Shivji aitwa kusaidia Bunge Maalumu
BUNGE Maalumu la Katiba, limemwalika Mhadhiri mashuhuri wa masuala ya Katiba, Profesa Issa Shivji, kuwasaidia aina ya Muungano na namna mambo yake yatakavyoingizwa kwenye Katiba.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog19 May
Wanawake wahimizwa kusaidia makundi yenye mahitaji maalumu
Mwanyekiti wa Umoja wa Wanawake watumishi kanisa la Pentekoste (UWW) mjini Singida, Lessi Jared (kushoto) akimkabidhi vifaa tiba Kaimu mganga mfawidhi hospital ya mkoa ya mjini Singida, Dk.Daniel Tarimo.Vifaa tiba hivyo vingi vikiwa kwa matumizi ya chumba cha upasuaji imedaiwa kuwa gharama yake ni mamilioni ya shilingi, vimetolewa na shirika lisilo la kiserikali la waumini wanawake kanisa Pentekoste nchini Denmark-Heart to Heart.
Mganga Kaimu mganga mfawidhi hospitali ya mkoa mjini...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-yclT6JknvwY/VaZbn6qx8yI/AAAAAAAHp4Y/sLVKXfbbOTM/s72-c/002.KILIMANJARO.jpg)
TIMU YA WATU 39 WAPANDA MLIMA KILIMANJARO KWA LENGO LA KUCHANGISHA FEDHA ZA KUSAIDIA KUNUNUA VITAMBAA MAALUMU VYA WASICHANA
![](http://3.bp.blogspot.com/-yclT6JknvwY/VaZbn6qx8yI/AAAAAAAHp4Y/sLVKXfbbOTM/s640/002.KILIMANJARO.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-IWlmRRC5vmI/VaZbntVI42I/AAAAAAAHp4U/hvQeZa4gDyU/s640/003.KILIMANJARO.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima04 Mar
Bunge Maalumu vuluvulu
WAJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba wameendelea kuvutana juu ya kutumika kwa kura ya wazi au ya siri katika maamuzi watakayoyafanya wakati wa kupitia rasimu ya Katiba mpya. Mvutano huo...
10 years ago
Mwananchi14 Sep
Bunge Maalumu lilivyowavuruga Wanahabari
10 years ago
Mwananchi07 Sep
Mgogoro Bunge Maalumu la Katiba
11 years ago
Tanzania Daima09 Feb
Bunge Maalumu liwakilishe Watanzania
WIKI hii Rais Jakaya Kikwete alizungumza na Baraza la Vyama vya Siasa pamoja na viongozi mbalimbali wa kisiasa na kidini walioalikwa katika mkutano huo maalumu. Rais Kikwete alitumia nafasi hiyo...
11 years ago
Habarileo12 Mar
Kanuni Bunge Maalumu zapita
HATIMAYE Bunge Maalumu la Katiba, limepitisha rasimu ya Kanuni zitakazotumika kuongoza majadiliano, pamoja na vifungu ambavyo havikutaja aina ya upigaji kura kama utakuwa wa wazi au wa siri. Hata hivyo, wakati Bunge likipitisha azimio hilo, baadhi ya wajumbe wamelaani kitendo cha Mwenyekiti wa Muda wa Bunge Maalumu, Pandu Ameir Kificho, kuridhia kupitishwa kwa ‘kanuni nusu’ za Bunge kwa maelezo kuwa jambo hilo halitaleta muafaka.
11 years ago
Habarileo21 Dec
Rais kuunda Bunge Maalumu
RAIS Jakaya Kikwete amealika makundi mbalimbali kuwasilisha orodha ya watu wasiopungua wanne na wasiozidi tisa kwa ajili ya kuteuliwa kuwa wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba.
11 years ago
Habarileo15 Mar
Makatibu Bunge Maalumu waapishwa
YAHYA Hamis Hamad kutoka Zanzibar ndiye Katibu wa Bunge Maalumu la Katiba. Katibu huyo jana aliapishwa na Rais Jakaya Kikwete kushika wadhifa huo huku akiahidi kufanya kazi yake kwa weledi mkubwa na kwa kufuata kanuni za Bunge hilo.