Wabunge, wasomi wamchambua Majaliwa
VERONICA ROMWALD NA ADAM MKWEPU, DAR ES SALAAM
SAA chache baada ya kuteuliwa kwa Waziri Mkuu mteule, Kassim Majaliwa, baadhi ya wabunge, wasomi na wananchi wa kawaida wamemchambua kiongozi huyo.
Wamesema upya wake katika nafasi hiyo nyeti ya juu utasaidia kuleta mabadiliko ya kweli serikalini.
Mbunge wa Isimani, Wiliam Lukuvi (CCM), alisema Majaliwa amekuwa mtendaji mzuri na asiyechoka tangu alipokuwa Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI) anayeshughulikia elimu.
Alisema Rais Dk....
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo20 Nov
Wananchi, wasomi wasifu uteuzi wa Majaliwa
KUTOKANA na uteuzi wa Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, watu kutoka kada tofauti katika jamii wameupongeza uteuzi huo. Jana, Rais John Magufuli kupitia Bunge, alitangaza uteuzi wa Majaliwa kuwa Waziri Mkuu wa 11 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na Bunge lilithibitisha uteuzi wake kwa kura nyingi.
9 years ago
Mwananchi16 Nov
Wasomi watoa angalizo kwa wabunge
9 years ago
Habarileo20 Nov
Wabunge- Majaliwa hana kashfa
BAADA ya wabunge kuthibitisha jina la Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa (55) aliyeteuliwa na Rais John Magufuli jana, wabunge wameelezea kufurahishwa na uteuzi huo na kusema anastahili kwa kuwa hana kashfa za kimaadili.
9 years ago
Habarileo21 Nov
Majaliwa ataka wabunge wasitafute mchawi
WAZIRI Mkuu, Majaliwa Kassim Majaliwa, amesema uchaguzi umekwisha na kuwataka wabunge waende wakashirikiane na wananchi kufanya kazi badala ya kutafuta mchawi.
9 years ago
CCM Blog![](http://3.bp.blogspot.com/-slj5kZenQ3E/VmG0l_MVMzI/AAAAAAAA1b4/FHGu_bGtYuo/s72-c/1.jpg)
PICHA RASMI ZA WAZIRI MKUU MAJALIWA KASSIM MAJALIWA NA MKEWE MAMA MARY MAJALIWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-slj5kZenQ3E/VmG0l_MVMzI/AAAAAAAA1b4/FHGu_bGtYuo/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Vd0xHojhppo/VmG0lexvtUI/AAAAAAAA1b0/iW1seV--6-0/s640/2.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-OeakFjEOlkE/Xql_jawsJJI/AAAAAAALokw/eZKlsUrMR-cTvrzUb4A12A24yJklMrXHACLcBGAsYHQ/s72-c/PMO_0497-1AA-768x512.jpg)
WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AKABIDHI MAGARI 10 YA KUBEBEA WAGONJWA KWA WABUNGE
![](https://1.bp.blogspot.com/-OeakFjEOlkE/Xql_jawsJJI/AAAAAAALokw/eZKlsUrMR-cTvrzUb4A12A24yJklMrXHACLcBGAsYHQ/s640/PMO_0497-1AA-768x512.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UJ8aoEZo49ay0Qc0zK-yiJOPuwFklAioI6EEzUFSIxbwjoUILG4JmsIYeolCuhaBv*xQvxKeKvnLmd0gJqLajLKvyKip8eaw/FRONTAMANI.gif?width=650)
WAALIMU WAMCHAMBUA MKE WA MAGUFULI
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-f9cgpl6i_es/VlDAy_mPpyI/AAAAAAAIHso/NTYySkP7Hso/s72-c/b48c276f-7030-4d1e-af63-e2bdd41e0862.jpg)
WAZIRI MKUU MAJALIWA KASSIM MAJALIWA KWENYE MCHAPALO WA KUZINDUA BUNGE
![](http://2.bp.blogspot.com/-f9cgpl6i_es/VlDAy_mPpyI/AAAAAAAIHso/NTYySkP7Hso/s640/b48c276f-7030-4d1e-af63-e2bdd41e0862.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-C-lADXy_RZI/VlDAx5UUIYI/AAAAAAAIHsc/8TDjhMZUmJU/s640/b5425740-67e0-4ea3-9bb5-1ee65c28cb0c.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-nEjqVtOzpAw/Vk4WgeqDrNI/AAAAAAAIG4U/vLbV7_5mKHo/s72-c/56ea3d30-79b4-4e99-8503-3764367fc668.jpg)
Waziri Mkuu Mteule Mheshimiwa Majaliwa Kassim Majaliwa kuapishwa kesho
![](http://1.bp.blogspot.com/-nEjqVtOzpAw/Vk4WgeqDrNI/AAAAAAAIG4U/vLbV7_5mKHo/s640/56ea3d30-79b4-4e99-8503-3764367fc668.jpg)
Sherehe za kumuapisha Mhe. Majaliwa Kassim Majaliwa (pichani), Waziri Mkuu Mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania zitafanyika katika Ikulu ndogo ya Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 20 Novemba, 2015 kuanzia saa 4.00 Asubuhi. Sherehe hizo zinafanyika siku moja baada ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitisha jina lake kwa kura nyingi kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kufuatia uteuzi uliofanywa na Mhe. John Pombe Joseph Magufuli, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa...