MGEJA,GUNINITA WANGATUKA CCM ,WAJIUNGA CHADEMA
Aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM, Mkoa wa Shinyanga, Hamis Mgeja akizungumza na waandishi wa (habari hawapo pichani )juu ya kungatuka katika chama hicho na kujiunga na Chadema leo katika ukumbi wa Idara ya habari Maelezo jijini Dar es Salaam, Kulia ni John Gudinita.
Aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM, Mkoa wa Dar es Salaam, John Gudinita akitangaza kujiuzuru katika chama hicho na Kujiunga na Chadema leo majira ya saa tano katika ukumbi wa Idara ya habari Maelezo jijini Dar es Salaam. kushoto Sheik...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi13 Aug
Mgeja, Guninita wajiengua CCM, wajiunga Chadema
9 years ago
Mtanzania14 Aug
Mgeja, Guninita waibwaga CCM, wajiunga Chadema
Na Elizabeth Hombo, Dar es Salaam
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Shinyanga, Khamis Mgeja amesema chama hicho kimeacha misingi yake na sasa kimegeuka kuwa kampuni ya familia moja.
Mgeja pia amempiga kijembe mgombea urais kupitia CCM, Dk. John Magufuli akimfananisha na dereva ambaye hajaweza kuendesha gari vizuri ‘learner’ akimaanisha kuwa hana uwezo wa kukiongoza chama hicho.
Mgeja alitoa kauli hiyo Dar es Salaam jana alipotangaza kukihama chama hicho na kujiunga na Chama...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/137.jpg)
MGEJA, GUNINITA WAKITOSA CHAMA CHA MAPINDUZI, WAJIUNGA CHADEMA
9 years ago
TheCitizen13 Aug
Mgeja, Guninita quit CCM, join Chadema
9 years ago
TheCitizen14 Aug
Mgeja, Guninita ditch CCM
9 years ago
Daily News14 Aug
Fate of repeating constituencies next week; Mgeja, Guninita quit
Daily News
THE fate of 11 constituencies, which have been directed to repeat preferential polls, will be known next Monday when the Central Committee (CC) of CCM will sit to endorse names of the candidates. The constituencies are Ukonga, Makete, Busega, Kilolo, ...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ykZ*wTWqMza0xiSIznEYXtmHJy-CQuBtKztInpW73WRz*UPXuZoXHM2es81rZ4vhADVrgofjj3F-BnHOMO3poUE8F1GWSYPv/BREAKING.gif)
MGEJA AHAMA CCM NA KUJIUNGA CHADEMA
10 years ago
Vijimambo13 Aug
MWENYEKITI WA CCM SHINYANGA KHAMIS MGEJA AHAMIA CHADEMA
![](http://api.ning.com/files/ykZ*wTWqMzb4ytuRIXAmmOxZurcIiApYyCM-PaNTa4-GX0wYFYQgz6G8pqN1XS1Jg4NFiY7tbBS8siGOdRZlapkXMVJ*c*j2/MGEJA.jpg)
Khamis Mgeja alikua mwenyekiti wa CCM mkoa wa Shinyanga leo ametangaza rasmi kujiunga na CHADEMA jijini Dar.
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-BtcjufSiimo/VcCo7nPbrkI/AAAAAAAB9bI/_iYXFbpTshQ/s72-c/mahanga.jpg)
VIGOGO WA CCM MAKONGORO MAHANGA + MSINDAI MGANA + OMEDEYI WAJIUNGA RASMI NA CHADEMA SASA HIVI MLIMANI CITY LIVE!
![](http://3.bp.blogspot.com/-BtcjufSiimo/VcCo7nPbrkI/AAAAAAAB9bI/_iYXFbpTshQ/s640/mahanga.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-JK8_ea4R1nY/VcCohO9eJDI/AAAAAAAB9a4/so3FBhqstUg/s640/msindai.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-iqEOWk9lHZI/VcCojj0IJBI/AAAAAAAB9bA/GOogNt3Sido/s640/olemedeyi.jpg)