WASTARA AZICHAPA NA DEREVA DALADALA
![](http://api.ning.com:80/files/oszb1oYwZCm70oaRu4-qpDQVCO7MizZwy5jKzB44bG23IZo3tGYBfXJn1jA7EX-Z2-XGCeTCO53mOr0Axr0zXdyGebvsRRj3/wastara.jpg)
UBABE! Mwigizaji wa sinema za Kibongo, Wastara Juma aliwahi kuzichapa kavukavu na dereva wa daladala baada ya kuoneshewa ishara ya matusi. Ishu ilikuwa hivi, miaka miwili iliyopita jijini Dar, Wastara alikuwa na wasanii wenzake kituoni sasa daladala likapita karibu yao na kummwagia maji na alipojaribu kumwambia kistaarabu kwamba hakufanya ‘fea’, dereva huyo akamuoneshea ishara ya matusi. Mwigizaji wa sinema za...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/iPu63cE5yCDyYx6-4qmTgqmJ9xRkXY7JsUVzl7hYtT1sv0vBZi6Av1Qm2Z-vDjUiG8LJ6lOgasq68GzK3sbVgSiezPhOB0EG/wastara.jpg)
WASTARA JUMA AZICHAPA NA MUMEWE MAHAKAMANI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/A8I8pebmYzr2eYP7hP5ut4Ux34fTSjiTEbUqdnAnphGP3N9CV6BX9mZVVmSJzAHGrShUfc0t3-F7mX7R7F3JzMTyL5D5uzfH/polisi.jpg?width=650)
ASKARI WAMPA KIPONDO DEREVA DALADALA
11 years ago
Habarileo04 May
Dereva wa daladala aua mpigadebe akijihami
JESHI la Polisi katika Kanda Maalumu ya Tarime/Rorya linamsaka dereva wa basi dogo la abiria `daladala’ linalofanya kazi kati ya mji mdogo wa Sirari, Tarime na Mugumu wilayani Serengeti akihutumiwa kumuua mpigadebe wa stendi ya Sirari, Chacha Suguta (28).
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tei6Zvghx20JZq7BMJs2EW2Po7hlRbkWt-zDNwQBVmGSk0v-KmZ96FRUCMJwqUd-rim-7EKvOYbw5UgkJ3KdK4d*Zl15M-nd/FRONT.jpg)
MWANAFUNZI AMCHOMA KISU DEREVA DALADALA!
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Mj0mxl-gtCs/VPjQaJ-DqoI/AAAAAAAHH-k/-hYnM44cujc/s72-c/DSCF5554.jpg)
ABIRIA WANAPOAMUA KUPANDA DALADALA KUPITIA MLANGO WA DEREVA
![](http://4.bp.blogspot.com/-Mj0mxl-gtCs/VPjQaJ-DqoI/AAAAAAAHH-k/-hYnM44cujc/s1600/DSCF5554.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YBFp7QfmCZf9p-xnjYXLbYo8L9cx-rx6tza3pZLFPtIMi1RM1IBwIVPaJxpO59eiATozCKBWgTITEM4hACvPLWwxu8jByQYS/11.jpg?width=650)
DEREVA DALADALA NA FUNDI MAKENIKA WAZOA MAMILIONI YA TIGO PESA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bTQ94SQ5wOIde3FMdLUQO*puXeAxc2ZPMYbDmqDD7KoJnVOvZ9qERTcPMrHW0DaHba*39u*Ho7Dt8RSY9ijeMxgBHVhASWpQ/AUNT.jpg?width=650)
AUNT EZEKIEL AZICHAPA UKUMBINI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-NOEPf2lvTAk/Xnnxaw3mMKI/AAAAAAALk6Q/hdUMqFjdEAYrsPSG1XRxBmhRmABwKv1eACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200324-WA0002.jpg)
MBEYA: JESHI LA POLISI LAMSHIKILIA DEREVA WA BASI LA RAHABU KWA KUSABABISHA KIFO CHA DEREVA WA BAJAJI
![](https://1.bp.blogspot.com/-NOEPf2lvTAk/Xnnxaw3mMKI/AAAAAAALk6Q/hdUMqFjdEAYrsPSG1XRxBmhRmABwKv1eACLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200324-WA0002.jpg)
JESHI la Polisi mkoani Mbeya linamshikilia Dereva AYOUB BALENZI MWANDWANGWA [36] Mkazi wa Ilomba Jijini Mbeya ambaye ni Dereva wa Basi la RAHABU linalofanya Safari zake kati ya Mbeya – Ifakara Morogoro kwa kosa la kusababisha vifo kwa dereva wa Bajaji ambaye bado hajafahamika jina na abiria wake aitwaye ESTER MBOJE [35] Mkazi wa Ilemi.Ni kwamba mnamo tarehe 24/03/2020 majira ya saa 06:15 asubuhi huko Ilomba, Kata ya Ilomba,...