Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WASTARA JUMA AZICHAPA NA MUMEWE MAHAKAMANI

WIKI iliyopita katika makala haya tuliishia pale mwigizaji Wastara Juma alivyokimbizwa na mumewe wa kwanza na kuokolewa na difenda la polisi, TUENDELEE… Mwigizaji wa Muvi Bongo Wastara Juma APEWA TALAKA Mwandishi: Nini kiliendelea baada ya purukushani hizo zote?
“Zilipita siku tatu mume wangu alinipigia simu akiwa na dada yake na kunitamkia kwamba ameniacha kwa talaka tatu na huyo dada yake ndiye shahidi na hiyo...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

WASTARA AZICHAPA NA DEREVA DALADALA

UBABE! Mwigizaji wa sinema za Kibongo, Wastara Juma aliwahi kuzichapa kavukavu na dereva wa daladala baada ya kuoneshewa ishara ya matusi. Ishu ilikuwa hivi, miaka miwili iliyopita jijini Dar, Wastara alikuwa na wasanii wenzake kituoni sasa daladala likapita karibu yao na kummwagia maji na alipojaribu kumwambia kistaarabu kwamba hakufanya ‘fea’, dereva huyo akamuoneshea ishara ya matusi. Mwigizaji wa sinema za...

 

10 years ago

GPL

WASTARA AWACHARUKIA WANAOMTUSI MUMEWE

Stori Na:Gladness Mallya/Ijumaa Wikienda MSANII mkongwe katika gemu la filamu Bongo, Wastara Juma ameapa kumshtaki mtu atakayekamata kutokana na baadhi ya mashabiki kuwa na tabia ya kumtukana matusi ya nguoni mtandaoni huku wakimhusisha na marehemu mumewe, Sajuki. Msanii mkongwe katika gemu la filamu Bongo, Wastara Juma. Akizungumza na gazeti hili, Wastara alisema anajisikia vibaya baadhi ya mashabiki wanavyomtukana kwenye...

 

10 years ago

GPL

WASTARA APORWA POCHI NA MUMEWE,AMKIMBIZA, AMPATA AMSHIKA NYETI

Tunaendelea na Exclusive Interview ya mwigizaji ambaye amepitia mitihani mizito maishani mwake, Wastara Juma. Hakukata tamaa, anaendelea kudunda hadi leo. Mwigizaji ambaye amepitia mitihani mizito maishani mwake, Wastara Juma. Wiki iliyopita tuliishia hapa:
“Baada ya kuwa na ujauzito wazazi wangu waliamua kunichukua nikaenda kukaa nao Zanzibar lakini nikawa nateseka sana ambapo mama yangu aligundua na kusema nije Dar...

 

10 years ago

GPL

WASTARA JUMA AFUNDISHWA KUVAA VIMINI, KWENDA KLABU

WIKI iliyopita tuliishia pale mwigizaji Wastara Juma alipokuwa akimwelezea mchumba wake wa pili alivyokuwa hajatulia kiasi cha kumchanganya na wanawake watatu tofauti. Leo anaelezea alivyokutana na majanga mengine kwa mwanaume mwingine.
ENDELEA KUTOKA ILIPOISHIA… “Huyu mwanamke wa tatu baada ya kuondoka niliomba namba yake kwa mdogo wake huyo mchumba, nikampigia na kumuomba nionane naye. Bila hiyana alinikubalia,...

 

10 years ago

GPL

STEVE NYERERE, WASTARA JUMA ‘DAMDAM’

Komediani maarufu Bongo, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’. Gabriel Ng’osha
Kivipi? Taarifa ikufikie kuwa komediani maarufu Bongo, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ amefunguka kuwa yeye na staa wa sinema za Kibongo, Wastara Juma ni damdam. Steve alisema hayo wikiendi iliyopita wakati akichukua fomu ya kugombea nafasi ya ubunge katika Jimbo la Kinondoni, Dar kwa leseni ya Chama Cha Mapinduzi (CCM)....

 

11 years ago

GPL

AUNT EZEKIEL AZICHAPA UKUMBINI

Na Shakoor Jongo
STAA wa sinema Bongo, Aunt Ezekiel amejikuta akizichapa na mwanamke aitwaye Sarah Mwakapala ambaye miaka mitano iliyopita waliwahi kugombea penzi la mwanaume anayejulikana kwa jina la Mwilu Mwilola ‘Silva’. Tukio la ugomvi huo lilichukuwa nafasi juzi katika Ukumbi wa Letasi Lounge uliopo Victoria jijini Dar ambapo kulikuwa na sherehe ya kuzaliwa ya rafiki yao aliyetambulika kwa jina la Jamila....

 

10 years ago

Vijimambo

NDOA NDOANO:MKE AMWAGIA MUMEWE MAJI YA MOTO BAADA YA KUULIZWA NA MUMEWE KWANINI AMECHELEWA KURUDI NYUMBANI!!

Mwanamke mmoja katika wilaya ya Bunda, mkoani Mara, amemfanyia ukatili mume wake kwa kumwagia maji ya moto yaliyokuwa yametengwa kwa ajili ya kupikia ugali.Kwa mujibu wa jeshi la polisi wilayani hapa, tukio hilo lilitokea juzi, saa 4:30 usiku, katika mtaa wa Nyamakokoto, mjini Bunda, baada ya kuzuka ugomvi ulitokana na mwanamke huyo (jina linahifadhiwa) kuchelewa kurudi nyumbani.Mwanaume huyo amejeruhiwa vibaya mume wake sehemu mbalimbali za mwili wake, hali iliyopelekea kulazwa katika...

 

11 years ago

Michuzi

MWAITE JUMA AENDELEZA UBABE CHALINZE,JUMA BIGLEE AMCHAKAZA JACK SIMELA

Bondia Juma Biglee (kulia) akimshambulia kwa makonde mazito Bondia Jack Simela wakati wa mpambano wao wa masumbwi uliofanyika jana katika ukumbi wa Ndelema Inn Chalinze mjini,mkoani Pwani.Biglee alishinda kwa point. Mabondia hao wakitupiana makonde mazito mazito. Bondia Juma Biglee akinyooshwa mkono juu baada ya kumshinda Jack Simela wa Chalinze. Bondia Mwaite Juma (kushoto) akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na  Bondia Godfrey Sadiki 'Pacho Mawe' wakati wa mpambano wao...

 

10 years ago

Michuzi

Dkt Shein aongoza maziko ya Muasisi wa CCM Marehemu Mzee Juma Ameir Juma

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein (wa tatu kulia) akijumuika na  waislamu na Viongozi kumuombea dua  Muasisi wa CCM  Marehemu Mzee Juma Ameir Juma baada ya kumswalia katika Msikiti wa Abdalla Rashid Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi na amezikwa leo kijijini kwao  Muungoni Wilaya ya Kusini Unguja. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi AlhajDk.Ali Mohamed Shein (wa tatu kulia) pamoja na Viongozi na Waislamu wakibeba Jeneza lenye...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani