Kwa serikali tatu, Tanganyika na Z’bar zitagawana madeni, aonya Makamba
>Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Yusuf Makamba amesema mfumo wa serikali tatu ukikubalika na kupitishwa kuongoza Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, wajumbe wafahamu kuwa ndani ya miaka miwili Muungano utakuwa umevunjika.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi21 Dec
Makamba aonya kejeli, kashfa kwa wabunge
11 years ago
Habarileo06 Jun
‘Muungano Tanganyika na Z’bar ni halali’
MWANASHERIA Mkuu wa Zanzibar Othman Masoud Othman amesema licha ya kwamba hati ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar haikuridhiwa kwa upande wa Zanzibar katika mwaka 1964, Muungano huo ni halali usiokuwa na shaka.
9 years ago
MichuziSERIKALI KULIPA MADENI YA WATUMISHI WA SERIKALI ZA MITAA.
Kaimu Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais-Utumishi Bw. HAB Mkwizu (wa pili kutoka kulia) akizungumza na Waandishi wa Habari (hawapo pichani) kuhusu namna Serikali inavyoshughulikia madai ya watumishi walio katika Serikali za Mitaa wasio walimu. Na Magreth Kinabo-maelezoSERIKALI imetenga kiasi cha fedha cha Sh. bilioni tano ( 5.93) ikiwa ni madeni ya mishahara ya Watumishi wa Mamlaka za Serikali za Mitaa(TALGWU) na Sh. bilioni nne(4) kwa ajili ya kulipa madeni ya yasiyohusu mishahara,...
11 years ago
Mwananchi26 Jun
WB : Serikali sasa punguzeni madeni
10 years ago
Habarileo24 Jan
Serikali yabeba madeni ya ATCL
SERIKALI imekubali kuchukua madeni yote ya Kampuni ya Ndege ya Tanzania (ATCL) na kuyalipa, baada ya uhakiki ili kutoa fursa kwa shirika hilo kuanza biashara.
11 years ago
Mwananchi23 Jan
Serikali inavyolihujumu Tanesco,madeni
9 years ago
Mwananchi16 Oct
Serikali yaanza kulipa madeni ya walimu
10 years ago
Mtanzania17 Nov
Hatima madeni ya Serikali kutikisa Bunge
Bunge
Na Bakari Kimwanga, Dodoma
MJADALA kuhusu azimio la kuliomba liidhinishe kufutwa au kusamehe hasara na madeni yaliyotokana na upotevu wa mali na fedha, yenye thamani ya Sh bilioni 10.8, unatarajiwa kulitikisa Bunge leo.
Hatua hiyo inatokana na mvutano ulioibuka mwishoni mwa wiki iliyopita miongoni mwa wabunge, kundi moja likitaka azimio hilo lipite na wengine wakipinga hatua hiyo wakisema ni sawa na ufisadi.
Hasara hiyo imetokana na sababu mbalimbali ikiwamo wizi na udokozi uliofanywa...
10 years ago
Habarileo28 May
Serikali yabeba madeni ya TTCL ya mabilioni
SERIKALI imebeba madeni ya Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) ya mabilioni ya fedha na kuiruhusu kukopa hadi Sh bilioni 96.4 kutoka katika taasisi za fedha.