MAELEZO YA SERIKALI KUHUSU TAARIFA YA UKAGUZI MAALUM KUHUSIANA NA MIAMALA ILIYOFANYIKA KATIKA AKAUNTI YA“ESCROW” YA TEGETA PAMOJA NA UMILIKI WA KAMPUNI YA IPTL
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-MeJhWwOHJTo/VKIqH0KRnaI/AAAAAAAAa_g/iHG_1_UoWNA/s72-c/tegeta%2Bescr.png)
TAARIFA YA UKAGUZI MAALUM KUHUSIANA NA MIAMALA ILIYOFANYIKA KATIKA ACC YA ESCROW YA TAGETA NA UMILIKI WA KAMPUNI YA IPTL
![](http://3.bp.blogspot.com/-MeJhWwOHJTo/VKIqH0KRnaI/AAAAAAAAa_g/iHG_1_UoWNA/s1600/tegeta%2Bescr.png)
bofya hapa usome taarifa zaidi
10 years ago
Zitto Kabwe, MB27 Nov
TAARIFA YA KAMATI KUFUATIA MATOKEO YA UKAGUZI MAALUM WA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KATIKA AKAUNTI YA TEGETA ESCROW ILIYOKUWA KATIKA BENKI KUU YA TANZANIA
TAARIFA YA KAMATI KUFUATIA MATOKEO YA UKAGUZI MAALUM WA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KATIKA AKAUNTI YA TEGETA ESCROW ILIYOKUWA KATIKA BENKI KUU YA TANZANIA
View this document on Scribd![](https://pixel.wp.com/b.gif?host=zittokabwe.wordpress.com&blog=12675215&post=3424&subd=zittokabwe&ref=&feed=1)
10 years ago
Vijimambo27 Nov
HII NDIO MAELEZO YA SERIKALI KUHUSU SAKATA LA IPTL NA TEGETA ESCROW ALIYOIWASILISHA BUNGENI LEO
TAARIFA YA WAZIRI WA NISHANI NA MADINI PROF.MUHONGO KUHUSIANA NA SAKATA LA IPTL NA TEGETA ESCROW ALIYOIWASILISHA BUNGENI LEO BONYEZA HAPA USOME TAARIFA KAMILI
10 years ago
GPLSOMA TAARIFA YA PROF.MUHONGO KUHUSIANA NA SAKATA LA IPTL NA TEGETA ESCROW ALIYOIWASILISHA BUNGENI LEO
11 years ago
Zitto Kabwe, MB29 Jun
Fedha za zilizokuwa katika akaunti maalumu ya IPTL, (Tegeta Escrow account) ni mali ya umma
Fedha za zilizokuwa katika akaunti maalumu ya IPTL, (Tegeta Escrow account) ni mali ya umma
![TWO-MBILI Courtesy:The Citizen](http://zittokabwe.files.wordpress.com/2014/06/tumbili.jpg?w=300&h=236)
TWO-MBILI
Courtesy:The Citizen
Fedha za zilizokuwa katika akaunti maalumu ya IPTL, (Tegeta Escrow account) ni mali ya umma
Zitto Kabwe
Kwa mara nyingine serikali kupitia viongozi na watendaji wake akiwamo Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), wamedai kwamba kiasi cha Dola za Marekani milioni 250 zilizopaswa kuendelea kuwapo katika ‘Tegeta Escrow Account’ si mali ya serikali na hivyo si mali ya umma....
11 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/03/ZITTOKABWEf.jpg?width=600)
UKAGUZI MAALUMU AKAUNTI YA TEGETA ESCROW
11 years ago
Zitto Kabwe, MB21 Apr
Ukaguzi Maalumu akaunti ya Tegeta Escrow-Hadidu Rejea-PAC
Ukaguzi Maalumu akaunti ya Tegeta Escrow
Hadidu rejea
1) Kuchunguza uendeshaji wa mkataba wa kuzalisha Umeme kati ya kampuni ya IPTL na TANESCO
2) Kuchunguza kama wakati escrow inafunguliwa kampuni ya mechmar ilikuwa inamiliki IPTL, kama ilikuwa imefilisiwa na kama ilikuwa imehamisha umiliki wake kwa kampuni ya PAP.
3) Kuchunguza na kuthibitisha ushahidi wa kampuni ya PAP kununua kampuni ya mechmar na kumiliki IPTL
4) Kuchunguza chanzo cha mgogoro kuhusu tozo kati ya...
11 years ago
Mwananchi03 Jul
Uongo kuhusu akaunti ya Tegeta Escrow uachwe