NAULI ZA DALADALA KUPANDA TENA
HATIMAYE picha halisi ya gharama ya Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka Dar es Salaam (Dart) awamu ya kwanza, imeonesha nauli ya basi kutoka maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar es Salaam kwenda na kurudi vituo vikubwa vikiwemo vya Kariakoo na Posta, itapanda kutoka nauli ya chini ya Sh 400 ya sasa mpaka kati ya Sh 700 na Sh 800 kwa ruti moja.
Kwa wanafunzi, nauli kwa ruti moja kwenda katika vituo hivyo vikubwa katika mradi huo ambao utaanza kwa majaribio mwishoni mwa mwaka huu, zitapanda kutoka Sh...
CloudsFM
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo04 Jun
Nauli daladala Dar kupanda
HATIMAYE picha halisi ya gharama ya Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka Dar es Salaam (Dart) awamu ya kwanza, imeonesha nauli ya basi kutoka maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar es Salaam kwenda na kurudi vituo vikubwa vikiwemo vya Kariakoo na Posta, itapanda kutoka nauli ya chini ya Sh 400 ya sasa mpaka kati ya Sh 700 na Sh 800 kwa ruti moja.
10 years ago
Habarileo10 Apr
Kushuka, kupanda kwa nauli wiki ijayo
MAMLAKA ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA) imesema hatma ya uamuzi kuhusu iwapo nauli ishuke au la itajulikana wiki ijayo.
10 years ago
Mwananchi08 Mar
Wapendekeza nauli za daladala zipunguzwe
10 years ago
Mwananchi09 Sep
Daladala wagoma Iringa,nauli zapaa
11 years ago
Mwananchi05 Jun
Kiwango cha nauli za daladala kushuka Dar es Salaam
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HD0RdVTwp0DYdyWdOo99XH49s8gSxFq*6HpoXrmYEwVw97rgn2*1X7WAfMx*TGTgpfR7Ak8Mlwyq33kALkPspCCmZ-YVXKcE/Mrisho1.jpg?width=650)
MRISHO MPOTO ATAFUTA NAULI KWA KUPIGA DEBE KWENYE DALADALA - 4
5 years ago
Bongo514 Feb
Sumatra yatoa ufafanuzi wa nauli za daladala kwa njia ya Makumbusho-Mnazi Mmoja
Mamlaka ya Udhibiti na Usafiri wa Majini na Nchi Kavu (SUMATRA), imetolea ufafanuzi wa nauli za daladala kwa njia ya Makumbusho- Mnazi mmoja kupitia Kambarage, Shekilango na Kigogo.
Ifuatayo ni taarifa ya mchanganuo wa nauli za daladala katika maeneo hayo;
Na Emmy Mwaipopo
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!Share on Whatsapp
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Mj0mxl-gtCs/VPjQaJ-DqoI/AAAAAAAHH-k/-hYnM44cujc/s72-c/DSCF5554.jpg)
ABIRIA WANAPOAMUA KUPANDA DALADALA KUPITIA MLANGO WA DEREVA
![](http://4.bp.blogspot.com/-Mj0mxl-gtCs/VPjQaJ-DqoI/AAAAAAAHH-k/-hYnM44cujc/s1600/DSCF5554.jpg)
10 years ago
MichuziChama Cha Kutetea Abiria (CHAKUA) YAITAKA SUMATRA KUSHUSHA NAULI KWA DALADALA NA MABASI YA MIKOANI
Na Chalila Kibuda.
Chama Cha Kutetea Abiria (Chakua) kimesema kuwa kutokana na bei ya mafuta kushuka nchini nauli ya daladala na nauli ya mabasi mikoani inatakiwa kushuka kwa asilimia...