Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MADAI:KIGOGO AMCHOMA KISU MKEWE

Joseph Ngilisho aliyekuwa Pwani
KIGOGO wa shirika moja la kimataifa linalojishughulisha na watoto yatima, tawi la mkoani Pwani, Tanzania aliyetajwa kwa jina moja la Mugaka, anayekadiriwa kuwa na umri kati ya miaka 35 hadi 40, ametupwa rumande akituhumiwa kumchoma kisu na kumtoa manundu mkewe, Leah (28). Mke wa kigogo (Mugaka),Bi. Leah aliyefanyiwa unyama na mumewe. Tukio hilo la kusikitisha lilijiri wilayani Kisarawe, Pwani...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MUME AMCHOMA KISU MKEWE, NAYE ANYWA SUMU

Mayasa Mariwata na Makongoro Oging’
MWANAMKE mmoja mwenye asili ya Kiarabu, Salma Amuri (39) (pichani) mkazi wa Mji Mpya, Kawe jijini Dar, amenusurika kifo baada ya kuchomwa visu sehemu mbalimbali za mwili wake ikiwemo tumboni na mumewe aliyetambulika kwa jina moja la Selemani.Mwanaume huyo naye baada ya tukio hilo alijaribu kujiua kwa kunywa sumu, chanzo kikidaiwa kuwa ni wivu wa mapenzi. Salma Amuri anayedaiwa...

 

10 years ago

GPL

MWANAFUNZI AMCHOMA KISU DEREVA DALADALA!

Na Makongoro Oging’
MAISHA haya siku hizi balaa tupu! Mwanafunzi wa kidato cha kwanza katika Shule ya Sekondari Kwembe, Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam (jina limefichwa), anashikiliwa na Jeshi la Polisi Kituo cha Magomeni kwa madai ya kumchoma kisu dereva wa daladala. Dereva akiwa miguuni mwa mwanafunzi. Uwazi limenasa mkasa huo uliotokea Juni Mosi, mwaka huu eneo la Manzese na kubaini kuwa aliyechomwa kisu...

 

11 years ago

Dewji Blog

Msichana wa ndani aua tajiri yake, amchoma kisu kwenye Titi, afa papo hapo

DSC00179111

Kamanda wa polisi Mkoani Singida (SACP), Geofrey Kamwela.

Na Hillary Shoo, SINGIDA.

SAKATA la wafanyakazi wa ndani kunyanyaswa na mabosi wao limeingia katika sura ya kipekee safari hii mabosi wamegeukwa na kuuwawa na wafanyakazi hao.

Hatua hiyo imekuja siku chache baada ya mfanyakazi mmoja wa ndani Mkoani Singida, kumwua tajiri yake kwa kumchoma kwa kisu sehemu ya juu ya titi la kulia kwa madai ya kunyanyashwa na tajiri yake.

Kamanda wa polisi Mkoani Singida (SACP) Geofrey Kamwela alisema...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mzee amchoma mkewe wa miaka 16 Kenya

Mzee mwenye umri wa miaka 70 aliyemchoma mkewe mwenye umri wa miaka 16 mjini Mandera kazkazini mashariki mwa Kenya amekamatwa.

 

9 years ago

GPL

ACHOMWA KISU AKIMTETEA MKEWE!

Chande Abdallah na Gabriel Ng’osha Inasikitisha! Kijana aliyefahamika kwa jina la Khalid Abdallah (30) mkazi wa Kigogo Sambusa jijini Dar, amefariki dunia kwa kuchomwa kisu na mtu aliyefahamika kwa jina la Amani huku mkewe aitwaye Aisha akishuhudia. Marehemu Khalid Abdallah enzi za uhai wake. Tukio hilo lilitokea hivi karibuni saa 5 usiku maeneo ya kota za Karume jijini Dar ambapo inadaiwa Khalid alikuwa katika jitihada za...

 

10 years ago

Mwananchi

Mume auawa kwa kisu na hawara wa mkewe

Mkazi wa Tarafa ya Mang’ula wilayani Kilombero, Amon Nyenja amefariki dunia baada ya kuchomwa kwa kisu na anayedhaniwa kuwa ni hawara wa mke wake mdogo.

 

9 years ago

Dewji Blog

Tundu Lissu amshukia Dk.Slaa kwa madai ya kuponzwa na mkewe

DSC01778

Mwanasheria wa CHADEMA na mgombea ubunge jimbo la Singida mashariki, Tundu Lissu,akizungumza kwenye mkutano wa kampeni ya Ukawa mkoa wa Singida uliofanyika kwenye uwanja wa Peoples mjini hapa.Pamoja na mambo mengine,Tundu amewaomba wakazi wa Singida, kumpa kura ya ndiyo mgombea urais kwa tiketi ya Ukawa, Edward Ngoyai Lowassa, wabunge na madiwani wa Ukawa,ili kuigaragaza CCM kwa madai imechoka na umechuja mbele ya macho ya Watanzania.

DSC01807

DSC01826

Mgombea ubunge jimbo la Singida mjini kupitia ukawa,...

 

10 years ago

Bongo5

Rapper amuua mkewe na kujiua, mkewe alimsaliti na Trey Songz, Mayweather ashuhudia tukio zima la mauaji!

Rapper wa Marekani, Earl Hayes amemuua mke wake Stephanie Moseley aliyekuwa staa kwenye kipindi cha “Hit the Floor” cha VH1 kwa risasi na yeye kujiua kutokana na wivu wa mapenzi. Stephanie Moseley Hayes alikuwa ameumizwa na uhusiano wa kimapenzi aliokuwa nao mke wake na Trey Songz. Stephanie Moseley aliuawa nyumbani kwao na mume wake huyo […]

 

9 years ago

StarTV

Mwili waharibika kwa madai ya kuhifadhiwa chini kwa  madai ya uzembe Sekou Toure

Mwili wa kijana aliyekuwa akiishi mitaani jijini Mwanza marehemu Baraka Hamisi hatimaye umezikwa baada ya kukosa hifadhi katika jokofu la maiti kwa takribani siku sita katika Hospitali ya Mkoa wa Mwanza Sekou Toure

Marehemu Bakari Hamisi mwenye umri wa miaka 22 kijana wa mitaani aliyekuwa akijishughulisha na biashara ndogondogo alifariki dunia alipokuwa akipelekwa hospitalini hapo na vijana wenzake wa mitaani kwa ajili ya kupata matibabu.

Awali kabla ya kufikwa na mauti, vijana wenzake wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani