Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Shivji anatumiwa na CCM’

SIKU moja baada ya gwiji wa sheria nchini, Profesa Issa Shivji, kuishambulia Tume ya Jaji Joseph Warioba akidai pendekezo lao la muundo wa serikali tatu ni la kuvunja muungano, wanasheria;...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Escrow Yaendelea Kumtesa Tibaijuka..Amshambulia Halima Mdee, Adai Anatumiwa na Wabaya Wake Kumchafua


Mbunge wa Muleba Kusini (CCM), Profesa Anna Tibaijuka amemshambulia Mbunge wa Kawe (Chadema), Halima Mdee pamoja na baadhi ya vyombo vya habari kwamba vinatumiwa na wabaya wake kumkashifu katika utendaji wake.Profesa Tibaijuka alitoa shutuma hizo wakati akihutubia wananchi wa Kata ya Bureza. Alisema alikumbwa na kashfa ya Escrow, kutokana na kupata fedha kutoka kwa kaka yake Rugemalila (James) alizompa kusaidia shule anayoisimamia.
Alikanusha tuhuma zilizotolewa na Mdee bungeni dhidi yake...

 

11 years ago

Habarileo

Shivji aonya serikali 3

GWIJI wa masuala ya sheria za katiba nchini, Profesa Issa Shivji amewataka vijana kujiepusha na wanasiasa wenye uchu wa madaraka ambao kwa sasa wanang'ang'ania muungano wa serikali tatu ili kukidhi matakwa yao.

 

9 years ago

Raia Mwema

Shivji: Magufuli kama Sokoine

SIKU 50 tangu Rais John Magufuli aingie madarakani, kuna mambo aliyafanya kwa vitendo ambayo bila

Issa Shivji

 

11 years ago

Mwananchi

Warioba amshukia Prof Shivji

>Mjadala wa Mabadiliko ya Katiba jana ulihamia nje ya Bunge wakati Jaji Joseph Warioba alipomchambua mhadhiri maarufu nchini, Profesa Issa Shivji akimueleza kuwa si mkweli bali mpotoshaji wa Rasimu ya Katiba.

 

10 years ago

TheCitizen

Amil Shivji’s Aisha premieres in Pangani

It is rather a rare spectacle for any film maker to choose a remote location to premiere a film, most would settle for the swanky settings that a city provides.

 

11 years ago

IPPmedia

Lissu, others question Prof Shivji's stand


Daily News
Lissu, others question Prof Shivji's stand
IPPmedia
Renowed lawyer, Prof Issa Shivji has been faulted by several of his colleagues of the Constituent Assembly for allegedly advocating a two tire government structure a move they say is against what he stands for and also contravenes his various publications ...
Don adds weight to 2-tier UnionDaily News

all 2

 

10 years ago

Habarileo

Shivji aitwa kusaidia Bunge Maalumu

Profesa Issa ShivjiBUNGE Maalumu la Katiba, limemwalika Mhadhiri mashuhuri wa masuala ya Katiba, Profesa Issa Shivji, kuwasaidia aina ya Muungano na namna mambo yake yatakavyoingizwa kwenye Katiba.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Prof. Shivji alisoma kwa ajili ya mtihani?

PROFESA Issa Shivji msomi nguli, mwanasheria mahiri, mwanaharakati na mchambuzi makini wa masuala ya kisiasa na kijamii, hivi karibuni ameingia katika malumbano na wasomi, wanasiasa na makundi mengine ambayo amekinzana...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Prof. Shivji: Mchakato Katiba umeniacha na maswali

MHADHIRI Mwandamizi Mstaafu na mchambuzi maarufu nchini, Profesa Issa Shivji, amesema kuwa mchakato wa kupata Katiba Mpya unaoendelea nchini umemuacha na maswali mengi yasiyo na majibu. Profesa Shivji, alitoa kauli...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani