Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wafanyakazi Tazara kugoma

Dk Harison MwakyembeWAFANYAKAZI wa Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (Tazara) kupitia Chama cha Wafanyakazi wa Reli Tanzania (Trawu) wameazimia kuanza mgomo leo wakidai Serikali Sh bilioni 12.5 huku wakisitisha huduma za usafiri wa treni zote za mamlaka hiyo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Wafanyakazi Tazara Mbeya kugoma

ZAIDI ya wafanyakzi 1,000 wa Shirika la Reli Tanzania na Zambia (Tazara), mkoani hapa wametishia kugoma kuendelea na kazi iwapo serikali haitawalipa malimbikizo ya mishahara yao ya miezi mitano. Wakizungumza...

 

11 years ago

Habarileo

Wafanyakazi Strabag waendelea kugoma

WAFANYAKAZI wa Kampuni ya ujenzi ya Strabag, wameingia siku ya pili ya mgomo wao huku wakishinikiza kulipwa marupurupu mbalimbali, wanayoyadai kwa zaidi ya miezi saba hadi sasa. Awali, wakizungumza nje ya ofisi za kampuni hiyo zilizopo Ubungo jijini Dar es Salaam juzi, wafanyakazi hao wanaojenga barabara za mabasi yaendayo kasi chini ya Mradi wa DART, walisema walifikia hatua ya kugoma kwa madai ya kuona wanazungushwa kupewa marupurupu hayo huku wakihofu muda uliobaki kwa kampuni hiyo kabla...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wafanyakazi Chemba watishia kugoma

WAFANYAKAZI wa Halmashauri ya Wilaya ya Chemba mkoani Dodoma wanakusudia kugoma kufanya kazi baada ya serikali wilayani humo kuzuia mishahara yao kwa miezi mitatu sasa kwa madai ya kutochangia sh...

 

9 years ago

Michuzi

NAMNA AMBAVYO WAFANYAKAZI MNAWEZA KUGOMA KISHERIA.

   bashiryakub.blogspot.comNa  Bashir  Yakub.

MARA  kadhaa  migomo  ya wafanyakazi imekuwa  ikizaa athari  mbaya kwao. Hii  ni  kutokana  na  kugoma  bila  kufuata  taratibu. Waajiri  wao  ni  wajanja. Huwa  makini  sana linapoibuka  wazo  la  kugoma  na  huwa  tayari  muda  woote  kufuatilia  nyendo  ili  panapo  kosa  kidogo  watumie  mwanya  huo  kuwadhibiti   wagomaji.  
Na  kikubwa  wanachofanya hali  ikishakuwa  hivi  ni   kusema  mgomo  haukuwa  halali  na  hapo  kupata  nafasi  ya ...

 

11 years ago

Mwananchi

Bunga la #Katiba: Wafanyakazi wadai haki ya kugoma

Katibu Mkuu wa TUCTA, Nicholaus Mgaya alidai kuwa rasimu inayowasilishwa bungeni kesho haijumuishi baadhi ya haki za msingi za wafanyakazi.

 

11 years ago

Habarileo

Wafanyakazi TAZARA wagoma

WAFANYAKAZI wa Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA) wamegoma kufanya kazi kwa kushinikiza kulipwa mishahara yao ya miezi mitatu.

 

10 years ago

Tanzania Daima

TUCTA: Tazara lipeni wafanyakazi

RAIS wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi (TUCTA), Gratian Mukoba ameitaka Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA) kuwalipa wafanyakazi wake malimbikizo ya mishahara ya miezi mitano ndani ya...

 

11 years ago

Habarileo

Wafanyakazi Tazara waburuzwa kortini

MAMLAKA ya Reli la Tanzania na Zambia (Tazara) imewashitaki Mahakama Kuu wafanyakazi wake waliokuwa wamegoma, wakishinikiza kulipwa fedha zao za mishahara.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wafanyakazi Tazara warejea kazini

WAFANYAKAZI wa Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (Tazara), jana walirudi kazini baada ya mgomo wa takribani wiki mbili. Hatua hiyo imekuja baada ya uongozi wa Tazara kuwafungulia kesi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani