Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanajeshi 9 wa Umoja wa Mataifa wauawa

Ujumbe wa Umoja wa mataifa nchini Mali unasema kuwa wanajeshi tisa wa kulinda amani wa Umoja wa Mataifa wameuawa nchini Mali.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi 2 wa Uturuki wauawa

Wanajeshi wawili wa Uturuki wameuawa kwenye shambulizi la bomu katika kituo kimoja cha kijeshi mashariki mwa nchi.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi 50 wa AU wauawa Somalia

Wanajeshi 50 wa Muungano wa Afrika kutoka Uganda wameuawa kwenye shambulio lililofanywa na wapiganaji wa Al shabaab nchini Somalia

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi wauawa Marekani

Mtu mwenye silaha amewaua askari 4 wa jeshi la wanamaji wa Marekani katika shambulio lililofanywa kwenye majengo ya jeshi hilo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi wauawa Afghanistan

Polisi nchini Afghnaistan wamesema wanajeshi sita wameuawa katika shambulio la bomu mjini Kabul.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi 7 wauawa Tunisia

Mwanajeshi mmoja nchini Tunisia amempigwa risasi na kuuawa baada ya kuwaua wenzake 7 .

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi 11 wauawa Afghanistan

Wapiganaji wa Taliban nchini Afghanistan wamedaiwa kuwaua wanajeshi 11 katika jimbo la Herat magharibi mwa taifa hilo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi 8 wa Uturuki wauawa

Wanajeshi wanane wa Uturuki wameuawa kwenye shambulizi la bomu la kutegwa kando ya barabara kusini mashariki mwa nchi.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wapalestina 2 wauawa,wanajeshi 4 wajeruhiwa

Wapalestina 2 wameuawa baada ya mashambulizi ya magari ambapo wanajeshi 4 Waisraeli walijeruhiwa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi 14 wauawa na kundi la Al-Qaeda

Wanamgambo wanaoshukiwa kuwa wa kundi la Al Qaeda nchini Yemen wamewateka na kuwaua takriban wanajeshi 14 wa serikali

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani