WABUNGE WACHARUKA KASHFA AKAUNTI YA TEGETA-ESCROW NI SHEEEEDA
![](http://3.bp.blogspot.com/-EyN4IK4lOu8/VG3rd8uRriI/AAAAAAAANPU/Q8MSxbaADIQ/s72-c/ndugai.jpg)
Naibu spika wa bunge Job Dungai, yeye ndiye kashikilia rungu, Ripoti " ijadiliwe au la"
Mbunge wa Kigoma Kaskazini (CHADEMA), Ambaye pia ni mwenyekiti wa kamati ya bunge ya hesabu za serikali, (PAC), Zitto Kabwe. Taarifa ya CAG kuhusu akaunti nya Tegeta Escrow, iko mikononi mwake
Mnadhimu mkuu wa kambi ya upinzani bungeni, Tundu Lissu, (CHADEMA),akizunghumza bungeni mjini Dodoma jana, wakati lile sakata la IPTL, linalogubigwa na akauti iliyojichukulia umaarufu TEGETA ESCROW, lilipoibuka bungen...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/03/ZITTOKABWEf.jpg?width=600)
UKAGUZI MAALUMU AKAUNTI YA TEGETA ESCROW
11 years ago
Mwananchi03 Jul
Uongo kuhusu akaunti ya Tegeta Escrow uachwe
10 years ago
Mwananchi15 Jan
Kashfa ya Tegeta Escrow: Vigogo wawili Serikalini kizimbani
11 years ago
Zitto Kabwe, MB21 Apr
Ukaguzi Maalumu akaunti ya Tegeta Escrow-Hadidu Rejea-PAC
Ukaguzi Maalumu akaunti ya Tegeta Escrow
Hadidu rejea
1) Kuchunguza uendeshaji wa mkataba wa kuzalisha Umeme kati ya kampuni ya IPTL na TANESCO
2) Kuchunguza kama wakati escrow inafunguliwa kampuni ya mechmar ilikuwa inamiliki IPTL, kama ilikuwa imefilisiwa na kama ilikuwa imehamisha umiliki wake kwa kampuni ya PAP.
3) Kuchunguza na kuthibitisha ushahidi wa kampuni ya PAP kununua kampuni ya mechmar na kumiliki IPTL
4) Kuchunguza chanzo cha mgogoro kuhusu tozo kati ya...
11 years ago
Zitto Kabwe, MB29 Jun
Fedha za zilizokuwa katika akaunti maalumu ya IPTL, (Tegeta Escrow account) ni mali ya umma
Fedha za zilizokuwa katika akaunti maalumu ya IPTL, (Tegeta Escrow account) ni mali ya umma
![TWO-MBILI Courtesy:The Citizen](http://zittokabwe.files.wordpress.com/2014/06/tumbili.jpg?w=300&h=236)
TWO-MBILI
Courtesy:The Citizen
Fedha za zilizokuwa katika akaunti maalumu ya IPTL, (Tegeta Escrow account) ni mali ya umma
Zitto Kabwe
Kwa mara nyingine serikali kupitia viongozi na watendaji wake akiwamo Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), wamedai kwamba kiasi cha Dola za Marekani milioni 250 zilizopaswa kuendelea kuwapo katika ‘Tegeta Escrow Account’ si mali ya serikali na hivyo si mali ya umma....
10 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-EyN4IK4lOu8/VG3rd8uRriI/AAAAAAAANPU/Q8MSxbaADIQ/s640/ndugai.jpg)
SAKATA LA TEGETA ESCROW, WABUNGE WAKINUKISHA BUNGENI
10 years ago
Michuzi27 Nov
10 years ago
Zitto Kabwe, MB27 Nov
TAARIFA YA KAMATI KUFUATIA MATOKEO YA UKAGUZI MAALUM WA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KATIKA AKAUNTI YA TEGETA ESCROW ILIYOKUWA KATIKA BENKI KUU YA TANZANIA
TAARIFA YA KAMATI KUFUATIA MATOKEO YA UKAGUZI MAALUM WA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KATIKA AKAUNTI YA TEGETA ESCROW ILIYOKUWA KATIKA BENKI KUU YA TANZANIA
View this document on Scribd![](https://pixel.wp.com/b.gif?host=zittokabwe.wordpress.com&blog=12675215&post=3424&subd=zittokabwe&ref=&feed=1)