Makamba aonya kejeli, kashfa kwa wabunge
>Naibu Waziri wa Sayansi, Mawasiliano na Teknolojia, January Makamba amesema wapo mawaziri wana maumbile ya kobe hata wacheze namna gani hawaonekani, huku akiwataka wabunge wenzake kuheshimiana badala ya kukejeliana na kukashifiana.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi16 Apr
Kwa serikali tatu, Tanganyika na Z’bar zitagawana madeni, aonya Makamba
9 years ago
Habarileo20 Nov
Wabunge- Majaliwa hana kashfa
BAADA ya wabunge kuthibitisha jina la Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa (55) aliyeteuliwa na Rais John Magufuli jana, wabunge wameelezea kufurahishwa na uteuzi huo na kusema anastahili kwa kuwa hana kashfa za kimaadili.
11 years ago
Habarileo27 Mar
Nchimbi aonya wabunge wenzake
BAADHI ya wajumbe wa Bunge la Maalum la Katiba, wametaka wenzao kujitika katika mchakato wa mjadala wa rasimu ya Katiba mpya, itakayozingatia maslahi ya taifa na kuwanufaisha Watanzania badala kujitazama.
11 years ago
Tanzania Daima11 Feb
Ngeleja aonya wabunge wa katiba
MWENYEKITI wa Kamati ya Bunge ya Katiba na Sheria, William Ngeleja, amewataka wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba litakaloanza vikao vyake wiki ijayo wasiweke mbele masilahi ya vyama wanapoijadili rasimu...
11 years ago
Habarileo20 Apr
Padri aonya wabunge kuhusu Katiba mpya
WAJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba wameaswa kutokubali kuvurugwa na vyama vyao vya siasa, wanapoandaa mchakato wa Katiba mpya, kwani kwa kufanya hivyo wanavuruga amani.
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-EyN4IK4lOu8/VG3rd8uRriI/AAAAAAAANPU/Q8MSxbaADIQ/s72-c/ndugai.jpg)
WABUNGE WACHARUKA KASHFA AKAUNTI YA TEGETA-ESCROW NI SHEEEEDA
![](http://3.bp.blogspot.com/-EyN4IK4lOu8/VG3rd8uRriI/AAAAAAAANPU/Q8MSxbaADIQ/s640/ndugai.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-JD7VveEbbWw/VG3rmRAAacI/AAAAAAAANQE/bom0CZneKJU/s640/zitto.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-kNXEq1llwu4/VG3uR0Yz0cI/AAAAAAAANQk/L1U_Ay0eJZ4/s640/LISSU5.jpg)
10 years ago
Mwananchi01 Jul
MAONI : Akidi kupimwa kwa jicho la Spika ni kejeli
10 years ago
Tanzania Daima06 Dec
Diwani azomewa kwa kashfa
DIWANI wa viti maalum (CCM) kata ya kalangalala mkoani hapa, Zaituni Fundikira, amejikuta akizomewa na wananchi baada ya kutoa maneno ya kashfa. Tukio hilo lilitokea jana katika mkutano wa hadhara...
9 years ago
Habarileo04 Jan
Wapuuza kejeli uteuzi makatibu
WADAU wa masuala ya siasa nchini wameeleza kuridhishwa na uteuzi wa idadi kubwa ya makatibu wakuu huku wakisisitiza kwamba Rais John Magufuli apewe muda pamoja na Baraza lake la Mawaziri wafanye kazi hatimaye wapimwe kwa ufanisi wao na si kwa ukubwa au udogo wa baraza.