ABIRIA WANAPOAMUA KUPANDA DALADALA KUPITIA MLANGO WA DEREVA
![](http://4.bp.blogspot.com/-Mj0mxl-gtCs/VPjQaJ-DqoI/AAAAAAAHH-k/-hYnM44cujc/s72-c/DSCF5554.jpg)
Kamera ya Globu ya Jamii imewanasa abiria hawa wakipanda daladala kupitia Mlango wa Dereva kutokana na hali ya gombalia goli iliyikuwepo kwenye mlango wa kawaida wa abiria.
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili02 Jul
Aokoa dereva kwa kukunja mlango wa gari
10 years ago
VijimamboDEREVA WA BASI LA SHABIBY AWEKWA KITI MOTO NA ABIRIA BAADA YA BASI HILO KUHARIBIKA NA YEYE KUWAKIMBIA ABIRIA
Leo hii asubuhi nikitokea Singida kwenda Dar kwa basi la Shabiby Line, lenye nambari za usajili T607 CVL iliondoka stendi ya Misuna Singida mnaomo saa 12.48(moja kasoro 12) za asubuhi. Safari ilikuwa nzuri mpaka gari ilipofika nje kidogo ya Manyoni kuelekea Dodoma mnamo saa 2.30 kwa muda wa sekunde chache mpaka dkk moja hivi ulisikika mlio usio wa kawaida ingawa dereva wa gari hilo aliendelea...
11 years ago
CloudsFM04 Jun
NAULI ZA DALADALA KUPANDA TENA
HATIMAYE picha halisi ya gharama ya Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka Dar es Salaam (Dart) awamu ya kwanza, imeonesha nauli ya basi kutoka maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar es Salaam kwenda na kurudi vituo vikubwa vikiwemo vya Kariakoo na Posta, itapanda kutoka nauli ya chini ya Sh 400 ya sasa mpaka kati ya Sh 700 na Sh 800 kwa ruti moja.
Kwa wanafunzi, nauli kwa ruti moja kwenda katika vituo hivyo vikubwa katika mradi huo ambao utaanza kwa majaribio mwishoni mwa mwaka huu, zitapanda kutoka Sh...
11 years ago
Habarileo04 Jun
Nauli daladala Dar kupanda
HATIMAYE picha halisi ya gharama ya Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka Dar es Salaam (Dart) awamu ya kwanza, imeonesha nauli ya basi kutoka maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar es Salaam kwenda na kurudi vituo vikubwa vikiwemo vya Kariakoo na Posta, itapanda kutoka nauli ya chini ya Sh 400 ya sasa mpaka kati ya Sh 700 na Sh 800 kwa ruti moja.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/oszb1oYwZCm70oaRu4-qpDQVCO7MizZwy5jKzB44bG23IZo3tGYBfXJn1jA7EX-Z2-XGCeTCO53mOr0Axr0zXdyGebvsRRj3/wastara.jpg)
WASTARA AZICHAPA NA DEREVA DALADALA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/A8I8pebmYzr2eYP7hP5ut4Ux34fTSjiTEbUqdnAnphGP3N9CV6BX9mZVVmSJzAHGrShUfc0t3-F7mX7R7F3JzMTyL5D5uzfH/polisi.jpg?width=650)
ASKARI WAMPA KIPONDO DEREVA DALADALA
11 years ago
Habarileo04 May
Dereva wa daladala aua mpigadebe akijihami
JESHI la Polisi katika Kanda Maalumu ya Tarime/Rorya linamsaka dereva wa basi dogo la abiria `daladala’ linalofanya kazi kati ya mji mdogo wa Sirari, Tarime na Mugumu wilayani Serengeti akihutumiwa kumuua mpigadebe wa stendi ya Sirari, Chacha Suguta (28).
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tei6Zvghx20JZq7BMJs2EW2Po7hlRbkWt-zDNwQBVmGSk0v-KmZ96FRUCMJwqUd-rim-7EKvOYbw5UgkJ3KdK4d*Zl15M-nd/FRONT.jpg)
MWANAFUNZI AMCHOMA KISU DEREVA DALADALA!