Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Guninita kulishtaki gazeti MCT

gununitaNA KOKU DAVID, DAR ES SALAAM
MWENYEKITI Mstaafu wa Chama cha Mapinduzi (CCM)MKoa wa Dar es Salaam, John Guninita, amesema anakusudia kulishitaki gazeti la kila wiki la Sauti Huru kwa Baraza la Habari Tanzania (MCT) kwa madai ya kuandika habari za uchonganishi dhidi yake.
Katika taarifa yake, kada huyo wa CCM alidai kuwa gazeti hilo toleo Namba 331 la Machi 12 mwaka huu liliandika habari za fitina, ugombanishi na uchochezi.
Guninita alisema habari hiyo iliyokuwa na kichwa cha habari...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Guninita aibuka, amshukia Nape

Aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dar es Salaan, John Guninita amesema kitendo cha Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye kupinga uteuzi wa mawaziri uliofanywa na Mwenyekiti wa chama chake, Rais Jakaya Kikwete ni mwendelezo wa tabia za ukosefu wa nidhamu kwa viongozi wake.

 

9 years ago

TheCitizen

Mgeja, Guninita ditch CCM

Shinyanga regional CCM chairman Khamis Mgeja and Mr John Guninita, the former party’s chairman for Dar es Salaam, yesterday quit the ruling party and announced to join the main opposition, Chadema.

 

10 years ago

Mtanzania

Makonda akana kuwakashfu Guninita, Msindai

MAKONDANA KULWA MZEE, DAR ES SALAAM
MKUU wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda, amekana kutoa maneno ya kashfa dhidi ya Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Singida, Mgana Msindai na Mwenyekiti mstaafu wa chama hicho Mkoa wa Dar es Salaam, John Guninita.
Amedai kwamba alichozungumza kiliungwa mkono na viongozi wa juu wa chama hicho akiwamo John Malecela na Waziri Mkuu mstaafu Cleopa Msuya.
Makonda alidai hayo jana katika majibu yake aliyowasilisha Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu mbele ya Hakimu Mkazi, Hellen...

 

10 years ago

Mwananchi

wakina Guninita ‘wamtia’ DC Makonda kortini

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda ametakiwa na Mahakama ya Hakimu Mkazi wa Kisutu kuwasilisha utetezi dhidi ya madai ya makada wawili wa CCM, John Guninita na Mgana Msindai kuwa aliwadhalilisha kwa kuwaita vibaraka wanaotumiwa kuharibu chama hicho kwa nguvu ya pesa.

 

10 years ago

TheCitizen

Mgeja, Guninita quit CCM, join Chadema

Shinyanga Region Chama Cha Mapinduzi (CCM) chairman, Khamis Mgeja and former Dar es Salaam Region chair John Guninita have quitted membership of the ruling party.

 

10 years ago

Mwananchi

Mgeja, Guninita wajiengua CCM, wajiunga Chadema

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Shinyanga, Khamis Mgeja na aliyekuwa mwenyekiti mkoa wa Dar es Salaam John Guninita wametangaza leo kuachana na CCM na kujiunga Chadema.

 

10 years ago

Michuzi

MGEJA,GUNINITA WANGATUKA CCM ,WAJIUNGA CHADEMA

  Aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM, Mkoa wa Shinyanga, Hamis Mgeja akizungumza na waandishi wa (habari  hawapo pichani )juu ya kungatuka katika chama hicho na kujiunga na Chadema leo katika ukumbi wa Idara ya habari Maelezo jijini Dar es Salaam, Kulia ni John Gudinita. Aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM, Mkoa wa Dar es Salaam, John Gudinita akitangaza kujiuzuru katika chama hicho na Kujiunga na Chadema leo majira ya saa tano katika ukumbi wa Idara ya habari Maelezo jijini Dar es Salaam. kushoto Sheik...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Guninita atabiri kilimo cha miwa kufa

MKULIMA wa Miwa aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mkoa wa Dar es Salaam, John Guninita, ameibuka na utabiri kuwa zao hilo litakufa miaka miwili ijayo endapo serikali...

 

9 years ago

Mtanzania

Mgeja, Guninita waibwaga CCM, wajiunga Chadema

mgeja, guninitaNa Elizabeth Hombo, Dar es Salaam

MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Shinyanga, Khamis Mgeja amesema chama hicho kimeacha misingi yake na sasa kimegeuka kuwa kampuni ya familia moja.

Mgeja pia amempiga kijembe mgombea urais kupitia CCM, Dk. John Magufuli akimfananisha na dereva ambaye hajaweza kuendesha gari vizuri ‘learner’ akimaanisha kuwa hana uwezo wa kukiongoza chama hicho.

Mgeja alitoa kauli hiyo   Dar es Salaam jana alipotangaza kukihama chama hicho na kujiunga na Chama...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani