NAMNA AMBAVYO WAFANYAKAZI MNAWEZA KUGOMA KISHERIA.
bashiryakub.blogspot.comNa Bashir Yakub.
MARA kadhaa migomo ya wafanyakazi imekuwa ikizaa athari mbaya kwao. Hii ni kutokana na kugoma bila kufuata taratibu. Waajiri wao ni wajanja. Huwa makini sana linapoibuka wazo la kugoma na huwa tayari muda woote kufuatilia nyendo ili panapo kosa kidogo watumie mwanya huo kuwadhibiti wagomaji.Na kikubwa wanachofanya hali ikishakuwa hivi ni kusema mgomo haukuwa halali na hapo kupata nafasi ya ...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo29 Dec
Namna ambavyo video ya ‘Utanipenda’ ya Diamond ilivyotengenezwa.
Video ya Utanipenda mpaka sasa ina siku 19 toka iwekwe kwenye mtandao wa Youtube na imetazamwa zaidi ya mara 1,031,735,Diamond kwa sasa amekua tayari kutuonyesha vile vilivyokua vinatokea nyuma ya pazia (Behind the Scene). Unaweza kuvitazama hapa pia mtu wangu. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line ya tiGO […]
The post Namna ambavyo video ya ‘Utanipenda’ ya Diamond ilivyotengenezwa. appeared first on TZA_MillardAyo.
11 years ago
Michuzi21 May
namna ambavyo Chatu aliweza kukamatwa jijini Mbeya
![](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/kCD1RyNrIhCbV3uyd_fgsPkiVRM8jGa9inJLLo7G8tUNhHWGxdE8PYq91ytIz1e6QZ7k-7evpSVk7gRnPG3eOh7U7JQP0t9JzJMVH0irjYkZZ3ZLGa53m_LF-PMEE-5vLhaLe3vopS0ewhWzMAmpmtE0Y8FEOxTC7e0-q_l_t1dXNDxw1hdkMaMBH021ShPoqsYs1Bq3uKm4_2ghrLweUvf_CHEthwAYE6R-OrKeMw6vPaGtVx7ZJGEEXNrcESw8Ky06UXoFroim-o8TbvHxKHeIpj461IApVGXc_flBVpHXd7Cg-w985-nb5m73D6ckzXoKp0IpQFO8yfdms6w4eph4ANljIEE=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F3.bp.blogspot.com%2F-ig9XzgE-fNE%2FU3syU324WbI%2FAAAAAAAAFAE%2FkhwHQKAsLew%2Fs1600%2F20140520_104654.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
10 years ago
Habarileo11 Jan
Wafanyakazi Tazara kugoma
WAFANYAKAZI wa Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (Tazara) kupitia Chama cha Wafanyakazi wa Reli Tanzania (Trawu) wameazimia kuanza mgomo leo wakidai Serikali Sh bilioni 12.5 huku wakisitisha huduma za usafiri wa treni zote za mamlaka hiyo.
10 years ago
Tanzania Daima06 Oct
Wafanyakazi Chemba watishia kugoma
WAFANYAKAZI wa Halmashauri ya Wilaya ya Chemba mkoani Dodoma wanakusudia kugoma kufanya kazi baada ya serikali wilayani humo kuzuia mishahara yao kwa miezi mitatu sasa kwa madai ya kutochangia sh...
11 years ago
Habarileo30 Apr
Wafanyakazi Strabag waendelea kugoma
WAFANYAKAZI wa Kampuni ya ujenzi ya Strabag, wameingia siku ya pili ya mgomo wao huku wakishinikiza kulipwa marupurupu mbalimbali, wanayoyadai kwa zaidi ya miezi saba hadi sasa. Awali, wakizungumza nje ya ofisi za kampuni hiyo zilizopo Ubungo jijini Dar es Salaam juzi, wafanyakazi hao wanaojenga barabara za mabasi yaendayo kasi chini ya Mradi wa DART, walisema walifikia hatua ya kugoma kwa madai ya kuona wanazungushwa kupewa marupurupu hayo huku wakihofu muda uliobaki kwa kampuni hiyo kabla...
10 years ago
Tanzania Daima29 Aug
Wafanyakazi Tazara Mbeya kugoma
ZAIDI ya wafanyakzi 1,000 wa Shirika la Reli Tanzania na Zambia (Tazara), mkoani hapa wametishia kugoma kuendelea na kazi iwapo serikali haitawalipa malimbikizo ya mishahara yao ya miezi mitano. Wakizungumza...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Ii6FEJfJDnU/VTJzSGPe5YI/AAAAAAAHR4g/gOOQgxiPiGk/s72-c/unnamed%2B(30).jpg)
JESHI LA POLISI MKOA WA DODOMA LINAENDELEA KUFANYA UCHUNGUZI KWA WATU WANAOHUSIKA NA KUENDESHA VITUO VYA KULELEA WATOTO AMBAVYO HAVIJASAJILIWA KISHERIA.
5 years ago
BBCSwahili04 Apr
Virusi vya corona: Namna ambavyo vijana wanaweza kujizuia na hofu ya corona
11 years ago
Mwananchi17 Feb
Bunga la #Katiba: Wafanyakazi wadai haki ya kugoma