Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BAAMEDI AMGONGA MUUZA MAHINDI AKIFUNDISHWA GARI

Stori: Dustan Shekidele, Morogoro UZEMBE! Josephine Josin (19), mkazi wa Morogoro ambaye anafanya kazi ya uhudumu wa baa iliyopo maeneo ya Mji Mpya, mkaoni hapa, amedaiwa kumgonga na gari muuza mahidi aliyefahamika kwa jina la Pori wakati akifundishwa gari na mpenzi wake. Gari aina ya Toyota Noah lenye namba za usajili T 636 CVE lililopata ajali. Kwa mujibu wa mashuhuda, tukio hilo lilitokea hivi karibuni ambapo dereva wa gari...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

POLISI AMGONGA MTOTO, ATOKA NDUKI, ATELEKEZA GARI

Na DUSTAN SHEKIDELE, MOROGORO POLISI mmoja ambaye hakufahamika jina lake mara moja, aliyekuwa akiendesha gari kwa mwendo wa kasi, Jumapili iliyopita alimgonga mtoto wa kike, Zahara Almeda katika barabara ya Mji Mpya. Mtoto Zahara Almeda aliyegongwa na polisi huyo. Katika tukio ambalo mwandishi wa habari hizi alilishuhudia, mara tu baada ya kumgonga mtoto aliyekuwa akitoka sokoni kununua magimbi na mihogo, askari huyo aliteremka...

 

11 years ago

Mwananchi

Tanzania kuuza mahindi Kenya tani 50,000 za mahindi

Serikali ipo katika hatua za mwisho za makubaliano ya kuuza tani 50,000 za awali za mahindi nchini Kenya.

 

11 years ago

GPL

BAAMEDI AUZA BAA NA MTOTO

Chande Abdallah na Deogratius Mongela
MSICHANA aliyejitambulisha kwa jina la Halima Jumanne (20) amejikuta akiuza baa huku akiwa na mtoto wa mwaka mmoja na nusu ubavuni kisa kikidaiwa hali ngumu ya maisha. Halima Jumanne (20) akiwa na mwanaye mzigoni katika baa moja (jina limehifadhiwa) iliyopo Buza Kanisani jijini Dar. Tukio hilo la kushangaza lilijiri Juni 2, mwaka huu kwenye baa moja (jina kapuni) iliyopo Buza Kanisani...

 

10 years ago

Bongo Movies

Gari Aina la BMW Alilopewa Kama Zawadi na Maneja Wake Martin Kadinda Lazua Maneno. Watu wahoji uwezo wa meneja wake huyo kumnunulia gari hilo huku ye akiendesha gari ''isiyoeleweka''.

Achana na lile gari aina ya Nissan Murano alilozawadiwa na mwandani wake, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, gari lingine aina ya BMW 545i aliloletewa Wema Isaac Sepetu ‘Beautiful Onyinye’ kwenye pati ya ‘bethidei’ yake ni utata mtupu na maswali kibao

NYUMBANI KWA MADAM
Pati hiyo ambayo iliandika historia katika ulimwengu maridhawa wa mastaa iliangushwa nyumbani kwa mwanadada huyo, Mtaa wa Bwawani, Kijitonyama jijini Dar, wikiendi iliyopita ambapo alitimiza umri wa miaka 26.
Katika shughuli...

 

10 years ago

Michuzi

10 years ago

GPL

DENTI ABAKWA NA MUUZA GENGE

Stori: Shani Ramadhani na Denis Mtima Msala! Kwenye Kituo cha Polisi cha Maturubai kilichopo Mbagala, Dar kuna faili la kesi namba MBL/RB/ 9817/2014- KUFANYA MAPENZI NA MWANAFUNZI ambalo linamsaka kijana Juma Athumani (30), mkazi wa Charambe, Mbagala kwa kosa la ubakaji wa denti wa darasa la saba. Denti wa darasa la saba aliyebakwa na muuza genge anayefahamika kwa jina la Juma Athumani (30) Habari za kiintelijensia zilidai...

 

10 years ago

Vijimambo

Askari Polisi Wagongwa Na Gari Baada Ya Gari Hiyo Kukataa


Ajali Arusha: Askari Polisi wagongwa na gari Ni baada ya dereva kusimamishwa akakataa, Trafiki wakapiga simu mbele, alipofika akakutwa askari wameweka kizuizi njiani akapita nao.

 

11 years ago

GPL

Marehemu Changa aliokotwa na muuza makopo

Mchezaji wa zamani wa Yanga, JKT Ruvu na Moro United ambako alikuwa akiichezea hivi sasa Omary Changa amefariki dunia. (Picha: Omary Changa ni wa tatu kutoka kushoto waliosimama, hapa akiwa anaichezea JKT Ruvu) Hans Mloli na Sweetbert Lukonge
MAREHEMU Omari Changa aliyefariki dunia Jumapili iliyopita ambapo gazeti hili lilikuwa la kwanza kuripoti, imeelezwa kuwa mwili wake uligundulika tangu asubuhi ya siku… ...

 

10 years ago

BBCSwahili

Msako mkali Mexico wa muuza mihadarati

Mamlaka ya nchini Mexico limeanza msako mkali wa kumtafuta Joaguin Guzman gwiji la biashara ya madawa ya kulevya duniani, kufuatia kutoroka kwake katika gereza lenye ulinzi mkali mwishoni mwa wiki.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani