Wabunge- Majaliwa hana kashfa
BAADA ya wabunge kuthibitisha jina la Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa (55) aliyeteuliwa na Rais John Magufuli jana, wabunge wameelezea kufurahishwa na uteuzi huo na kusema anastahili kwa kuwa hana kashfa za kimaadili.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi08 Sep
Nchemba: Dk Magufuli hana kashfa ya ufisadi
9 years ago
Habarileo20 Nov
Mawaziri- Majaliwa muadilifu, hana makuu
ALIYEKUWA Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Dk Tulia Ackson jana alichaguliwa kwa kishindo kuwa Naibu Spika wa Bunge la Tanzania.
11 years ago
Mwananchi21 Dec
Makamba aonya kejeli, kashfa kwa wabunge
10 years ago
Vijimambo
WABUNGE WACHARUKA KASHFA AKAUNTI YA TEGETA-ESCROW NI SHEEEEDA



9 years ago
Mtanzania20 Nov
Wabunge, wasomi wamchambua Majaliwa
VERONICA ROMWALD NA ADAM MKWEPU, DAR ES SALAAM
SAA chache baada ya kuteuliwa kwa Waziri Mkuu mteule, Kassim Majaliwa, baadhi ya wabunge, wasomi na wananchi wa kawaida wamemchambua kiongozi huyo.
Wamesema upya wake katika nafasi hiyo nyeti ya juu utasaidia kuleta mabadiliko ya kweli serikalini.
Mbunge wa Isimani, Wiliam Lukuvi (CCM), alisema Majaliwa amekuwa mtendaji mzuri na asiyechoka tangu alipokuwa Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI) anayeshughulikia elimu.
Alisema Rais Dk....
9 years ago
Habarileo21 Nov
Majaliwa ataka wabunge wasitafute mchawi
WAZIRI Mkuu, Majaliwa Kassim Majaliwa, amesema uchaguzi umekwisha na kuwataka wabunge waende wakashirikiane na wananchi kufanya kazi badala ya kutafuta mchawi.
9 years ago
CCM Blog
PICHA RASMI ZA WAZIRI MKUU MAJALIWA KASSIM MAJALIWA NA MKEWE MAMA MARY MAJALIWA


5 years ago
Michuzi
WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AKABIDHI MAGARI 10 YA KUBEBEA WAGONJWA KWA WABUNGE

9 years ago
Michuzi
WAZIRI MKUU MAJALIWA KASSIM MAJALIWA KWENYE MCHAPALO WA KUZINDUA BUNGE

