MGEJA AHAMA CCM NA KUJIUNGA CHADEMA
![](http://api.ning.com:80/files/ykZ*wTWqMza0xiSIznEYXtmHJy-CQuBtKztInpW73WRz*UPXuZoXHM2es81rZ4vhADVrgofjj3F-BnHOMO3poUE8F1GWSYPv/BREAKING.gif)
Aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Shinyanga, Khamis Mgeja. MWENYEKITI wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Shinyanga, Khamis Mgeja ametangaza rasmi kuachana na chama hicho na kujiunga na Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) hivi punde. Mgeja ametangaza uamuzi huo wakati akaiongea na wanahabari jijini Dar es Salaam amabapo ametumia kauli ya Hayati Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere aliyoitoa mwaka 1995 alipozungumzia...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi13 Aug
Said Nkumba ahama CCM, ajiunga Chadema
10 years ago
Habarileo29 Sep
Kagonji ahama Chadema, arejea CCM
ALIYEWAHI kugombea ubunge wa Mlalo Wilaya ya Lushoto mkoani Tanga kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) mwaka 2005, Charles Kagonji amekihama chama hicho na kurejea katika Chama Cha Mapinduzi (CCM).
9 years ago
Mwananchi13 Aug
Mgeja, Guninita wajiengua CCM, wajiunga Chadema
9 years ago
TheCitizen13 Aug
Mgeja, Guninita quit CCM, join Chadema
9 years ago
MichuziMGEJA,GUNINITA WANGATUKA CCM ,WAJIUNGA CHADEMA
9 years ago
Mtanzania14 Aug
Mgeja, Guninita waibwaga CCM, wajiunga Chadema
Na Elizabeth Hombo, Dar es Salaam
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Shinyanga, Khamis Mgeja amesema chama hicho kimeacha misingi yake na sasa kimegeuka kuwa kampuni ya familia moja.
Mgeja pia amempiga kijembe mgombea urais kupitia CCM, Dk. John Magufuli akimfananisha na dereva ambaye hajaweza kuendesha gari vizuri ‘learner’ akimaanisha kuwa hana uwezo wa kukiongoza chama hicho.
Mgeja alitoa kauli hiyo Dar es Salaam jana alipotangaza kukihama chama hicho na kujiunga na Chama...
10 years ago
Vijimambo13 Aug
MWENYEKITI WA CCM SHINYANGA KHAMIS MGEJA AHAMIA CHADEMA
![](http://api.ning.com/files/ykZ*wTWqMzb4ytuRIXAmmOxZurcIiApYyCM-PaNTa4-GX0wYFYQgz6G8pqN1XS1Jg4NFiY7tbBS8siGOdRZlapkXMVJ*c*j2/MGEJA.jpg)
Khamis Mgeja alikua mwenyekiti wa CCM mkoa wa Shinyanga leo ametangaza rasmi kujiunga na CHADEMA jijini Dar.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-esbi6gGa_9k/XkghNxY0xyI/AAAAAAACHqI/L64D059JACU0vLTA0XLRgQ_Xo1vQHdJTgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200215_194650_953.jpg)
10 years ago
Dewji Blog22 Jul
Mbunge wa Kahama, James David Lembeli aondoka CCM na kujiunga rasmi na CHADEMA
Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Kahama mkoani Shinyanga, James David Lembeli, akizungumza na waandishi wa habari Hoteli ya Blue Pearl Ubungo Dar es Salaam leo...