Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wafanyabiashara Tunduma watishia kugoma

WAFANYABIASHARA wa Samaki na Dagaa Mamlaka ya mji wa Tunduma wilayani Momba mkoani Mbeya wamekusudia kugoma kutoa huduma kwa lengo la kuishinikiza serikali kupunguza viwango vya ushuru wa bidhaa hiyo....

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Chawaphata watishia kugoma

CHAMA cha Wamiliki wa Famasi nchini (Chawaphata), kimetishia kufanya mgomo wa kufunga maduka yao kama njia mojawapo ya kushinikiza kufanyiwa kazi kwa matatizo yanayowakabili kwa muda mrefu. Mwenyekiti wa Chawaphata,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wafanyakazi Chemba watishia kugoma

WAFANYAKAZI wa Halmashauri ya Wilaya ya Chemba mkoani Dodoma wanakusudia kugoma kufanya kazi baada ya serikali wilayani humo kuzuia mishahara yao kwa miezi mitatu sasa kwa madai ya kutochangia sh...

 

10 years ago

Mwananchi

Madereva watishia kugoma wiki ijayo

Chama cha Wafanyakazi Madereva Tanzania (Tadwu) kimeazimia kufanya mgomo nchi nzima Agosti 17, mwaka huu ambao pia utahusisha daladala endapo madai yao hayatafikiwa katika kikao kitakachofanyika Alhamisi wiki hii.

 

10 years ago

Habarileo

Madereva mabasi,malori watishia kugoma

MADEREVA wa malori na mabasi yanayofanya safari za ndani na nje ya nchi, wametishia kugoma kufanya kazi kuanzia Ijumaa ijayo, ikielezwa ni kutaka kuishinikiza serikali kutatua changamoto zinazowakabili katika utoaji wa huduma za usafiri nchini.

 

10 years ago

Habarileo

Mawakala wa Forodha nchini watishia kugoma

CHAMA cha Mawakala wa Forodha Tanzania (TAFFA) kimetishia kugoma baada ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kuzitaka kampuni hizo kuwa na Sh milioni 100 kama inataka kupata leseni ya uwakala.

 

10 years ago

BBCSwahili

Waalimu Congo watishia kugoma endapo..!

Waalimu wa uvira na Fizi,mkoani kivu kusini ,watishia mgomo iwapo hawatalipwa mishahara yao,mbongo eeeh mbongo ee bimaaa!...

 

10 years ago

Mwananchi

Askari Handeni watishia kugoma kusimamia vituo vya kupigia kura

Askari mgambo 114 wilayani Handeni wametishia kugoma kwenda kusimamia vituo vya kupigia kura kutokana na kutolipwa fedha zao kama walivyokubaliana na mkurugenzi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wafanyabiashara kugoma tena kesho

WAKATI uongozi wa Jumuiya ya Wafanyabiashara nchini (JWT) wakisubiri kukutana na Rais Jakaya Kikwete, baadhi ya wafanyabiashara wameanza kusambaza ujumbe wenye kushinikiza mgomo kuanzia kesho. Akizungumza na Tanzania Daima Jumapili,...

 

11 years ago

Mwananchi

Wafanyabiashara Songea walazimishwa kugoma

>Baadhi ya wafanyabiashara wa mjini Songea wamelazimishwa na wenzao kuingia katika mgomo wa kupinga matumizi ya mashine za kielektroniki za kutolea risiti za EFD.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani