MWENYEKITI WA CCM SHINYANGA KHAMIS MGEJA AHAMIA CHADEMA
CCM sio baba yangu si mama yangu, Watanzania wanahitaji mabadiliko wasipo yapata ndani ya CCM watayatafuta nje ya CCM ndiyo maneno aliyoyatumia Khamis Mgeja alipokua kizungumuza na waandishi wa habari jijini Dar hivi punde alipotangaza uamuzi wake wa kukihama chama cha CCM na kujiunga na CHADEMA.
Khamis Mgeja alikua mwenyekiti wa CCM mkoa wa Shinyanga leo ametangaza rasmi kujiunga na CHADEMA jijini Dar.
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania07 Dec
Mwenyekiti UWT ahamia Chadema
NA JANETH MUSHI, ARUSHA
MWENYEKITI wa Jumuiya ya Umoja wa Wanawake wa CCM (UWT) Wilaya ya Arusha, Vicky Mollel amekihama chama hicho na kujiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema).
Mollel ambaye aliwahi kuwa Diwani wa Viti Maalum Kata ya Daraja Mbili kupitia CCM anatarajiwa kukabidhiwa kadi ya uanachama Jumatano wiki hii na aliyekuwa mgombea urais wa Ukawa kupitia Chadema, Edward Lowassa.
Mollel aliwaambia waandishi wa habari jana kuwa ameamua kukihama CCM baada ya kuchoshwa...
9 years ago
Mwananchi07 Dec
Mwenyekiti UWT Arusha ahamia Chadema
10 years ago
Vijimambo11 Dec
KATIBU WA CHADEMA WILAYA YA DR.SLAA AHAMIA CCM,MWIGULU AMVUNA KWA MANUFAA YA CCM NA TANZANIA
![](https://fbcdn-sphotos-g-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xap1/v/t1.0-9/1544361_320647358137499_7899191970950634860_n.jpg?oh=099cd6be63e72fd94023f41af3aaa85f&oe=55094ADD&__gda__=1426427540_4bb982032bbe6dc364f0a420f00648c6)
![](https://fbcdn-sphotos-e-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xaf1/v/t1.0-9/10407834_320663834802518_6166510504085799717_n.jpg?oh=540f1462b180e2bf7d4b3bdc11def3c4&oe=55046DB2&__gda__=1426915843_437e32cb5f7fe5bd39ea15a80c4db24b)
Mkutano Karatu Mjini.
![](https://scontent-a-lhr.xx.fbcdn.net/hphotos-xfa1/v/t1.0-9/1505541_320646974804204_8373553399396600418_n.jpg?oh=68e48201ce1112e30f837896a9380d5a&oe=550051FE)
![](https://scontent-a-lhr.xx.fbcdn.net/hphotos-xap1/v/t1.0-9/10689476_320664064802495_1579968799082168238_n.jpg?oh=29992f1d4a13a823bdd09a21c00bc39f&oe=5541785F)
![](https://fbcdn-sphotos-a-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xap1/v/t1.0-9/10349088_320665871468981_3996669904898408057_n.jpg?oh=05a9a7d9d7d28621eb6484861b1d7293&oe=54F95FE8&__gda__=1427137332_6504e5aee04921ee06426fff1fe9824b)
![](https://fbcdn-sphotos-d-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpf1/v/t1.0-9/10421115_320664434802458_5417098475216331993_n.jpg?oh=1db1b79511655c13f9631f5dff51d033&oe=55424B51&__gda__=1426370875_d875731b4a1306575a51a5d5a62cb622)
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ykZ*wTWqMza0xiSIznEYXtmHJy-CQuBtKztInpW73WRz*UPXuZoXHM2es81rZ4vhADVrgofjj3F-BnHOMO3poUE8F1GWSYPv/BREAKING.gif)
MGEJA AHAMA CCM NA KUJIUNGA CHADEMA
11 years ago
Tanzania Daima07 Mar
Mfadhili wa CCM ahamia CHADEMA
KADA maarufu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na mfadhili wa chama hicho, Sanito Samson na mkewe, Dativa Sanito, wamehamia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wakielezea kuchoshwa kuchangishwa fedha au...
9 years ago
Mwananchi13 Aug
Mgeja, Guninita wajiengua CCM, wajiunga Chadema
9 years ago
MichuziMGEJA,GUNINITA WANGATUKA CCM ,WAJIUNGA CHADEMA
9 years ago
Mtanzania14 Aug
Mgeja, Guninita waibwaga CCM, wajiunga Chadema
Na Elizabeth Hombo, Dar es Salaam
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Shinyanga, Khamis Mgeja amesema chama hicho kimeacha misingi yake na sasa kimegeuka kuwa kampuni ya familia moja.
Mgeja pia amempiga kijembe mgombea urais kupitia CCM, Dk. John Magufuli akimfananisha na dereva ambaye hajaweza kuendesha gari vizuri ‘learner’ akimaanisha kuwa hana uwezo wa kukiongoza chama hicho.
Mgeja alitoa kauli hiyo Dar es Salaam jana alipotangaza kukihama chama hicho na kujiunga na Chama...
9 years ago
TheCitizen13 Aug
Mgeja, Guninita quit CCM, join Chadema