOJA wa Mataifa (UN) umempongeza Rais Jakaya Kikwete kwa uamuzi wake wa kutoa uraia wa Tanzania kwa waliokuwa wakimbizi 162,156 wa Burundi.
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/kEfXE4PeXkM/default.jpg)
RAIS KIKWETE AAGA UMOJA WA MATAIFA (UN)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete jana jumanne amelihutubia kwa mara ya mwisho Baraza Kuu la 70 la Umoja wa Mtaifa akiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Hotuba ya Mhe. Rais na ambayo iligusia mambo mengi ya kisiasa, kiuchumi, na maendeleo akitumia pia fursa hiyo kuwaanga viongozi wenzie na kuwashukuru kwa ushirikiano waliompatia katika kipindi cha miaka kumi ya uongozi wake, iliwasisimua wajumbe wa mkutano huo kiasi cha kukatishwa mara...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-nMAYoYJfkfs/U4nlAtrexGI/AAAAAAAFmvk/YUBNDcWfjmg/s72-c/SG-na-Kikwete1.jpg)
KATIBU MKUU WA UMOJA WA MATAIFA AMPONGERA RAIS KIKWETE
![](http://3.bp.blogspot.com/-nMAYoYJfkfs/U4nlAtrexGI/AAAAAAAFmvk/YUBNDcWfjmg/s1600/SG-na-Kikwete1.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Vf77AmMaeXtPR0WKP7lunmFFCyt785z3ny7uxR5Ra89OHIuh5uvYrqGpZVKcZ4AdCNTuEY8OywYNI51JMuE0f4tXewwRNLqE/1.jpg)
RAIS KIKWETE AKUTANA NA KATIBU MKUU WA UMOJA WA MATAIFA
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Bwana Ban Ki Moon akimkaribisha Rais Jakaya Mrisho Kikwete kwenye ofisi yake iliyopo Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani jana tarehe 24/12/2013. Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki Moon akimwonyesha sehemu ya kukaa Rais Jakaya Mrisho Kikwete kwa ajili ya kufanya mazungumzo naye.…
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-4qZK2M3L6ls/VRjc93bA0EI/AAAAAAAHOM4/J-mSWFnoiJg/s72-c/u1.jpg)
RAIS KIKWETE AWASILI MAREKANI KWA MWALIKO WA UMOJA WA MATAIFA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete Jumapili, Machi 29, 2015 amewasili jijini New York, Marekani kwa mwaliko wa Umoja wa Mataifa.
Miongoni mwa mambo mengine, Rais Kikwete amefunguia rasmi jengo la ghorofa sita la Ofisi za Mwakilishi wa kudumu wa Tanzania katika umoja wa Mataifa, na Jumatatu Machi 30, 2015 amealikwa kuhutubia Baraza la Umoja wa Mataifa la Uchumi na Jamii (ECOSOC - UN).
Rais Kikwete akilakiwa na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa...
Miongoni mwa mambo mengine, Rais Kikwete amefunguia rasmi jengo la ghorofa sita la Ofisi za Mwakilishi wa kudumu wa Tanzania katika umoja wa Mataifa, na Jumatatu Machi 30, 2015 amealikwa kuhutubia Baraza la Umoja wa Mataifa la Uchumi na Jamii (ECOSOC - UN).
![](http://2.bp.blogspot.com/-4qZK2M3L6ls/VRjc93bA0EI/AAAAAAAHOM4/J-mSWFnoiJg/s1600/u1.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-2LCUga2MkIM/VCNnAVKUUtI/AAAAAAAAHbE/3Luw-asfVCQ/s72-c/Kikwete%2BUN.jpg)
Hotuba ya Rais Kikwete kwenye mkutano wa tabianchi, Umoja wa Mataifa
![](http://2.bp.blogspot.com/-2LCUga2MkIM/VCNnAVKUUtI/AAAAAAAAHbE/3Luw-asfVCQ/s1600/Kikwete%2BUN.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-4qZK2M3L6ls/VRjc93bA0EI/AAAAAAAHOM4/J-mSWFnoiJg/s72-c/u1.jpg)
RAIS KIKWETE ZIARANI MAREKANI KWA MWALIKO WA UMOJA WA MATAIFA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete Jumapili, Machi 29, 2015 amewasili jijini New York, Marekani kwa mwaliko wa Umoja wa Mataifa.Miongoni mwa mambo mengine, Rais Kikwete amefunguia rasmi jengo la ghorofa sita la Ofisi za Mwakilishi wa kudumu wa Tanzania katika umoja wa Mataifa, na Jumatatu Machi 30, 2015 amealikwa kuhutubia Baraza la Umoja wa Mataifa la Uchumi na Jamii (ECOSOC - UN).
Rais Kikwete akilakiwa na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano...
![](http://2.bp.blogspot.com/-4qZK2M3L6ls/VRjc93bA0EI/AAAAAAAHOM4/J-mSWFnoiJg/s1600/u1.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-2CPhq_BxfVA/VOvcFZnQSrI/AAAAAAAHFgU/d2s9WHsnXFo/s72-c/unnamed%2B(33).jpg)
Mhe. Ridhiwani Kikwete atembelea Uwakilishi wa Kudumu wa Tanzania Umoja wa Mataifa
![](http://4.bp.blogspot.com/-2CPhq_BxfVA/VOvcFZnQSrI/AAAAAAAHFgU/d2s9WHsnXFo/s1600/unnamed%2B(33).jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania