Dk. Slaa amshukia JK, Nyalandu
RAIS Jakaya Kikwete na Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, wameshukiwa na kuelezwa kuwa hawana dhamira ya dhati katika kupambana na vitendo vya ujangili nchini bali wanafanya hivyo ili...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania03 Sep
Rostam amshukia Slaa
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
ALIYEWAHI kuwa Mbunge wa Igunga, Rostam Aziz, amesema kauli zilizotolewa na aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chadema, Dk. Willibrod Slaa kuwa alimpigia simu za vitisho ni kauli za uongo, ubinafsi na upotoshaji.
Katika taarifa yake kwa vyombo vya habari jana, Rostam alisema: “Nilimsikiliza Katibu Mkuu wa Chadema Dk. Willibrod Slaa jana alipokuwa akizungumza katika hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam.
“Kwa mara nyingine kama ilivyo hulka yake miaka yote, Dk. Slaa...
9 years ago
Dewji Blog05 Sep
Tundu Lissu amshukia Dk.Slaa kwa madai ya kuponzwa na mkewe
Mwanasheria wa CHADEMA na mgombea ubunge jimbo la Singida mashariki, Tundu Lissu,akizungumza kwenye mkutano wa kampeni ya Ukawa mkoa wa Singida uliofanyika kwenye uwanja wa Peoples mjini hapa.Pamoja na mambo mengine,Tundu amewaomba wakazi wa Singida, kumpa kura ya ndiyo mgombea urais kwa tiketi ya Ukawa, Edward Ngoyai Lowassa, wabunge na madiwani wa Ukawa,ili kuigaragaza CCM kwa madai imechoka na umechuja mbele ya macho ya Watanzania.
Mgombea ubunge jimbo la Singida mjini kupitia ukawa,...
11 years ago
Mwananchi31 Mar
Warioba amshukia Prof Shivji
11 years ago
Mwananchi27 Jan
Guninita aibuka, amshukia Nape
9 years ago
Mwananchi30 Aug
January amshukia Lowassa Dodoma
11 years ago
Tanzania Daima24 Dec
Lissu amshukia Zitto Kabwe
MWANASHERIA Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, amesema kuwa watu wanaosema kwamba maamuzi ya Kamati Kuu ya chama hicho kuwavua nafasi za uongozi makada wake watatu...
11 years ago
Mwananchi17 Mar
Kocha Mourinho amshukia mwamuzi Foy
10 years ago
Tanzania Daima30 Oct
DC Geita amshukia Mwenyekiti wa CCM Mkoa
IKIWA ni siku chache Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Geita, Joseph Msukuma kufanya mkutano wa hadhara kiwanja cha shule ya Msingi Kalangalala na kumtuhumu Mkuu wa Wilaya ya Geita (DC),...
11 years ago
Mwananchi14 Jan
Mdee amshukia Waziri Tibaijuka mgogoro wa ardhi