Guninita aibuka, amshukia Nape
Aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dar es Salaan, John Guninita amesema kitendo cha Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye kupinga uteuzi wa mawaziri uliofanywa na Mwenyekiti wa chama chake, Rais Jakaya Kikwete ni mwendelezo wa tabia za ukosefu wa nidhamu kwa viongozi wake.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo25 Mar
Moto wa Lowassa sasa watikisa CCM. Nape aibuka, ataka asikaribishe makundi kumshawishi urais.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Lowasa-25March2015.jpg)
Akizungumza na waandishi wa habari waliopo katika msafara wa Katibu Mkuu wa CCM waliotaka ufafanuzi kuhusu hali hiyo, Katibu wa Halmashauri Kuu (Nec), Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye, alisema matendo yanayoendelea kufanywa na Lowassa, ambaye ni Mbunge wa Monduli ni...
9 years ago
Mtanzania03 Sep
Rostam amshukia Slaa
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
ALIYEWAHI kuwa Mbunge wa Igunga, Rostam Aziz, amesema kauli zilizotolewa na aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chadema, Dk. Willibrod Slaa kuwa alimpigia simu za vitisho ni kauli za uongo, ubinafsi na upotoshaji.
Katika taarifa yake kwa vyombo vya habari jana, Rostam alisema: “Nilimsikiliza Katibu Mkuu wa Chadema Dk. Willibrod Slaa jana alipokuwa akizungumza katika hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam.
“Kwa mara nyingine kama ilivyo hulka yake miaka yote, Dk. Slaa...
11 years ago
Tanzania Daima28 Feb
Dk. Slaa amshukia JK, Nyalandu
RAIS Jakaya Kikwete na Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, wameshukiwa na kuelezwa kuwa hawana dhamira ya dhati katika kupambana na vitendo vya ujangili nchini bali wanafanya hivyo ili...
9 years ago
Mwananchi30 Aug
January amshukia Lowassa Dodoma
9 years ago
TheCitizen14 Aug
Mgeja, Guninita ditch CCM
11 years ago
Mwananchi31 Mar
Warioba amshukia Prof Shivji
11 years ago
Tanzania Daima24 Dec
Lissu amshukia Zitto Kabwe
MWANASHERIA Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, amesema kuwa watu wanaosema kwamba maamuzi ya Kamati Kuu ya chama hicho kuwavua nafasi za uongozi makada wake watatu...
10 years ago
Mtanzania20 Mar
Guninita kulishtaki gazeti MCT
NA KOKU DAVID, DAR ES SALAAM
MWENYEKITI Mstaafu wa Chama cha Mapinduzi (CCM)MKoa wa Dar es Salaam, John Guninita, amesema anakusudia kulishitaki gazeti la kila wiki la Sauti Huru kwa Baraza la Habari Tanzania (MCT) kwa madai ya kuandika habari za uchonganishi dhidi yake.
Katika taarifa yake, kada huyo wa CCM alidai kuwa gazeti hilo toleo Namba 331 la Machi 12 mwaka huu liliandika habari za fitina, ugombanishi na uchochezi.
Guninita alisema habari hiyo iliyokuwa na kichwa cha habari...
10 years ago
Tanzania Daima30 Oct
DC Geita amshukia Mwenyekiti wa CCM Mkoa
IKIWA ni siku chache Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Geita, Joseph Msukuma kufanya mkutano wa hadhara kiwanja cha shule ya Msingi Kalangalala na kumtuhumu Mkuu wa Wilaya ya Geita (DC),...