Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


POLISI AMGONGA MTOTO, ATOKA NDUKI, ATELEKEZA GARI

Na DUSTAN SHEKIDELE, MOROGORO POLISI mmoja ambaye hakufahamika jina lake mara moja, aliyekuwa akiendesha gari kwa mwendo wa kasi, Jumapili iliyopita alimgonga mtoto wa kike, Zahara Almeda katika barabara ya Mji Mpya. Mtoto Zahara Almeda aliyegongwa na polisi huyo. Katika tukio ambalo mwandishi wa habari hizi alilishuhudia, mara tu baada ya kumgonga mtoto aliyekuwa akitoka sokoni kununua magimbi na mihogo, askari huyo aliteremka...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

SANDRA ATOKA NDUKI KISA AIBU

Stori: Shani Ramadhani
MSANII wa filamu Bongo, Salma Salmini ‘Sandra’ alijikuta akitoka nduki katika Uwanja wa Taifa, jijini Dar kwa kukwepa aibu baada ya timu yao ya Bongo Movie Unity kufungwa na Bongo Fleva bao mbili bila. Msanii wa filamu Bongo, Salma Salmini ‘Sandra’ Sandra alionekana akitimka mapema uwanjani baada ya mechi kuisha huku akisema anaona aibu kupokea kipigo hicho ambacho kimejirudia...

 

11 years ago

GPL

BAAMEDI AMGONGA MUUZA MAHINDI AKIFUNDISHWA GARI

Stori: Dustan Shekidele, Morogoro UZEMBE! Josephine Josin (19), mkazi wa Morogoro ambaye anafanya kazi ya uhudumu wa baa iliyopo maeneo ya Mji Mpya, mkaoni hapa, amedaiwa kumgonga na gari muuza mahidi aliyefahamika kwa jina la Pori wakati akifundishwa gari na mpenzi wake. Gari aina ya Toyota Noah lenye namba za usajili T 636 CVE lililopata ajali. Kwa mujibu wa mashuhuda, tukio hilo lilitokea hivi karibuni ambapo dereva wa gari...

 

10 years ago

Vijimambo

Askari Polisi Wagongwa Na Gari Baada Ya Gari Hiyo Kukataa


Ajali Arusha: Askari Polisi wagongwa na gari Ni baada ya dereva kusimamishwa akakataa, Trafiki wakapiga simu mbele, alipofika akakutwa askari wameweka kizuizi njiani akapita nao.

 

11 years ago

GPL

GARI LA MTOTO WA MALECELA LAKAMATWA

Stori:  Joseph Shaluwa
MKURUGENZI wa Kampuni ya Ntyuka Security ya mjini Dodoma, Samwel Malecela ameingia matatani baada ya gari lake aina ya Toyota Prado kukamatwa kwa ajili ya kupigwa mnada kutokana na kukabiliwa na madeni.  Mkurugenzi wa Kampuni ya Ntyuka Security ya mjini Dodoma, Samwel Malecela. Samwel ni mtoto wa waziri mkuu wa zamani, Mhe. John Malecela ambaye pia aliwahi kuwa mbunge katika Jimbo la Mtera kwa...

 

10 years ago

GPL

DIAMOND ATELEKEZA WATOTO SHULE!

Gladness Mallya
KABANG! Staa anayevuna fedha nyingi kupitia kipaji chake cha muziki, Bongo, Nasibu Abdul ‘Diamond’ amewatelekeza watoto katika Shule ya East Africa International jijini Dar ambao aliahidi kuwalipia ada, Risasi Mchanganyiko linakuwa la kwanza kukudondoshea. Wanafunzi wanaodaiwa kutelekezwa na Staa anayevuna fedha nyingi kupitia kipaji chake cha muziki, Bongo, Nasibu Abdul ‘Diamond’....

 

10 years ago

BBCSwahili

Aomba kuoana ndani ya gari la polisi

Caine Hutchings alipendekeza kwa Emily Dukeson nia ya kutaka kuoana naye muda mfupi baada ya gari lake kugonga mti.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ni gari la polisi au Rais lililoibiwa Kenya?

Taarifa za kutatanisha za kuibiwa kwa gari la ulinzi wa Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta zimeibuka nchini humo, ingawa zimekanushwa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mkandarasi atelekeza ujenzi wa soko la Gezaulole

MKANDARASI, Serico Company Ltd anadaiwa kutoweka na kutelekeza ujenzi wa Soko la Gezaulole, Kata ya Kauzani, Manispaa ya Morogoro linalotarajiwa kugharimu sh milioni 12 hadi kukamilika. Hayo yamebainika kwenye ziara...

 

5 years ago

BBCSwahili

Mtoto wa miaka mitano akamatwa Marekani akiendesha gari la wazazi wake

Mtoto mwenye umri wa miaka mitano amekamatwa na polisi huko Utah Marekani akiendesha gari la wazazi wake

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani