Tundu Lissu amshukia Dk.Slaa kwa madai ya kuponzwa na mkewe
Mwanasheria wa CHADEMA na mgombea ubunge jimbo la Singida mashariki, Tundu Lissu,akizungumza kwenye mkutano wa kampeni ya Ukawa mkoa wa Singida uliofanyika kwenye uwanja wa Peoples mjini hapa.Pamoja na mambo mengine,Tundu amewaomba wakazi wa Singida, kumpa kura ya ndiyo mgombea urais kwa tiketi ya Ukawa, Edward Ngoyai Lowassa, wabunge na madiwani wa Ukawa,ili kuigaragaza CCM kwa madai imechoka na umechuja mbele ya macho ya Watanzania.
Mgombea ubunge jimbo la Singida mjini kupitia ukawa,...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo02 Sep
TUNDU LISSU AJIBU SHUTUMA ZA DR. SLAA
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/s93Zy4xNeZ0/default.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mK50tPAXydXq6Sp22mzwYfDZkAzLdybMq35S22KBh809F8W7xUtXw5fRqTzv3zQ--oe9AT-lp3ULx0t2XYXfZLoHLdvNa1ZG/lissu.jpg?width=650)
TUNDU LISSU: TUMUUE ZITTO KWA LIPI?
10 years ago
Mwananchi20 Jan
Maswali kumi kwa Mbunge wangu:Tundu Lissu
11 years ago
Tanzania Daima24 Dec
Lissu amshukia Zitto Kabwe
MWANASHERIA Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, amesema kuwa watu wanaosema kwamba maamuzi ya Kamati Kuu ya chama hicho kuwavua nafasi za uongozi makada wake watatu...
5 years ago
MichuziWALEMAVU WAMKARIBISHA RASMI TUNDU LISSU WAMWAMBIA KURA ZAO ZOTE KWA JPM
11 years ago
Tanzania Daima28 Feb
Dk. Slaa amshukia JK, Nyalandu
RAIS Jakaya Kikwete na Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, wameshukiwa na kuelezwa kuwa hawana dhamira ya dhati katika kupambana na vitendo vya ujangili nchini bali wanafanya hivyo ili...
9 years ago
Mtanzania03 Sep
Rostam amshukia Slaa
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
ALIYEWAHI kuwa Mbunge wa Igunga, Rostam Aziz, amesema kauli zilizotolewa na aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chadema, Dk. Willibrod Slaa kuwa alimpigia simu za vitisho ni kauli za uongo, ubinafsi na upotoshaji.
Katika taarifa yake kwa vyombo vya habari jana, Rostam alisema: “Nilimsikiliza Katibu Mkuu wa Chadema Dk. Willibrod Slaa jana alipokuwa akizungumza katika hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam.
“Kwa mara nyingine kama ilivyo hulka yake miaka yote, Dk. Slaa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bTQ94SQ5wOKHrXcHg31XWc8CTsVuMwjNHW*jW1v5rjxBXWEHYUS*H1EMukTSOwII9yuZJPCGDsx0u70k9WwvTRBPrHXJ78Fs/lissu.jpg?width=650)
Tundu Lissu…