Warioba amshukia Prof Shivji
>Mjadala wa Mabadiliko ya Katiba jana ulihamia nje ya Bunge wakati Jaji Joseph Warioba alipomchambua mhadhiri maarufu nchini, Profesa Issa Shivji akimueleza kuwa si mkweli bali mpotoshaji wa Rasimu ya Katiba.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
IPPmedia01 Apr
Lissu, others question Prof Shivji's stand
Daily News
IPPmedia
Renowed lawyer, Prof Issa Shivji has been faulted by several of his colleagues of the Constituent Assembly for allegedly advocating a two tire government structure a move they say is against what he stands for and also contravenes his various publications ...
Don adds weight to 2-tier UnionDaily News
all 2
10 years ago
Tanzania Daima30 Sep
Prof. Shivji: Mchakato Katiba umeniacha na maswali
MHADHIRI Mwandamizi Mstaafu na mchambuzi maarufu nchini, Profesa Issa Shivji, amesema kuwa mchakato wa kupata Katiba Mpya unaoendelea nchini umemuacha na maswali mengi yasiyo na majibu. Profesa Shivji, alitoa kauli...
11 years ago
Tanzania Daima16 Apr
Prof. Shivji alisoma kwa ajili ya mtihani?
PROFESA Issa Shivji msomi nguli, mwanasheria mahiri, mwanaharakati na mchambuzi makini wa masuala ya kisiasa na kijamii, hivi karibuni ameingia katika malumbano na wasomi, wanasiasa na makundi mengine ambayo amekinzana...
10 years ago
Mwananchi26 Sep
Prof Shivji: Katiba Mpya si suluhisho la migogoro ya ardhi
11 years ago
Tanzania Daima16 Apr
Prof. Tibaijuka: Siwezi kuibeza Tume ya Warioba
MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Profesa Anne Tibaijuka, ametofautiana na wajumbe wenzake wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa madai kuwa kamwe hawezi kuibeza rasimu ya Jaji mstaafu Joseph Warioba....
11 years ago
Tanzania Daima28 Feb
Dk. Slaa amshukia JK, Nyalandu
RAIS Jakaya Kikwete na Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, wameshukiwa na kuelezwa kuwa hawana dhamira ya dhati katika kupambana na vitendo vya ujangili nchini bali wanafanya hivyo ili...
9 years ago
Mtanzania03 Sep
Rostam amshukia Slaa
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
ALIYEWAHI kuwa Mbunge wa Igunga, Rostam Aziz, amesema kauli zilizotolewa na aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chadema, Dk. Willibrod Slaa kuwa alimpigia simu za vitisho ni kauli za uongo, ubinafsi na upotoshaji.
Katika taarifa yake kwa vyombo vya habari jana, Rostam alisema: “Nilimsikiliza Katibu Mkuu wa Chadema Dk. Willibrod Slaa jana alipokuwa akizungumza katika hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam.
“Kwa mara nyingine kama ilivyo hulka yake miaka yote, Dk. Slaa...
11 years ago
Habarileo31 Mar
Shivji aonya serikali 3
GWIJI wa masuala ya sheria za katiba nchini, Profesa Issa Shivji amewataka vijana kujiepusha na wanasiasa wenye uchu wa madaraka ambao kwa sasa wanang'ang'ania muungano wa serikali tatu ili kukidhi matakwa yao.
11 years ago
Tanzania Daima01 Apr
‘Shivji anatumiwa na CCM’
SIKU moja baada ya gwiji wa sheria nchini, Profesa Issa Shivji, kuishambulia Tume ya Jaji Joseph Warioba akidai pendekezo lao la muundo wa serikali tatu ni la kuvunja muungano, wanasheria;...