Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WAALIMU WAMCHAMBUA MKE WA MAGUFULI

Waandishi wetu KUMEKUCHA! Siku chache baada ya Waziri wa Ujenzi, Dk. John Pombe Magufuli kuteuliwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwa mgombea urais kupitia chama hicho, mkewe, Janeth Pombe amechambuliwa vilivyo na walimu wenzake, Amani lina kila kitu. ....Soma zaidi===>http://bit.ly/1CFj11i

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Wabunge, wasomi wamchambua Majaliwa

IMGS0934VERONICA ROMWALD NA ADAM MKWEPU, DAR ES SALAAM

SAA chache baada ya kuteuliwa kwa Waziri Mkuu mteule, Kassim Majaliwa, baadhi ya wabunge, wasomi na wananchi wa kawaida wamemchambua kiongozi huyo.

Wamesema  upya wake katika nafasi hiyo nyeti ya juu utasaidia kuleta mabadiliko ya kweli serikalini.

Mbunge wa Isimani, Wiliam Lukuvi (CCM),  alisema  Majaliwa amekuwa mtendaji mzuri na asiyechoka tangu alipokuwa Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI) anayeshughulikia elimu.

Alisema Rais Dk....

 

10 years ago

Mwananchi

Mke wa Magufuli awaliza walimu, wanafunzi Mbuyuni

Janeth Magufuli bado anasubiri miezi mitatu ya kampeni nzito za kumuwezesha mumewe kuingia kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano, lakini walimu na wanafunzi wa Shule ya Msingi Mbuyuni tayari wanasikitika kumpoteza mwalimu huyo wa jiografia, historia na Tehama.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mgomo wa waalimu Kenya waendelea

Muungano wa vyama vya wafanyakazi nchini Kenya kimetoa ilaani ya siku 7 kwa serikali kutekeleza agizo la nyongesa ya mishahara kwa waalimu

 

9 years ago

MillardAyo

Shule za DC Makonda? Prof. Lipumba na Rais Magufuli? Padri kuzaa na mke wa mtu? Madini gerezani? #StoriKUBWA

Kwenye stori kubwa December 31 2015 ziko na hizi zilizoguswa na uchambuzi wa redioni kama ulipitwa. Mgonjwa aliyelipiwa gharama za matibabu na Rais Magufuli hospitali ya Muhimbili agoma kutoka baada ya kuruhusiwa, gereza la Songwe liko kwenye mchakato wa kuvunjwa baada ya kugundulika kuwepo madini chini yake. Mtu mmoja ajinyonga Kenya huku akiacha ujumbe kuwa […]

The post Shule za DC Makonda? Prof. Lipumba na Rais Magufuli? Padri kuzaa na mke wa mtu? Madini gerezani? #StoriKUBWA appeared...

 

9 years ago

BBCSwahili

Waalimu wa madrasa wakuhumiwa jela Uingereza

Waalimu 2 wa madrasa wahukumiwa kifungo cha mwaka mmoja jela baada ya kumpiga mtoto ambaye hakujua kusema maandiko ya Koran kikamilifu

 

10 years ago

BBCSwahili

Waalimu Congo watishia kugoma endapo..!

Waalimu wa uvira na Fizi,mkoani kivu kusini ,watishia mgomo iwapo hawatalipwa mishahara yao,mbongo eeeh mbongo ee bimaaa!...

 

10 years ago

BBCSwahili

Waalimu 100 Kenya wasimamishwa kazi

Tume ya huduma ya walimu nchini Kenya, imewafungia zaidi ya walimu mia moja kwa makosa ya udhalilishaji wa kijinsia

 

11 years ago

Michuzi

Mfuko wa LAPF, Wawapongeza Waalimu Wapya

Meneja Mfuko wa LAPF, Kanda ya Dar es Salaam, Bi. Amina Kassim, akizungumza na Waandishi wa habari, kuwapongeza waalimu wapya, jijini Dar es Salaam, mwishoni mwa wiki.
Mfuko wa Pensheni wa LAPF, Umewapongeza walimu wote kwa kupata ajira huku ikiwakumbusha kuwa huu ndio mwanzo wa maisha yao ya  ajira hivyo ni muhimu kujipanga vizuri kimaisha kwa kuchagua mfuko wa pensheni wenye maslahi bora!.
Hayo yameelezwa na Meneja wa Mfuko wa Pensheni wa LAPF, Kanda ya Dar es Salaam, Bi. Amina...

 

10 years ago

Dewji Blog

Matokeo makubwa sasa ni kwa wanafunzi sio Waalimu

Sekondari ya Ilulu wilayani Kilwa inaupungufu wa madawati, wanafunzi wengi wanakaa katika benchi, stul za maabara. (21)

Na Mwandishi wetu

CHAMA cha Walimu Tanzania (CWT) wilayani Njombe mkoani Njombe kimeitaka serikali kufanya tafiti za kutosha katika miradi yake ukiwemo wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN), wakidai unawazidishia mzigo wa kuwajibika bila kuongezwa ujira.

Chama hicho pia kimeitaka Serikali kusitisha biashara holela ya vitabu vya kiada kutokana na kupingana kwa baadhi ya vipengele hivyo; kusababisha ugumu katika ufundishaji.

Katibu wa CWT wilaya ya Njombe,   Salama Lupenza, aliyasema hayo mwishoni...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani