Waalimu Congo watishia kugoma endapo..!
Waalimu wa uvira na Fizi,mkoani kivu kusini ,watishia mgomo iwapo hawatalipwa mishahara yao,mbongo eeeh mbongo ee bimaaa!...
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima16 Jul
Chawaphata watishia kugoma
CHAMA cha Wamiliki wa Famasi nchini (Chawaphata), kimetishia kufanya mgomo wa kufunga maduka yao kama njia mojawapo ya kushinikiza kufanyiwa kazi kwa matatizo yanayowakabili kwa muda mrefu. Mwenyekiti wa Chawaphata,...
10 years ago
Tanzania Daima06 Oct
Wafanyakazi Chemba watishia kugoma
WAFANYAKAZI wa Halmashauri ya Wilaya ya Chemba mkoani Dodoma wanakusudia kugoma kufanya kazi baada ya serikali wilayani humo kuzuia mishahara yao kwa miezi mitatu sasa kwa madai ya kutochangia sh...
10 years ago
Tanzania Daima16 Sep
Wafanyabiashara Tunduma watishia kugoma
WAFANYABIASHARA wa Samaki na Dagaa Mamlaka ya mji wa Tunduma wilayani Momba mkoani Mbeya wamekusudia kugoma kutoa huduma kwa lengo la kuishinikiza serikali kupunguza viwango vya ushuru wa bidhaa hiyo....
10 years ago
Habarileo06 Apr
Madereva mabasi,malori watishia kugoma
MADEREVA wa malori na mabasi yanayofanya safari za ndani na nje ya nchi, wametishia kugoma kufanya kazi kuanzia Ijumaa ijayo, ikielezwa ni kutaka kuishinikiza serikali kutatua changamoto zinazowakabili katika utoaji wa huduma za usafiri nchini.
10 years ago
Mwananchi10 Aug
Madereva watishia kugoma wiki ijayo
10 years ago
Habarileo08 Aug
Mawakala wa Forodha nchini watishia kugoma
CHAMA cha Mawakala wa Forodha Tanzania (TAFFA) kimetishia kugoma baada ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kuzitaka kampuni hizo kuwa na Sh milioni 100 kama inataka kupata leseni ya uwakala.
9 years ago
Mwananchi24 Oct
Askari Handeni watishia kugoma kusimamia vituo vya kupigia kura
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UJ8aoEZo49ay0Qc0zK-yiJOPuwFklAioI6EEzUFSIxbwjoUILG4JmsIYeolCuhaBv*xQvxKeKvnLmd0gJqLajLKvyKip8eaw/FRONTAMANI.gif?width=650)
WAALIMU WAMCHAMBUA MKE WA MAGUFULI
9 years ago
BBCSwahili10 Sep
Mgomo wa waalimu Kenya waendelea