Wafanyabiashara kugoma tena kesho
WAKATI uongozi wa Jumuiya ya Wafanyabiashara nchini (JWT) wakisubiri kukutana na Rais Jakaya Kikwete, baadhi ya wafanyabiashara wameanza kusambaza ujumbe wenye kushinikiza mgomo kuanzia kesho. Akizungumza na Tanzania Daima Jumapili,...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi11 Apr
Wafanyabiashara Songea walazimishwa kugoma
10 years ago
Tanzania Daima16 Sep
Wafanyabiashara Tunduma watishia kugoma
WAFANYABIASHARA wa Samaki na Dagaa Mamlaka ya mji wa Tunduma wilayani Momba mkoani Mbeya wamekusudia kugoma kutoa huduma kwa lengo la kuishinikiza serikali kupunguza viwango vya ushuru wa bidhaa hiyo....
10 years ago
CloudsFM28 Apr
Madereva wa mabasi ya abiria kugoma tena wiki hii
Mgomo wa Aprili 9, mwaka huu uliodumu kuanzia alfajiri hadi saa 7:00 mchana ulitikisa nchi na kuwaathiri abiria wengi waliokuwa wanasafiri kwenda maeneo mbalimbali ya nchi.
Jana Taboa walitangaza kusitisha utoaji huduma kuanzia kesho ikiwa ni hatua ya kupinga nauli mpya za mabasi zilizotangazwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa...
9 years ago
StarTV08 Oct
Wafanyabiashara waishukuru Serikali kulifungua tena Soka la mitumba mjini moshi
Wafanyabiashara ndogo ndogo wa soko la mitumba mjini Moshi mkoani Kilimanjaro maarufu kama soko la Memorial wameshukuru hatua ya Serikali ya kufungua tena milango ya soko hilo iliyokuwa imefungwa kwa takribani mwaka mmoja sasa na kuzorotesha biashara.
Kufungwa kwa mageti hayo kumeelezwa kuzorotesha kasi ya biashara sokoni hapo lakini pia kusababisha adha kubwa kwa wafanyabiashara na wateja wanaofika sokoni hapo
Malango hayo yalifungwa takribani mwaka mmoja uliopita sababu zikitajwa kuwa ni...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EiPRnn58uVlg4-mYaAoU29BKZoD2A9v8ZsTR*Ez1T0tDq0Jt2JOGmMM7gt1spL0da2xJdb26QExM8gjl2*G56P8p09idwMsT/DiamondPlatnumzBETAwards2014.jpg?width=650)
BET AWARDS NI DIAMOND TENA KESHO
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-dFZzXslIrlo/Xu9s2bLTmMI/AAAAAAALu1Y/fWg4LOBMda0BRyq73Vm3mzdgtkeQVlcGQCLcBGAsYHQ/s72-c/hqdefault.jpg)
NEWZ ALERT: RAIS DKT MAGUFULI AFANYA UTEUZI TENA,WOTE KUAPISHWA KESHO IKULU JIJINI DAR ES DALAAM.
![](https://1.bp.blogspot.com/-dFZzXslIrlo/Xu9s2bLTmMI/AAAAAAALu1Y/fWg4LOBMda0BRyq73Vm3mzdgtkeQVlcGQCLcBGAsYHQ/s640/hqdefault.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-CcHE5_oYEuI/Xu9s2SBWM4I/AAAAAAALu1U/d5ii_kbhYOsMoqMwCtUVJFuKKhYTWVJcgCLcBGAsYHQ/s1600/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-21%2Bat%2B4.55.11%2BPM.jpeg)
10 years ago
Vijimambo![](https://lh3.googleusercontent.com/-JZ91ljyh71w/VF-kCddS14I/AAAAAAAARZo/5UT0rCGq3LU/s72-c/blogger-image-880205719.jpg)
DEADLINE NI KESHO ....MWISHO WA KUNUNUA TICKET ZA DISCOUNT KWA $75 NI KESHO ,BAADA YA KESHO ZITAKUWA $100.
![](https://lh3.googleusercontent.com/-JZ91ljyh71w/VF-kCddS14I/AAAAAAAARZo/5UT0rCGq3LU/s640/blogger-image-880205719.jpg)
10 years ago
Habarileo11 Jan
Wafanyakazi Tazara kugoma
WAFANYAKAZI wa Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (Tazara) kupitia Chama cha Wafanyakazi wa Reli Tanzania (Trawu) wameazimia kuanza mgomo leo wakidai Serikali Sh bilioni 12.5 huku wakisitisha huduma za usafiri wa treni zote za mamlaka hiyo.