Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Shivji aonya serikali 3

GWIJI wa masuala ya sheria za katiba nchini, Profesa Issa Shivji amewataka vijana kujiepusha na wanasiasa wenye uchu wa madaraka ambao kwa sasa wanang'ang'ania muungano wa serikali tatu ili kukidhi matakwa yao.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Lipumba aonya serikali kuhusu IPTL, deni MSD

CHAMA cha Wananchi (CUF), kimeitaka serikali kuacha mzaha wa kuchezea maisha ya watanzania katika upatikanaji wa mahitaji muhimu, ikiwa ni pamoja na dawa za tiba mbalimbali. Akizungumza na Waandishi wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Kwa serikali tatu, Tanganyika na Z’bar zitagawana madeni, aonya Makamba

>Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Yusuf Makamba amesema mfumo wa serikali tatu ukikubalika na kupitishwa kuongoza Muungano wa Tanganyika na Zanzibar,  wajumbe wafahamu kuwa ndani ya miaka miwili Muungano utakuwa umevunjika.

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Shivji anatumiwa na CCM’

SIKU moja baada ya gwiji wa sheria nchini, Profesa Issa Shivji, kuishambulia Tume ya Jaji Joseph Warioba akidai pendekezo lao la muundo wa serikali tatu ni la kuvunja muungano, wanasheria;...

 

9 years ago

Raia Mwema

Shivji: Magufuli kama Sokoine

SIKU 50 tangu Rais John Magufuli aingie madarakani, kuna mambo aliyafanya kwa vitendo ambayo bila

Issa Shivji

 

11 years ago

Mwananchi

Warioba amshukia Prof Shivji

>Mjadala wa Mabadiliko ya Katiba jana ulihamia nje ya Bunge wakati Jaji Joseph Warioba alipomchambua mhadhiri maarufu nchini, Profesa Issa Shivji akimueleza kuwa si mkweli bali mpotoshaji wa Rasimu ya Katiba.

 

10 years ago

Habarileo

Shivji aitwa kusaidia Bunge Maalumu

Profesa Issa ShivjiBUNGE Maalumu la Katiba, limemwalika Mhadhiri mashuhuri wa masuala ya Katiba, Profesa Issa Shivji, kuwasaidia aina ya Muungano na namna mambo yake yatakavyoingizwa kwenye Katiba.

 

11 years ago

IPPmedia

Lissu, others question Prof Shivji's stand


Daily News
Lissu, others question Prof Shivji's stand
IPPmedia
Renowed lawyer, Prof Issa Shivji has been faulted by several of his colleagues of the Constituent Assembly for allegedly advocating a two tire government structure a move they say is against what he stands for and also contravenes his various publications ...
Don adds weight to 2-tier UnionDaily News

all 2

 

10 years ago

TheCitizen

Amil Shivji’s Aisha premieres in Pangani

It is rather a rare spectacle for any film maker to choose a remote location to premiere a film, most would settle for the swanky settings that a city provides.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Prof. Shivji: Mchakato Katiba umeniacha na maswali

MHADHIRI Mwandamizi Mstaafu na mchambuzi maarufu nchini, Profesa Issa Shivji, amesema kuwa mchakato wa kupata Katiba Mpya unaoendelea nchini umemuacha na maswali mengi yasiyo na majibu. Profesa Shivji, alitoa kauli...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani